Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,356
- 38,922
Inasemwa na nani?Inasemwa Mondi alikuwa anakula hiyo kaziView attachment 2243587
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasemwa na nani?Inasemwa Mondi alikuwa anakula hiyo kaziView attachment 2243587
Mdomo ndo chanzoKitakuwa kijisababu tu hicho
Inasemwa na nani?Inasemwa sio mke ni mchepuko,
Ndo auliwe? Huo umereason ujingaHuyu Dada hakuwa na Utii na Mme Wake, Hakuna watu ambao wanaumizwa na majibu ya Mwanamke kama Mwanaume.
.
Hatuwezi Jua baada ya Marehemu Kurudi Huko Alimjibu Nini Mwanaume Wake.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ni ushamba tu kwann usipotezeeNa unakuta independently hawawezi ku-afford hizo bata, wanategemea jasho la haohao wanaume wanaowadharau.
Kwanini wasile chuma sasa.
Mapenzi yanauwaWakuu Story Ni Kwamba Huyu jamaa kwenye picha amemua huyo mkewe usiku wa kuamkia leo huko Mwanza baada ya kumkataza mkewe asiende kwenye show ya Mondi.
Baada ya Kumwambia Asiende Kwenye hyo Show ya Nasib Abdul Mke akakaidi akaenda.
Jamaa amempiga risasi saba za kichwa na inasemekana na yeye kajiua japo maiti yake haijaonekana. Ila na Nyie Wanawake Mpunguze Visirani.
Inaonyesha jinsi Huyu Marehemu Alikuwa mkaidi na hamsikilizi Mme Wake.
Mme Kakuambia sitaki Uende Pahala Fulani then ww unakaidi ni Nini Kama Sio Dharau na Kiburi?
By the way anything else Happen for a reason.
RIP Binti MzuriView attachment 2243573View attachment 2243574
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hata ni ningemuua kummmaeNdo auliwe? Huo umereason ujinga
Nawe ndo walewale tu.Hakuna sababu yeyote ile inayo halalisha mauaji let alone hizo petty reasons.
Mtu aende kwenye show ndo sababu ya kumuua au kisa hakusikilizi ndo umuue?
Mke sio mtumwa wako akose uhuru wake na kuacha Kila kitu anachopenda na kufanya unayotaka wewe tu sio kifungo hicho.
Hii victim blaming inabidi iishe na watu wajue ndoa sio utumwa. Mkishindwana mnaachana it's that simple sio kutoa uhai wa mtu. Imagine dada au Binti yako anauwawa kwa hivi visababu uchwara. Hakuna sababu yeyote ile inayo guarantee kutoa uhai wa mtu.
Kitabu gani hiki
Aina hii ni ya kupig kuachaa tuTunakoseaga sana. Unaacha kuoa mke..unaoa mwanamke.
Mwanamke ni yeyote mwenye uke na anaweza kukosa sifa ya kuwa mke.
Ukioa malaya yeye anaringia uke..tako na sura..haoni shida kuvunja ndoa kwa hamu ya siku zote.
Huyu amejitakia
HahahaAina hii ni ya kupig kuachaa tu
Syo kuoa
Ova
Nawe ndo walewale tu.
Hivi wasukuma na kujichumbua mtaacha lini???Wakuu Story Ni Kwamba Huyu jamaa kwenye picha amemua huyo mkewe usiku wa kuamkia leo huko Mwanza baada ya kumkataza mkewe asiende kwenye show ya Mondi.
Baada ya Kumwambia Asiende Kwenye hyo Show ya Nasib Abdul Mke akakaidi akaenda.
Jamaa amempiga risasi saba za kichwa na inasemekana na yeye kajiua japo maiti yake haijaonekana. Ila na Nyie Wanawake Mpunguze Visirani.
Inaonyesha jinsi Huyu Marehemu Alikuwa mkaidi na hamsikilizi Mme Wake.
Mme Kakuambia sitaki Uende Pahala Fulani then ww unakaidi ni Nini Kama Sio Dharau na Kiburi?
By the way anything else Happen for a reason.
RIP Binti MzuriView attachment 2243573View attachment 2243574
Kuna vya kusikiliza na vya kupuuza. Kama hayo mambo ya show yakazi gani mtu ushaolewa na familia yako. Usipoenda itakupunguzia NiniLakini na nyie kwanini kumzuia mwenzako asiende kwenye shoo kitu roho inapenda?
Kwanini mnataka kusikilizwa nyie tu, kwanini wake zenu hamuwasikilizi?
Uongo tu,Aina hii ni ya kupig kuachaa tu
Syo kuoa
Ova