Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
.. Aiseee..Yaani kuna watu wakati wanatafuta wachumba wanaongozwa na tamaa na hasa kile kitu katikati ya mapaja yao, wakishaoa ndiyo wanaanza kuweka masharti......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.. Aiseee..Yaani kuna watu wakati wanatafuta wachumba wanaongozwa na tamaa na hasa kile kitu katikati ya mapaja yao, wakishaoa ndiyo wanaanza kuweka masharti......
Pisi kali sana ni za kuserebuka nazo tu, zile za kawaida ndizo za kujenga nazo life.Na nyie vijana mnaoa pisi kali zinawaletea matatizo tu, kila saa utawaza anataka kukusaliti, tafuteni pisi za kawaida muoe
Wee wanawake dawa yao ni kutomberr tuu na kutupa kule....mbususu zipo kwa ajili yute wanaume tuzigegedeYani hii inaonekana ilikuwa series ya matukio jamaa anayadidimiza moyoni tu then one day moyo ukalipuka akapiga mtu risasi.
Wanawake wengine wanajiona sana. Kama huyo nikimcheki tu fasta fasta ana ego issues na mwana ndio alikuwa ananyenyekea hapo. Hakujua jinsi ya kudeal nae vizuri akajikuta mvumilivu na matokeo ndio haya.
Kwa wanaume kama unaona unaendelea kuchase wakati mtu ni wako tayari, kimbia fasta mwanamke atakufanya ufanye tukio usilotegemea.
Imebidi nibold utumbo uloandika hapo. So una justify mtu kuua?Wakuu story ni kwamba huyu jamaa kwenye picha amemuua huyo mkewe usiku wa kuamkia leo huko Mwanza ikidaiwa ni baada ya kumkataza mkewe asiende kwenye show ya Mondi.
Baada ya kumwambia asiende kwenye hiyo show ya Nasib Abdul, mke akakaidi akaenda.
Jamaa amempiga risasi saba za kichwa na inasemekana na yeye kajiua japo maiti yake haijaonekana.
Ila na nyie Wanawake mpunguze visirani. Inaonesha jinsi huyu Marehemu alikuwa mkaidi na hamsikilizi Mme wake.
Mme kakuambia sitaki uende pahala fulani then wewe unakaidi ni nini kama sio dharau na kiburi?
By the way anything else Happen for a reason.
RIP Binti MzuriView attachment 2243941
View attachment 2243573
View attachment 2243574
"Enyi wake, watiini waume zenu kama kumtii Bwana wetu. Kwa maana mume ni kichwa cha mkewe, kama Kristo naye ni kichwa cha Kanisa; naye ni mwokozi wa mwili. Lakini kama vile Kanisa limtiivyo Kristo vivyo hivyo wake nao wawatii waume zao katika kila jambo.Lakini na nyie kwanini kumzuia mwenzako asiende kwenye shoo kitu roho inapenda?
Kwanini mnataka kusikilizwa nyie tu, kwanini wake zenu hamuwasikilizi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Diamond fahidi maisha na umaarufu kadri unavyoweza maisha hayana second chance kula bata kaka lahiti ningekuwa na umaarufu hata wa kingwendu tu mngenikoma
Amekosea, inabidi akumalize kimya kimya. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dina Unanicheka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hahaha nimetoka kutazama video ya Millard Ayo hapa kuna tukio alipigwa mwanaume akapiga mara 42 simu haijapokelewa. One of the reasons naona akaishia kurelease tension kwa risasi.Wee wanawake dawa yao ni kutomberr tuu na kutupa kule....mbususu zipo kwa ajili yute wanaume tuzigegede
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na mie nimecheka hapo pa kuwakomesha wanawake wenzieEti wanawakee wako wakome yeye hatakoma
Ana wivu tu Ila hizo kauli sio nzuri maneno huumba
Nawe jitahidi kumuheshimu utauawa ohoo
Bora ulipta somo mapema. Hawa usijidanganye eti bby i love u. Mhm utaumia.hawa ni bby i wana f.uck period.Hahaha nimetoka kutazama video ya Millard Ayo hapa kuna tukio alipigwa mwanaume akapiga mara 42 simu haijapokelewa. One of the reasons naona akaishia kurelease tension kwa risasi.
Imenikumbusha kuna du nilikuwa namkubali kichizi nikawa nafanya matukio ya ajabu pia. Siku nikajikuta napiga makelele kwenye simu baada ya missed call 4 tu sijui 42 ingekuaje. Hahaha alinipa funzo nzuri sana yule pisi kali.
Yaan ushabiki wa mpira ndo ifikie hatua hii? Mmmh kuna kitu hapa sio buree.Huyo Swalher ni shabiki wa harmo,domo anasingiziwa. Alikua anatumia jina iam_swallher kule instaView attachment 2243690