cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Abeeeeeh nimekuja hapa, suala la huyu dada linachanganya mno.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Abeeeeeh nimekuja hapa, suala la huyu dada linachanganya mno.
Huyu dada n slay Queen wa kutupwa. Na mumewe walikutana ktk mambo ya starehe.Ngosha umeoa dem anaurafiki na wasanii lakin hutak aende kwenye shwView attachment 2244005
Mkuu izo risasi7 inategemea aina ya silaha kama katumia Browning ya Czech Republic hta kumi unapiga ndyo unakua na uhakika , kwa silaha ndogo hizi Glock17 4 generations risasi 1 ni zaidi ya radiJamaa lilikuwa na bifu kali sana na Diamond maana sio kwa risasi hizo
Chezea kuishi na adui yako nyumba moja[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na mie nimecheka hapo pa kuwakomesha wanawake wenzie
Mi niliacha nikaoa mwingine. Nakuelewa sana mkuu. Mwanaume unapaswa kuwa tayari kuachans na mkeo muda wowote ikibidiKupata mwanamke anaekusikiliza na kukuheshimu kama baba yake ni baraka kubwa sana ambayo wengi wanaikosa katika kizazi hiki, Asante Mungu.
Muda mwingine sisi wanaume tunashindwa kusimamia uanaume wetu, hivi Mungu kakujalia Pesa na afya ya nini kung'ang'ania mwanamke anaekuumiza akili?? Najua mapenzi yanauma na pengine labda kuna watu wapo humu jf muda huu wanapitia fukuto la mahusiano, nawashauri mfanye maamzi ya kiume kabla hamjachelewa.
"Every woman in any given reletionship, is taken as the man's project".
Project imekushinda, achia wengine wahangaike nayo kwanini uumie?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3] hataree tupu.Chezea kuishi na adui yako nyumba moja
Yaani Sura inaonesha kabisa ukizingua anakupeleka kuzimuMbona ka katli huyo mzee baba...sura Haina amani kabisa[emoji848]
Mbona alivaa nguo za chama kwenye siku muhimu kama hiyo?Inasemwa Mondi alikuwa anakula hiyo kaziView attachment 2243587
Huyu jamaa huyo ni mke wa pili kumuua,na wala hajajiua yupo hai bali katoroka kwa kutumua mtumbwi,nahisi atakuwa kaishafika kenyaWakuu story ni kwamba huyu jamaa kwenye picha amemuua huyo mkewe usiku wa kuamkia leo huko Mwanza ikidaiwa ni baada ya kumkataza mkewe asiende kwenye show ya Mondi.
Baada ya kumwambia asiende kwenye hiyo show ya Nasib Abdul, mke akakaidi akaenda.
Jamaa amempiga risasi saba za kichwa na inasemekana na yeye kajiua japo maiti yake haijaonekana.
Ila na nyie Wanawake mpunguze visirani. Inaonesha jinsi huyu Marehemu alikuwa mkaidi na hamsikilizi Mme wake.
Mme kakuambia sitaki uende pahala fulani then wewe unakaidi ni nini kama sio dharau na kiburi?
By the way anything else Happen for a reason.
RIP Binti MzuriView attachment 2243941
View attachment 2243573
View attachment 2243574
Bora akimpiga za miguuniMkuu jamaa kamzuia Asiende yeye kaenda, na ukute kaenda wakati anarudi labda karudi kalewa au Kuligwa Juu. Huwezi jua alichomjibu Jamaa
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ukiañgalia hii picha..unaweza ukatoa ubashiri wa jinsi mahusiano yao yalivyokuwa..mwanaume kuna uwezekano amehustle sana kufika hapo alipo..labda anatokea from humble beginnings..story ya mtoto wa manzese kumiliki pisi kali ya mbezi beach..au kama mondi alivyommiliki wema..tension zinakuwa za voltage kubwa..mademu wa kali kama hao sie watoto wa uswazi ni wa kupiga na kusepa..USIOE..Inasemwa Mondi alikuwa anakula hiyo kaziView attachment 2243587
Wanawake aina hii bado wanataka waendele,kuishi kama walivyozoeaUkiañgalia hii picha..unaweza ukatoa ubashiri wa jinsi mahusiano yao yalivyokuwa..mwanaume kuna uwezekano amehustle sana kufika hapo alipo..labda anatokea from humble beginnings..story ya mtoto wa manzese kumiliki pisi kali ya mbezi beach..au kama mondi alivyommiliki wema..tension zinakuwa za voltage kubwa..mademu wa kali kama hao sie watoto wa uswazi ni wa kupiga na kusepa..USIOE..
Akibadilika muonye,akikaidi muache oa mwingineKuna wanawake wengine mkiwa kwenye uchumba kabla hujamuoa utaona ni mtu wa maana anayekusilikiza lakini ukishamuoa utaona anabadilika taratibu haswa akishaanza kujua baadhi ya issue zako,