Mansakankani mussa
Senior Member
- Feb 13, 2021
- 156
- 196
Du, nani alifanya hvo kwenye biblia au ni kujiongezaWapo wengi wanaokoka , wengi na wanachofanya ni kumwacha mmoja kwa makubaliano, tena huwa anamtafutia mwanaume.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Du, nani alifanya hvo kwenye biblia au ni kujiongezaWapo wengi wanaokoka , wengi na wanachofanya ni kumwacha mmoja kwa makubaliano, tena huwa anamtafutia mwanaume.
Baada ya Yesu kuja na kuiyimiza Torati na kupewa amri mpya na siyo zile za Musa na manabii, basi ndoa ya Kikristo ni mke mmoja mume mmoja.Du, nani alifanya hvo kwenye biblia au ni kujiongeza
Hata mke mmoja tu , mmoja wa wanandoa akitoka kwenye uislam automaticaly ndoa imekufa.Habari hapa jamvini
Leo kuna jambo limekuja kichwani naona majibu yanaonesha wengi wataenda motoni
Hivi muislam mwenyewe wake wa4 akaokoka. Wale wake zake wote wa4 anawapeleka wapi kwsbb kwa mujibu wa mafundisho ya wakristo mke n mwisho mmoja na ni wakufa na kuzikana. Je wale wa3 waliobakia na watoto wao ndio watakuwa single mother na watoto wa mitaani au kuna kipande kwenye ukristo kimenyamaziwa cha jinsi ya kufanya mambo yaende hii familia isiteseke
Hakuna mafundisho ya mkemmoja Kwa wakristo Bali mapokeo ya viwanda ya 1800 !!Habari hapa jamvini
Leo kuna jambo limekuja kichwani naona majibu yanaonesha wengi wataenda motoni
Hivi muislam mwenyewe wake wa4 akaokoka. Wale wake zake wote wa4 anawapeleka wapi kwsbb kwa mujibu wa mafundisho ya wakristo mke n mwisho mmoja na ni wakufa na kuzikana. Je wale wa3 waliobakia na watoto wao ndio watakuwa single mother na watoto wa mitaani au kuna kipande kwenye ukristo kimenyamaziwa cha jinsi ya kufanya mambo yaende hii familia isiteseke
KUOKOKA, ni jambo kubwa. Ni kukutana na Kristo. akitokea mtu kama huyo uliyemtaja hapo, atakachokifanya ni kutoa mke mmoja kati ya hao unaewaita kuwa wake zake. Maana kiKristo ni kuwa alikuwa akizini nao tu. Ataendelea kuwatunza watoto waliopatikana katika zinaa yake hiyo na wataendelea kuhesabika kuwa ni watoto wake (maana wao hawako na hatia yeyote)Habari hapa jamvini
Leo kuna jambo limekuja kichwani naona majibu yanaonesha wengi wataenda motoni
Hivi muislam mwenyewe wake wa4 akaokoka. Wale wake zake wote wa4 anawapeleka wapi kwsbb kwa mujibu wa mafundisho ya wakristo mke n mwisho mmoja na ni wakufa na kuzikana. Je wale wa3 waliobakia na watoto wao ndio watakuwa single mother na watoto wa mitaani au kuna kipande kwenye ukristo kimenyamaziwa cha jinsi ya kufanya mambo yaende hii familia isiteseke
Mbona mfalme Daudi alikuwa na wake wanne? Na sijaona kwenye biblia Mungu akimgombeza Daudi kwa ajili ya kuona wake wengi!? Tena baada ya kumchukua Mke wa Huria, Mungu alimwambia imetenda kosa kumchukua Mke wa Huria! sio imetenda dhambi kwa kuoa wake wengi!!Anafanya malipizi anabaki na Mke wa kwanza wa ujana wake aliyekuwa naye kabla hajaoa mke wa pili na watatu.
Ndiyo kusema anawaacha hao wengine.
Na huyo mke wa kwanza asiwe aliolewa akaachokika kwa mmewe halali.
Ndoa halali mbele za Mungu ni Mme mmoja na Mke mmoja kama ilivyokuwa mwanzo.
