usser
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 13,956
- 14,032
Sema jamaa Kama alikua amevumilia mengiUnahukumu Tena kaaahh!kisirani ndo amuue si angempa talaka
Hiv haya mapenz ukimpenda mtu Sana na ukamuonesha hapo ndo dharau zinaanzia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema jamaa Kama alikua amevumilia mengiUnahukumu Tena kaaahh!kisirani ndo amuue si angempa talaka
Mdada wenyewe wa mjini!jamaa alitegemea nini Sasa!wameishia kaburiniSema jamaa Kama alikua amevumilia mengi
Hiv haya mapenz ukimpenda mtu Sana na ukamuonesha hapo ndo dharau zinaanzia
Comments za huyo jamaa mmh!Labda nikukumbushe mfumo dume ni asili mfumo ke ni wa bandia
Wanawake Walio wengi akili amna! Asa akiwa na kaumbo na sura ndo Kabisa- ukikubali kuolewa unatakiwa uwe mtii kwa Mume wako akuna mbadalaKupata mwanamke anaekusikiliza na kukuheshimu kama baba yake ni baraka kubwa sana ambayo wengi wanaikosa katika kizazi hiki, Asante Mungu.
Muda mwingine sisi wanaume tunashindwa kusimamia uanaume wetu, hivi Mungu kakujalia Pesa na afya ya nini kung'ang'ania mwanamke anaekuumiza akili?? Najua mapenzi yanauma na pengine labda kuna watu wapo humu jf muda huu wanapitia fukuto la mahusiano, nawashauri mfanye maamzi ya kiume kabla hamjachelewa.
"Every woman in any given reletionship, is taken as the man's project".
Project imekushinda, achia wengine wahangaike nayo kwanini uumie?
Jamaa nimekubali narration yako uko vzr[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]!!Unaambiwa
Kabla hajaolewa alikua ni mtu wa make up sana, akaolewa mchizi kwa kuwa ni mtu wa samaki town akamnunulia dada mitumbwi 5 yenye engine afanye pia biashara.
.
Juzi kati kamnunulia Crown na nyumba kubwa maeneo ya Buswelu huko.
.
Dada kaenda kutazama mpira na wahuni na kweli katoka huko kapitia kwa show ya Diamond na wahuni.
.
Alizuiwa hakusikia, sijui ktk kufokeana wakasikia Paaa... Paaa... Paaa... Paaa... Paaaa... Paaaa.... Paaaa saba hizo. Afu jamaa kapotea.
.
Ila sasa wanadai jamaa ni mpole sana na mtaratibu na mstaarabu ikafkia hatua dem akawa anautumia upole wa jamaa vbaya kwa kiburi
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Endelea kutupa details mkuu!! So sad!. Angemuacha tu aendeUnaambiwa
Kabla hajaolewa alikua ni mtu wa make up sana, akaolewa mchizi kwa kuwa ni mtu wa samaki town akamnunulia dada mitumbwi 5 yenye engine afanye pia biashara.
.
Juzi kati kamnunulia Crown na nyumba kubwa maeneo ya Buswelu huko.
.
Dada kaenda kutazama mpira na wahuni na kweli katoka huko kapitia kwa show ya Diamond na wahuni.
.
Alizuiwa hakusikia, sijui ktk kufokeana wakasikia Paaa... Paaa... Paaa... Paaa... Paaaa... Paaaa.... Paaaa saba hizo. Afu jamaa kapotea.
.
Ila sasa wanadai jamaa ni mpole sana na mtaratibu na mstaarabu ikafkia hatua dem akawa anautumia upole wa jamaa vbaya kwa kiburi
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hapa kwa majibu hayo halafu uwe na stress zako dili zimekwama bills kibao..mikopo juu.Mbaya zaidi usiombe uwe na mdada mrembo na mwenye kazi yake .mkizinguana Tu majibu yake km Una roho ndogo unaweza kumnyonga
Utasikia sikiliza wewe mwanaume,usifikiri eti ukiniacha Mimi siwezi kuishi bila wewe,Kwanza kuna wanaume kibao Tu wenye hela wananitaka lkn nimeamua kukuvumilia..utadhani kwako yupo Kwa hisani ya watu wa Marekani
Ficha ujinga wako,sio vizuri kila mtu ajue we ni mjingaWatu wa kand ya ziwa ni wajinga sana. narudia wajinga sana tena washamba wote wanaume and wanawake. Dar sisi hapo unapiga chini tena kwa furaha ,anakuona maisha yanasonga taratiiiibu. Mwanza tabia za kimagufuli tuuu. Hovyo kabisa.
Mwamba sijui huwa anataka kuwafurahisha wanawake humu.Sema wewe jamaa una ushauri wa kingese sana kuhusiana na mambo ya wanawake na mahusiano
Mleta habari lazima alishuhudia ugomvi mkuu, habari kama hizi huletwa na ndugu au marafiki wa karibuKama muhusika amefariki,na mwingine hajulikani nyie mmejuaje kuwa alimkataza??
Sahihi.Unajua ukimkuta mtu na hobbies zake huwezi kumzuia.
.
Aidha uungane naye ama usiwe naye kabisa
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Duuu hata me nshaambiwa kitu kama icho ckuweka maanani sasa majuz nimekuja nataka mzigo Nipige akasema amechoma nikamwambia . we endelea kuchoka IPO siku ntakuletea mtoto wa nje .imemuuma kuliko mpaka saiz hajakaa sawaJuzi nimechelewa Kurudi, waifu ananambia Ww endelea Ipo Siku Nitakupa sumu Ili Hao wanawake WaKo wakome. Niko kwenye process ya kumtema Ingawa aliomba msamaha Asubuhi.
.
Huyu Mwanamke ninaishi nae under presumption of Marriage
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Angemuacha tu kuliko kuua na kujiua
Nyie si mnawataka maslay queen wa kuuzia sura maskani wenye sura za baba zetu hamtutaki wacha yawakuteKupata mwanamke anaekusikiliza na kukuheshimu kama baba yake ni baraka kubwa sana ambayo wengi wanaikosa katika kizazi hiki, Asante Mungu.
Muda mwingine sisi wanaume tunashindwa kusimamia uanaume wetu, hivi Mungu kakujalia Pesa na afya ya nini kung'ang'ania mwanamke anaekuumiza akili?? Najua mapenzi yanauma na pengine labda kuna watu wapo humu jf muda huu wanapitia fukuto la mahusiano, nawashauri mfanye maamzi ya kiume kabla hamjachelewa.
"Every woman in any given reletionship, is taken as the man's project".
Project imekushinda, achia wengine wahangaike nayo kwanini uumie?
Umenena vema sana. Tulio hai tumeachiwa fumbo. Jitahidi uwe na wa kuendana naye.Kupata mwanamke anaekusikiliza na kukuheshimu kama baba yake ni baraka kubwa sana ambayo wengi wanaikosa katika kizazi hiki, Asante Mungu.
Muda mwingine sisi wanaume tunashindwa kusimamia uanaume wetu, hivi Mungu kakujalia Pesa na afya ya nini kung'ang'ania mwanamke anaekuumiza akili?? Najua mapenzi yanauma na pengine labda kuna watu wapo humu jf muda huu wanapitia fukuto la mahusiano, nawashauri mfanye maamzi ya kiume kabla hamjachelewa.
"Every woman in any given reletionship, is taken as the man's project".
Project imekushinda, achia wengine wahangaike nayo kwanini uumie?