Una katiba ya Chadema????Tulielezwa Chadema ina wanachama takribani milioni nane (8) ila Idadi ya wapiga kura chaguzi za ndani Chadema haifiki hata watu mia moja (100+) ipo chini ya watu 60 yaani kila Mkoa zilipofanyika chaguzi kuchagua mwenyekiti kama hajapita bila kupingwa utakuta Mwenyekiti mkoa amechaguliwa kwa kura 30 au 26 ndiyo mshindi huyo.
Wajumbe na wanachama wako wapi� The end is near.
Watakwambia chadema iko mioyoni mwa watuu.Tulielezwa Chadema ina wanachama takribani milioni nane (8) ila Idadi ya wapiga kura chaguzi za ndani Chadema haifiki hata watu mia moja (100+) ipo chini ya watu 60 yaani kila Mkoa zilipofanyika chaguzi kuchagua mwenyekiti kama hajapita bila kupingwa utakuta Mwenyekiti mkoa amechaguliwa kwa kura 30 au 26 ndiyo mshindi huyo.
Wajumbe na wanachama wako wapi� The end is near.
Masahihisho - Chadema ina Wanachama hai zaidi ya mil 15Tulielezwa Chadema ina wanachama takribani milioni nane (8) ila Idadi ya wapiga kura chaguzi za ndani Chadema haifiki hata watu mia moja (100+) ipo chini ya watu 60 yaani kila Mkoa zilipofanyika chaguzi kuchagua mwenyekiti kama hajapita bila kupingwa utakuta Mwenyekiti mkoa amechaguliwa kwa kura 30 au 26 ndiyo mshindi huyo.
Wajumbe na wanachama wako wapi� The end is near.
Usihangaike na MjingaUna katiba ya Chadema????
Unataka kusema Wanachama wote ndo hupiga kura kwenye Uchaguzi wa Ndani??
Turudi kwenye CCM..
Wanaofanya uchaguzi wa Chama huwa ni Secretarieti ,NEC au Wanachama wote nchi nzima??
Wanaopigia kura mwenyekiti wa mkoa sio wanachama wa kawaida ila ni viongozi tu mfano kamati tendaji ya wilaya/jimbo husika au kata depends na ukubwa wa eneo. Mfano temeke ni mkoa wa kichama so wanaopiga kura ni kamati tendaji wa kata zilizopo ndani ya mkoa ule sio wanachama wa kawaida. So kama mwenyekiti na katibu wake n.k kwa kila kata watazidi kweli 50 kwa mfano Temeke?Tulielezwa Chadema ina wanachama takribani milioni nane (8) ila Idadi ya wapiga kura chaguzi za ndani Chadema haifiki hata watu mia moja (100+) ipo chini ya watu 60 yaani kila Mkoa zilipofanyika chaguzi kuchagua mwenyekiti kama hajapita bila kupingwa utakuta Mwenyekiti mkoa amechaguliwa kwa kura 30 au 26 ndiyo mshindi huyo.
Wajumbe na wanachama wako wapi� The end is near.
Tulimpuuza makusudi ili tusimpe KikiWanaopigia kura mwenyekiti wa mkoa sio wanachama wa kawaida ila ni viongozi tu mfano kamati tendaji ya wilaya/jimbo husika au kata depends na ukubwa wa eneo. Mfano temeke ni mkoa wa kichama so wanaopiga kura ni kamati tendaji wa kata zilizopo ndani ya mkoa ule sio wanachama wa kawaida. So kama mwenyekiti na katibu wake n.k kwa kila kata watazidi kweli 50 kwa mfano Temeke?
Usipotoshe kama haujui mfumo wa uchaguzi
RIP mzee wetu Ngaiyai ,ulikipaisha hiki chama ila lichama lenyewe halibebekiTulielezwa Chadema ina wanachama takribani milioni nane (8) ila Idadi ya wapiga kura chaguzi za ndani Chadema haifiki hata watu mia moja (100+) ipo chini ya watu 60 yaani kila Mkoa zilipofanyika chaguzi kuchagua mwenyekiti kama hajapita bila kupingwa utakuta Mwenyekiti mkoa amechaguliwa kwa kura 30 au 26 ndiyo mshindi huyo.
Wajumbe na wanachama wako wapi� The end is near.
and vise versa is true πMasahihisho - Chadema ina Wanachama hai zaidi ya mil 15
mwerevu ndio anamshawishi mwenzie kuzama mtaroni kabisa dah πUsihangaike na Mjinga
Uko sahihi kabisa, kwasasa watu wamepuuza chaguzi za nchi yetu. Hata kile kitendo Cha watu kuchaguliwa kisha kwenda kuunga juhudi ilishusha sana morali ya wapiga kura. Kama uchaguzi wa cdm una wapiga kura wachache, huko kwenye uchaguzi mkuu ndio itakuwa aibu kubwa.Hata Uchaguzi mkuu kwani wangapi wanapiga kura? Mazoea ya kuiba kura yaliharibu mudi ya wapiga kura
CHADEMA ni matapeli sanaWatakwambia chadema iko mioyoni mwa watuu.
wamepoteana πTulielezwa Chadema ina wanachama takribani milioni nane (8) ila Idadi ya wapiga kura chaguzi za ndani Chadema haifiki hata watu mia moja (100+) ipo chini ya watu 60 yaani kila Mkoa zilipofanyika chaguzi kuchagua mwenyekiti kama hajapita bila kupingwa utakuta Mwenyekiti mkoa amechaguliwa kwa kura 30 au 26 ndiyo mshindi huyo.
Wajumbe na wanachama wako wapi� The end is near.
Vipi kuhusu wale waandishi waliotapeliwa na kijana wa mbowe umehakikisha unatetea haki zao?Masahihisho - Chadema ina Wanachama hai zaidi ya mil 15
Mioyoni mwetu sio? πππππMasahihisho - Chadema ina Wanachama hai zaidi ya mil 15
Ukweli ni kuwa kwa sasa CHADEMA imepuuzwa na kila mwenye akili Timamu.hii ndio sababu ya kuona watu hawana habari nayo wala kufuatilia habari zake.imebaki imejaza wahuni wahuni na matapeli tapeli tu .Uko sahihi kabisa, kwasasa watu wamepuuza chaguzi za nchi yetu. Hata kile kitendo Cha watu kuchaguliwa kisha kwenda kuunga juhudi ilishusha sana morali ya wapiga kura. Kama uchaguzi wa cdm una wapiga kura wachache, huko kwenye uchaguzi mkuu ndio itakuwa aibu kubwa.
Wahuni watupu na wavuta bangi ndio wamejazana kwenye hilo chama.wamepoteana π
na by the way hiyo chama haina watu ni kelele mingi tu, matusi na mihemko π
dua la kuku kwa mwewe πUko sahihi kabisa, kwasasa watu wamepuuza chaguzi za nchi yetu. Hata kile kitendo Cha watu kuchaguliwa kisha kwenda kuunga juhudi ilishusha sana morali ya wapiga kura. Kama uchaguzi wa cdm una wapiga kura wachache, huko kwenye uchaguzi mkuu ndio itakuwa aibu kubwa.