Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Ngosha umeoa dem anaurafiki na wasanii lakin hutak aende kwenye shw
Screenshot_20220529-235643.jpg
 
Yani hii inaonekana ilikuwa series ya matukio jamaa anayadidimiza moyoni tu then one day moyo ukalipuka akapiga mtu risasi.

Wanawake wengine wanajiona sana. Kama huyo nikimcheki tu fasta fasta ana ego issues na mwana ndio alikuwa ananyenyekea hapo. Hakujua jinsi ya kudeal nae vizuri akajikuta mvumilivu na matokeo ndio haya.

Kwa wanaume kama unaona unaendelea kuchase wakati mtu ni wako tayari, kimbia fasta mwanamke atakufanya ufanye tukio usilotegemea.
Wee wanawake dawa yao ni kutomberr tuu na kutupa kule....mbususu zipo kwa ajili yute wanaume tuzigegede
 
Wakuu story ni kwamba huyu jamaa kwenye picha amemuua huyo mkewe usiku wa kuamkia leo huko Mwanza ikidaiwa ni baada ya kumkataza mkewe asiende kwenye show ya Mondi.

Baada ya kumwambia asiende kwenye hiyo show ya Nasib Abdul, mke akakaidi akaenda.

Jamaa amempiga risasi saba za kichwa na inasemekana na yeye kajiua japo maiti yake haijaonekana.

Ila na nyie Wanawake mpunguze visirani. Inaonesha jinsi huyu Marehemu alikuwa mkaidi na hamsikilizi Mme wake.

Mme kakuambia sitaki uende pahala fulani then wewe unakaidi ni nini kama sio dharau na kiburi?

By the way anything else Happen for a reason.

RIP Binti MzuriView attachment 2243941
View attachment 2243573



View attachment 2243574
Imebidi nibold utumbo uloandika hapo. So una justify mtu kuua?
 
Lakini na nyie kwanini kumzuia mwenzako asiende kwenye shoo kitu roho inapenda?

Kwanini mnataka kusikilizwa nyie tu, kwanini wake zenu hamuwasikilizi?
"Enyi wake, watiini waume zenu kama kumtii Bwana wetu. Kwa maana mume ni kichwa cha mkewe, kama Kristo naye ni kichwa cha Kanisa; naye ni mwokozi wa mwili. Lakini kama vile Kanisa limtiivyo Kristo vivyo hivyo wake nao wawatii waume zao katika kila jambo.

Enyi waume, wapendeni wake zenu, kama Kristo naye alivyolipenda Kanisa, akajitoa kwa ajili yake; ili makusudi alitakase na kulisafisha kwa maji katika neno; apate kujiletea Kanisa tukufu, lisilo na ila wala kunyanzi wala lo lote kama hayo; bali liwe takatifu lisilo na mawaa. Vivyo hivyo imewapasa waume nao kuwapenda wake zao kama miili yao wenyewe. Ampendaye mkewe hujipenda mwenyewe. Maana hakuna mtu anayeuchukia mwili wake po pote; bali huulisha na kuutunza, kama Kristo naye anavyolitendea Kanisa"

Sasa wewe jitie una hekima au akili kuliko Mungu, utafurahia mziki wake!
Mbona gari la Petroli huwa mnajaza bila kuhoji au kuamua kuweka dizeli?
 
Diamond fahidi maisha na umaarufu kadri unavyoweza maisha hayana second chance kula bata kaka lahiti ningekuwa na umaarufu hata wa kingwendu tu mngenikoma
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
RIP Dada mzuri.
Ila hii kuna mengi zaidi ya kwa show ya Mond. Tusubiri tuone.
 
Wee wanawake dawa yao ni kutomberr tuu na kutupa kule....mbususu zipo kwa ajili yute wanaume tuzigegede
Hahaha nimetoka kutazama video ya Millard Ayo hapa kuna tukio alipigwa mwanaume akapiga mara 42 simu haijapokelewa. One of the reasons naona akaishia kurelease tension kwa risasi.

Imenikumbusha kuna du nilikuwa namkubali kichizi nikawa nafanya matukio ya ajabu pia. Siku nikajikuta napiga makelele kwenye simu baada ya missed call 4 tu sijui 42 ingekuaje. Hahaha alinipa funzo nzuri sana yule pisi kali.
 
Eti wanawakee wako wakome yeye hatakoma
Ana wivu tu Ila hizo kauli sio nzuri maneno huumba
Nawe jitahidi kumuheshimu utauawa ohoo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na mie nimecheka hapo pa kuwakomesha wanawake wenzie
 
Hahaha nimetoka kutazama video ya Millard Ayo hapa kuna tukio alipigwa mwanaume akapiga mara 42 simu haijapokelewa. One of the reasons naona akaishia kurelease tension kwa risasi.

Imenikumbusha kuna du nilikuwa namkubali kichizi nikawa nafanya matukio ya ajabu pia. Siku nikajikuta napiga makelele kwenye simu baada ya missed call 4 tu sijui 42 ingekuaje. Hahaha alinipa funzo nzuri sana yule pisi kali.
Bora ulipta somo mapema. Hawa usijidanganye eti bby i love u. Mhm utaumia.hawa ni bby i wana f.uck period.
 
Sema huyu Mwanaume ana uso wa ukatili mno na inaonesha ndoa yao haikuwa na maelewano.
 
Back
Top Bottom