Pre GE2025 Muitikio hafifu wapiga kura chaguzi za ndani CHADEMA nani alaumiwe?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sasa uliza Dkt Hangaya kinachomfanya atundikiwe dripu kila akisikia Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi
kwamba nayo,
ni hoja ya inayoweza kumbabaisha kumuyumbisha au kudhoofisha umadhubuti, umahiri, umakini, weledi au jitihada zake za kuiongoza Tanzania ipae kiuchumi, kijamii na kisiasa kitaifa na kimataifa? πŸ’

kwamba mwenye hoja hiyo ana weledi zaid ya Dr.SSH na waTanzania?

ni nani kwanza πŸ’
ni chairman?
au puppet?

thubutu πŸ˜‚
 
Hangaya huyu huyu aliyehujumu Katiba ya Warioba akishirikiana na Samuel Sitta leo kishakuwa na Weledi , kautoa wapi ?
 
Hangaya huyu huyu aliyehujumu Katiba ya Warioba akishirikiana na Samuel Sitta leo kishakuwa na Weledi , kautoa wapi ?
si viongozi wa chama chako mliikimbia, mkaiziria, mkaisusia na kuiasi ama sio nyie ndrugo zango πŸ’

kwamba wakati ule ilikua mbaya, saivi ndio nzuri mnaitaka tena 🀣

gentlemen do you real sure with what you want or need as far as the position of your party is concerned?πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…