Katika Mpango wa Mungu tangu Mwanzo ilikuwa Mme mmoja na Mke mmoja,(Mwanzo2:21-24)Mbona mfalme Daudi alikuwa na wake wanne? Na sijaona kwenye biblia Mungu akimgombeza Daudi kwa ajili ya kuona wake wengi!? Tena baada ya kumchukua Mke wa Huria, Mungu alimwambia imetenda kosa kumchukua Mke wa Huria! sio imetenda dhambi kwa kuoa wake wengi!!
Anajiona wapo perfect sana,hajui anachokiona yeye kizuri mwenzake anakiona hakina maana hata akiamua kuki-practice kinafiki hajisikii amani that's why wapo wanaobadilika.Uko sawa kabisa watu wanabadiri Hadi jinsia iwe dini Tena uislamu! Nimemtajia jamaa mmoja alikuwa ostadhi hapo dar Hadi Sasa ni msabato kabatiza watu kibaoo wa wakiwamo waislamu kumzidi hata yeye.
Anaache aliyekuwa wa mwisho kuolewa naye..wa kanza anabaki naye.Habari hapa jamvini
Leo kuna jambo limekuja kichwani naona majibu yanaonesha wengi wataenda motoni
Hivi muislam mwenyewe wake wa4 akaokoka. Wale wake zake wote wa4 anawapeleka wapi kwsbb kwa mujibu wa mafundisho ya wakristo mke n mwisho mmoja na ni wakufa na kuzikana. Je wale wa3 waliobakia na watoto wao ndio watakuwa single mother na watoto wa mitaani au kuna kipande kwenye ukristo kimenyamaziwa cha jinsi ya kufanya mambo yaende hii familia isiteseke
Kwamba akina mfalme Suleyman et-al wote moroni?Anafanya malipizi anabaki na Mke wa kwanza wa ujana wake aliyekuwa naye kabla hajaoa mke wa pili na watatu.
Ndiyo kusema anawaacha hao wengine.
Na huyo mke wa kwanza asiwe aliolewa akaachokika kwa mmewe halali.
Ndoa halali mbele za Mungu ni Mme mmoja na Mke mmoja kama ilivyokuwa mwanzo.
Mbona jibu lipo kwenye biblia ila wslokole na madhehebu ya dini ya sasa wanapotosha watakuambia waache wake zako ....ukweli ni kwamba utaendelea nao kama ilivyo labda wale wanawake wao ndiyo waondoke wenyeweHabari hapa jamvini
Leo kuna jambo limekuja kichwani naona majibu yanaonesha wengi wataenda motoni
Hivi muislam mwenyewe wake wa4 akaokoka. Wale wake zake wote wa4 anawapeleka wapi kwsbb kwa mujibu wa mafundisho ya wakristo mke n mwisho mmoja na ni wakufa na kuzikana. Je wale wa3 waliobakia na watoto wao ndio watakuwa single mother na watoto wa mitaani au kuna kipande kwenye ukristo kimenyamaziwa cha jinsi ya kufanya mambo yaende hii familia isiteseke
2pe mstari mtu wangu tusome isijekuwa na ww umesema kitu hakipoMbona jibu lipo kwenye biblia ila wslokole na madhehebu ya dini ya sasa wanapotosha watakuambia waache wake zako ....ukweli ni kwamba utaendelea nao kama ilivyo labda wale wanawake wao ndiyo waondoke wenyewe
Kasome daudi alipo kasirikiwa na mungu kwa sababu ya mke wa mtu (uria) sikumbuki jina vizuri ukisoma utaona mungu anawatambua wake wengi wa daudi na kumwambia angeweza kumwongeza..yesu alipo kuja kulikuwa na torati ambayo watu walioa wake wengi na mungu kuwalidhia soma yakobo nk...hivyo yesu akusema aliye na wake wengi awaache na kubaki na mmoja bali asiye na mke kama akioa basi na haoe mke mmoja ...pia alipendekeza kuto kuoa au kuolewa kabisa kama mtu ataweza2pe mstari mtu wangu tusome isijekuwa na ww umesema kitu hakipo
Kumbuka Pia Mungu hakuwaumba wanaume alimuumba mwanaume 1 na hakuwaumba wanawake alimuumba mwanamke 1. Hao wengine waliongezeka ndiyo maana mwanaume anaweza kuoa mwanamke zaidi ya mmoja.Mungu aliumbwa mume na mke hakuumba mume na wake