Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Huna haja ya kuogopa ndoa, waogope watu ndoa ni mpango wa Mungu ila watu wamejeuka kuwa wanyama, chagua kwa hekima ya Mungu na mtangulize Mungu katika kila jambo
Sawa, nimekuelewa my friend.
 
"A MAN DOESN'T KNOW WHAT HAPPINESS IS UNTIL HE'S MARRIED,THEN ITS TOO LATE".... Hapa pro-feminist & feminst like NAOMI WOLF-Hiyo sentensi/msemo/kauli-nukuu...vice versa is true!
 
Wewe unafahamu maisha wanayoishi watu kwenye hayo makambi ya wavuvi? I wouldn't allow my daughter to be working there. Huko kunafaa wanaume tu na kama ni wanawake labda wale wanaofanya biashara za kuuza bidhaa mbalimbali na kurudi nchi kavu. Lakini kupiga kambi kule hapana. Hata hao wenye sura personal kama anavyosema mzabzab hawawezi kuishi huko sembuse huyo!!!!
 
Nimejifunza mengi ila kiukweli nimekua muoga sana na hizi ndoa.
Huna haja ya kuogopa NDOA , Cha msingi Ni kutafuta mtu ambaye anajua maana ya NDOA Ni nini, na kuelewa majukumu ya mume na majukumu ya mke katika ndoa, wote mkitambua hili na mkiambatana hofu ya mungu basi ndoa itakuwa salama Sana.
Matatizo ya NDOA inategemea na wanandoa wenyewe tangu walipo lelewa kutoka makwao na wanaovyo elewa kuhusu ndoa Nini, wapo watu wengi tuu wanaishi vizuri na kufurahia ndoa , wanapoona wengine wanagombana wanashangaa.
So huna haja ya kuogopa sawa.
 
Kwani jamani wenye sura personal hawatombekiii?
 
Ila Jamani huyu jamaa Said alimpenda Sana huyu Dada, na nafikili alifika kiasi Cha kushidwa kujikocontrol akiwa nae na ikiambatana na wivu juu ona Mambo haya.πŸ‘‡
Your browser is not able to display this video.
 
πŸ‘†
Yani hip video inaonesha kabisa
Jamaa mbele ya huyo Dada alikuwa analegea kabisa.
Ila Jamani huyu jamaa Said alimpenda Sana huyu Dada, na nafikili alifika kiasi Cha kushidwa kujikocontrol akiwa nae na ikiambatana na wivu juu ona Mambo haya.πŸ‘‡
 
Si mchezo jamaa alishidwa kujicontrol akiwa na Dada , alimpenda Sana. ChekiπŸ‘‡
Your browser is not able to display this video.
 
Sawa πŸ‘
 
Saa hizi nimechoka. Nita-comment kuhusu hii post yako kesho.
 
Watanzania Kwa Vimaneno Bwana ! Eti 'Anayedaiwa kumuua Mkewe!'....Sasa ' Anayedaiwa' na nani??
Kwa Nini haisemwi TU 'Aliyeemua Mkewe!' Eti 'Anayedaiwa Kumuua Mkewe!'....Unafiki Kwa kwenda Mbele!!
Tena eti 'kwa kitu chenye ncha kali" kwani ukisema kisu au panga itakuwaje. Hata mb*****o ina ncha kali ndio maana inapenya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…