Muislam wa wake wawili akiokoka wake zake inakuwaje

Muislam wa wake wawili akiokoka wake zake inakuwaje

Unaposema hakuna wewe upo mioyoni mwao?upo akilini mwao?unawaza wanayowaza wao?

Dunia hii asichoweza kubadilisha mtu ni wazazi na kabila tu hizo dini wanabadilisha kama mtu anavyobadili nguo akiamka akili ikiwa imeelewa zaidi upande huu anabadili shida huwaoni wamebadili kwa sababu huwa wanatengwa na ndugu but wengi wanakuwa humo kama midoli kuongeza idadi ya waumini lakini mioyo yao inakuwa kwengine.
Wengi ukielewa na kuusoma hasa Tawheed kuacha uislamu sio jambo dogo, labda kama iliingia kwasbb zisio za msingi kama kuoa, kazi, wazazi, Riziki, mkumbo, nk. Muislamu yoyote dua yake ya kila siku ni kuomba " Hoh Mola wangu nilinde katika dini yangu na almauti anikute nikiwa bado Muislamu ...." sasa mtu mwenye dua hiyo tena kwa hiari abadili hiyo Dini yake?......
 
Haina jibu la Moja kwa Moja inaitaji Hekima; na haipaswi kuwa pressure bali inatakiwa akue katika wokovu taratibu na kutengeneza uwezo wa kiroho na atapata njia!

Walokole wa pumbavu wasio na Hekima wanaweza mpa pressure sijui kama kiumbe kipya na hakika hata huo wokovu ataishindw!
 
Wengi ukielewa na kuusoma hasa Tawheed kuacha uislmu suo jambo dogo, labda kama iliingia kwasbb zisio za msingi kama kuoa, kazi, wazazi, Riziki, kinyumo, nk. Muislamu yoyote due yake ya kila siku ni kuomba " Hoh Mola wangu nilinde katoka dini yangu na almauti anikute nikia Muislamu ...." sasa ntu mwenye dua hiyo tena kwa hiari abadili hiyo Dini yake?
Sawa mkuu point tatu beba wewe,ikiwa tu huyo unaeamini ana dua hiyo anazini huku amekatazwa kabisa asizini na anazini uje leo uamini eti hawezi kuacha dini?

Labda kama unataka kubishana.
 
Sawa mkuu point tatu beba wewe,ikiwa tu huyo unaeamini ana dua hiyo anazini huku amekatazwa kabisa asizini na anazini uje leo uamini eti hawezi kuacha dini?

Labda kama unataka kubishana.
Mkuu Dhambi kubwa katika Uislamu ni kua Murtadi na adhabu yako ni kuuliwa kwa kupondwa mawe, kuzini kunywa pombe kutukana ni rahisi mtu kutubu ila Murtadi ni hatari Dhabi kubwa sanaaa hamna muislamu anae tamani kulitenda labda yule alie ingia uislamu kwa kazi maalumu au mjinga asie jua dini yake.
 
Habari hapa jamvini
Leo kuna jambo limekuja kichwani naona majibu yanaonesha wengi wataenda motoni

Hivi muislam mwenyewe wake wa4 akaokoka. Wale wake zake wote wa4 anawapeleka wapi kwsbb kwa mujibu wa mafundisho ya wakristo mke n mwisho mmoja na ni wakufa na kuzikana. Je wale wa3 waliobakia na watoto wao ndio watakuwa single mother na watoto wa mitaani au kuna kipande kwenye ukristo kimenyamaziwa cha jinsi ya kufanya mambo yaende hii familia isiteseke
Dini ya haki huwezi kuokoka/kuwa mlokole.
 
Habari hapa jamvini
Leo kuna jambo limekuja kichwani naona majibu yanaonesha wengi wataenda motoni

Hivi muislam mwenyewe wake wa4 akaokoka. Wale wake zake wote wa4 anawapeleka wapi kwsbb kwa mujibu wa mafundisho ya wakristo mke n mwisho mmoja na ni wakufa na kuzikana. Je wale wa3 waliobakia na watoto wao ndio watakuwa single mother na watoto wa mitaani au kuna kipande kwenye ukristo kimenyamaziwa cha jinsi ya kufanya mambo yaende hii familia isiteseke
Nipe andiko linalosema usije Wanawake wengi
 
Anafanya malipizi anabaki na Mke wa kwanza wa ujana wake aliyekuwa naye kabla hajaoa mke wa pili na watatu.
Ndiyo kusema anawaacha hao wengine.
Na huyo mke wa kwanza asiwe aliolewa akaachokika kwa mmewe halali.
Ndoa halali mbele za Mungu ni Mme mmoja na Mke mmoja kama ilivyokuwa mwanzo.
Lete andiko Hilo la mke mmoja na
 
