Hebu tupe misururu ya chaguzi za juzi za marudio ambazo cdm hawakushiriki tuone kukubalika kwa chama la majizi. Halafu tutaanzia hapo kwenda mbele.Ukweli ni kuwa kwa sasa CHADEMA imepuuzwa na kila mwenye akili Timamu.hii ndio sababu ya kuona watu hawana habari nayo wala kufuatilia habari zake.imebaki imejaza wahuni wahuni na matapeli tapeli tu .
kwa uchache huo unaothibitisha halafu, eti ndio mwende kushinda uchaguzi wa udiwani, ubunge au urais 🐒Wanaopigia kura mwenyekiti wa mkoa sio wanachama wa kawaida ila ni viongozi tu mfano kamati tendaji ya wilaya/jimbo husika au kata depends na ukubwa wa eneo. Mfano temeke ni mkoa wa kichama so wanaopiga kura ni kamati tendaji wa kata zilizopo ndani ya mkoa ule sio wanachama wa kawaida. So kama mwenyekiti na katibu wake n.k kwa kila kata watazidi kweli 50 kwa mfano Temeke?
Usipotoshe kama haujui mfumo wa uchaguzi
Kwamba kuwa na wenyeviti na makatibu na viongozi waandamizi 60 kwenye wilaya 6 za mkoa mmoja ni wachache? Basi utakua na tatizo!!kwa uchache huo unaothibitisha halafu, eti ndio mwende kushinda uchaguzi wa udiwani, ubunge au urais 🐒
thubutu 🐒
wachache mno,Kwamba kuwa na wenyeviti na makatibu na viongozi waandamizi 60 kwenye wilaya 6 za mkoa mmoja ni wachache? Basi utakua na tatizo!!
Sasa uliza Dkt Hangaya kinachomfanya atundikiwe dripu kila akisikia Katiba mpya na Tume huru ya uchaguziwachache mno,
uwakilishi finyu sana, hauwezi kua na impact yenye kuleta matokeo nje, hata kidogo 🐒
binafsi sina tatizo, endeleeni..
but utaratibu au mfumo huo una kasoro na ndio Tatizo 🐒
Hoja ya KIJINGATupe utaratibu wao kabla hatujawalaumu!!
CCM wanachama wote wanachagua viongozi wa mashina na matawi- ngazi zingine zilizobaki wanachaguliwa na wajumbe. Kuanzia ngazi ya kata- wapiga kura hawawzi kuwa chini ya 50. Kwa ngazi ya mkoa wajumbe wamafika 1,000 +Una katiba ya Chadema????
Unataka kusema Wanachama wote ndo hupiga kura kwenye Uchaguzi wa Ndani??
Turudi kwenye CCM..
Wanaofanya uchaguzi wa Chama huwa ni Secretarieti ,NEC au Wanachama wote nchi nzima??
Imeachwa mioyoniUkweli ni kuwa kwa sasa CHADEMA imepuuzwa na kila mwenye akili Timamu.hii ndio sababu ya kuona watu hawana habari nayo wala kufuatilia habari zake.imebaki imejaza wahuni wahuni na matapeli tapeli tu .
Chakademus imekua kama kanisa la kakobe au gwajiboyWahuni watupu na wavuta bangi ndio wamejazana kwenye hilo chama.
Umeisoma.katiba ya Chadema.???CCM wanachama wote wanachagua viongozi wa mashina na matawi- ngazi zingine zilizobaki wanachaguliwa na wajumbe. Kuanzia ngazi ya kata- wapiga kura hawawzi kuwa chini ya 50. Kwa ngazi ya mkoa wajumbe wamafika 1,000 +
Kama kiongozi wa mkoa anachaguliwa na watu 100 hilo ni darasa la chekecheaUmeisoma.katiba ya Chadema.???
Unasemaje hawawezi wakati hujui katiba yao inasemaje??
Mbowe hana watu hao- familia nzima hawzidi 50 wakiwemo na marehemu wazazi wao labda waagize na ndugu zao kutoka Malawi walikotokeaNa Wapiga kura wote majina yao mwisho yanaishia mbowe
Kwani mapesa yeshaaingiaaa🤣Tulielezwa Chadema ina wanachama takribani milioni nane (8) ila Idadi ya wapiga kura chaguzi za ndani Chadema haifiki hata watu mia moja (100+) ipo chini ya watu 60 yaani kila Mkoa zilipofanyika chaguzi kuchagua mwenyekiti kama hajapita bila kupingwa utakuta Mwenyekiti mkoa amechaguliwa kwa kura 30 au 26 ndiyo mshindi huyo.
Wajumbe na wanachama wako wapi…? The end is near.
Vipi kile ambacho uchaguzi anafanya mwenyekiti🤔Kama kiongozi wa mkoa anachaguliwa na watu 100 hilo ni darasa la chekechea
Nasikia posho zenu za UWT zimechelewa kutoka mpk J4 mhasibu kasafiriUkweli ni kuwa kwa sasa CHADEMA imepuuzwa na kila mwenye akili Timamu.hii ndio sababu ya kuona watu hawana habari nayo wala kufuatilia habari zake.imebaki imejaza wahuni wahuni na matapeli tapeli tu .
Takataka kama wewe ni wa kupuuzwa tuCHADEMA ni matapeli sana
Takataka kama wewe ni wa kupuuzwa tuUkweli ni kuwa kwa sasa CHADEMA imepuuzwa na kila mwenye akili Timamu.hii ndio sababu ya kuona watu hawana habari nayo wala kufuatilia habari zake.imebaki imejaza wahuni wahuni na matapeli tapeli tu .