Annonymous
JF-Expert Member
- May 9, 2013
- 688
- 1,126
Kweli kuna muislamu anaweza kuokoka!! au wale wanao tafuta maisha kwa kujifanya ni waislamu kumbe hawana Tawheed nyooni mwao.Habari hapa jamvini
Leo kuna jambo limekuja kichwani naona majibu yanaonesha wengi wataenda motoni
Hivi muislam mwenyewe wake wa4 akaokoka. Wale wake zake wote wa4 anawapeleka wapi kwsbb kwa mujibu wa mafundisho ya wakristo mke n mwisho mmoja na ni wakufa na kuzikana. Je wale wa3 waliobakia na watoto wao ndio watakuwa single mother na watoto wa mitaani au kuna kipande kwenye ukristo kimenyamaziwa cha jinsi ya kufanya mambo yaende hii familia isiteseke
Tawheed ni nini?Kweli kuna muislamu anaweza kuokoka!! au wale wanao tafuta maisha kwa kujifanya ni waislamu kumbe hawana Tawheed nyooni mwao.
Ukisilimu utaelewa hiyo siku.Tawheed ni nini?
Nakusisitiza tena kitu kama wewe unadhani hukiwezi wapo wenzako wanakiweza,namfahamu mwenzako mwaka 2009 alitoka msikitini ijumaa kama leo jumapili akaamkia Kanisani na watoto kubatizwa.Kweli kuna muislamu anaweza kuokoka!! au wale wanao tafuta maisha kwa kujifanya ni waislamu kumbe hawana Tawheed nyooni mwao.
Huyu alikua mpelelezi nakuapia hamna muislamu anae jua na kuelewa Tawheed akaokoka haliwezekane, nisawa sawa na kuseme mtu ana badilika au anatamani kua ng'ombeNakusisitiza tena kitu kama wewe unadhani hukiwezi wapo wenzako wanakiweza,namfahamu mwenzako mwaka 2009 alitoka msikitini ijumaa kama leo jumapili akaamkia Kanisani na watoto kubatizwa.
Tena alikuwa swala tano ambazo wewe unayejifanya kushangaa huzisali.
Unaposema hakuna wewe upo mioyoni mwao?upo akilini mwao?unawaza wanayowaza wao?kila kitu kuna namna watu wanakichukulia kwa ufahamu wao siyo kwa sababu wewe unaona huwezi kuokoka basi wote wasiweze.Huyu alikua mpelelezi nakuapia hamna muislamu anae jua na kuelewa Tawheed akaokoka haliwezekane, nisawa sawa na kuseme mtu ana badilika au anatamani kua ng'ombe
Nieleweshe sasa hivi, labda ni jambo zuri litakalonihamasisha kusilimu.Ukisilimu utaelewa hiyo siku.
Akiokoka au akibadili dini na kuwa MKRISTO?!Habari hapa jamvini
Leo kuna jambo limekuja kichwani naona majibu yanaonesha wengi wataenda motoni
Hivi muislam mwenyewe wake wa4 akaokoka. Wale wake zake wote wa4 anawapeleka wapi kwsbb kwa mujibu wa mafundisho ya wakristo mke n mwisho mmoja na ni wakufa na kuzikana. Je wale wa3 waliobakia na watoto wao ndio watakuwa single mother na watoto wa mitaani au kuna kipande kwenye ukristo kimenyamaziwa cha jinsi ya kufanya mambo yaende hii familia isiteseke
Anachukua 1 hao watatu anamwachia mchungaji wa kanisa husika, ni kondoo wanarudi zizini, mchungaji ataamua ale au auzeHabari hapa jamvini
Leo kuna jambo limekuja kichwani naona majibu yanaonesha wengi wataenda motoni
Hivi muislam mwenyewe wake wa4 akaokoka. Wale wake zake wote wa4 anawapeleka wapi kwsbb kwa mujibu wa mafundisho ya wakristo mke n mwisho mmoja na ni wakufa na kuzikana. Je wale wa3 waliobakia na watoto wao ndio watakuwa single mother na watoto wa mitaani au kuna kipande kwenye ukristo kimenyamaziwa cha jinsi ya kufanya mambo yaende hii familia isiteseke