Tunagawa wastani kwa idadi😎
Habari hapa jamvini
Leo kuna jambo limekuja kichwani naona majibu yanaonesha wengi wataenda motoni

Hivi muislam mwenyewe wake wa4 akaokoka. Wale wake zake wote wa4 anawapeleka wapi kwsbb kwa mujibu wa mafundisho ya wakristo mke n mwisho mmoja na ni wakufa na kuzikana. Je wale wa3 waliobakia na watoto wao ndio watakuwa single mother na watoto wa mitaani au kuna kipande kwenye ukristo kimenyamaziwa cha jinsi ya kufanya mambo yaende hii familia isiteseke
 
Huyu alikua mpelelezi nakuapia hamna muislamu anae jua na kuelewa Tawheed akaokoka haliwezekane, nisawa sawa na kuseme mtu ana badilika au anatamani kua ng'ombe
Una mfahamu Yohana omary? (Yahaya omary) Ingia hata YouTube utamkuta halafu kanusha Tena. Na alikuwa kiongozi wa msikiti hapo Daslam saivi ni msabato sio yeye pekee wapo wengi
 
Habari hapa jamvini
Leo kuna jambo limekuja kichwani naona majibu yanaonesha wengi wataenda motoni

Hivi muislam mwenyewe wake wa4 akaokoka. Wale wake zake wote wa4 anawapeleka wapi kwsbb kwa mujibu wa mafundisho ya wakristo mke n mwisho mmoja na ni wakufa na kuzikana. Je wale wa3 waliobakia na watoto wao ndio watakuwa single mother na watoto wa mitaani au kuna kipande kwenye ukristo kimenyamaziwa cha jinsi ya kufanya mambo yaende hii familia isiteseke
Akiwakabidhi kwa mchungaji itapendeza
 
Unaposema hakuna wewe upo mioyoni mwao?upo akilini mwao?unawaza wanayowaza wao?

Dunia hii asichoweza kubadilisha mtu ni wazazi na kabila tu hizo dini wanabadilisha kama mtu anavyobadili nguo akiamka akili ikiwa imeelewa zaidi upande huu anabadili shida huwaoni wamebadili kwa sababu huwa wanatengwa na ndugu but wengi wanakuwa humo kama midoli kuongeza idadi ya waumini lakini mioyo yao inakuwa kwengine.
Uko sawa kabisa watu wanabadiri Hadi jinsia iwe dini Tena uislamu! Nimemtajia jamaa mmoja alikuwa ostadhi hapo dar Hadi Sasa ni msabato kabatiza watu kibaoo wa wakiwamo waislamu kumzidi hata yeye.
 
Una mfahamu Yohana omary? (Yahaya omary) Ingia hata YouTube utamkuta halafu kanusha Tena. Na alikuwa kiongozi wa msikiti hapo Daslam saivi ni msabato sio yeye pekee wapo wengi
Unababiaha kwa ajili ya jina au, hakua Muislamu wa dhati wengi wana act kutimiza malengo yao.
 
Habari hapa jamvini
Leo kuna jambo limekuja kichwani naona majibu yanaonesha wengi wataenda motoni

Hivi muislam mwenyewe wake wa4 akaokoka. Wale wake zake wote wa4 anawapeleka wapi kwsbb kwa mujibu wa mafundisho ya wakristo mke n mwisho mmoja na ni wakufa na kuzikana. Je wale wa3 waliobakia na watoto wao ndio watakuwa single mother na watoto wa mitaani au kuna kipande kwenye ukristo kimenyamaziwa cha jinsi ya kufanya mambo yaende hii familia isiteseke
Kumekucha sasa na waislam, mnalipwa huko makanisani kwa hizi thread juu ya wenzenu?
 
Habari hapa jamvini
Leo kuna jambo limekuja kichwani naona majibu yanaonesha wengi wataenda motoni

Hivi muislam mwenyewe wake wa4 akaokoka. Wale wake zake wote wa4 anawapeleka wapi kwsbb kwa mujibu wa mafundisho ya wakristo mke n mwisho mmoja na ni wakufa na kuzikana. Je wale wa3 waliobakia na watoto wao ndio watakuwa single mother na watoto wa mitaani au kuna kipande kwenye ukristo kimenyamaziwa cha jinsi ya kufanya mambo yaende hii familia isiteseke
Wapo wengi wanaokoka , wengi na wanachofanya ni kumwacha mmoja kwa makubaliano, tena huwa anamtafutia mwanaume.
 
Back
Top Bottom