Muimbaji wa zamani wa Blue 3 Jackie Chandiru hoi kwa madawa ya kulevya

Nimesikitika mno
nyimbo yake ya Shamim naikubali hadi kesho yaani,,
 
Kwani huo muziki wao unamtukuza nani? Hiyo ndio 'amani' na 'furaha' anayoweza kutoa huyo wanayemtukuza.
 
Kiruuu majanga tatizo LA mziki una uvuvio sijui wa kishetani ukichangia na kuiga kujichora hyo mitatoo hawajui ndo hujiingiza matatizoni. Pole yake
Yap!
Muziki ni roho!
Una annointing yake kabisa!
So inategemea unamuimbia nani.....
Plus tatoo nazo zina roho nyuma inayokusukuma uchore hayo madude!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…