Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Sema jamaa Kama alikua amevumilia mengi
Hiv haya mapenz ukimpenda mtu Sana na ukamuonesha hapo ndo dharau zinaanzia
Mdada wenyewe wa mjini!jamaa alitegemea nini Sasa!wameishia kaburini
 
Kupata mwanamke anaekusikiliza na kukuheshimu kama baba yake ni baraka kubwa sana ambayo wengi wanaikosa katika kizazi hiki, Asante Mungu.

Muda mwingine sisi wanaume tunashindwa kusimamia uanaume wetu, hivi Mungu kakujalia Pesa na afya ya nini kung'ang'ania mwanamke anaekuumiza akili?? Najua mapenzi yanauma na pengine labda kuna watu wapo humu jf muda huu wanapitia fukuto la mahusiano, nawashauri mfanye maamzi ya kiume kabla hamjachelewa.


"Every woman in any given reletionship, is taken as the man's project".

Project imekushinda, achia wengine wahangaike nayo kwanini uumie?
Wanawake Walio wengi akili amna! Asa akiwa na kaumbo na sura ndo Kabisa- ukikubali kuolewa unatakiwa uwe mtii kwa Mume wako akuna mbadala
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji16]
Unaambiwa
Kabla hajaolewa alikua ni mtu wa make up sana, akaolewa mchizi kwa kuwa ni mtu wa samaki town akamnunulia dada mitumbwi 5 yenye engine afanye pia biashara.
.
Juzi kati kamnunulia Crown na nyumba kubwa maeneo ya Buswelu huko.
.
Dada kaenda kutazama mpira na wahuni na kweli katoka huko kapitia kwa show ya Diamond na wahuni.
.
Alizuiwa hakusikia, sijui ktk kufokeana wakasikia Paaa... Paaa... Paaa... Paaa... Paaaa... Paaaa.... Paaaa saba hizo. Afu jamaa kapotea.
.
Ila sasa wanadai jamaa ni mpole sana na mtaratibu na mstaarabu ikafkia hatua dem akawa anautumia upole wa jamaa vbaya kwa kiburi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Jamaa nimekubali narration yako uko vzr[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]!!
Wadada warembo wa mjini hawa wanasumbua sana
 
Unaambiwa
Kabla hajaolewa alikua ni mtu wa make up sana, akaolewa mchizi kwa kuwa ni mtu wa samaki town akamnunulia dada mitumbwi 5 yenye engine afanye pia biashara.
.
Juzi kati kamnunulia Crown na nyumba kubwa maeneo ya Buswelu huko.
.
Dada kaenda kutazama mpira na wahuni na kweli katoka huko kapitia kwa show ya Diamond na wahuni.
.
Alizuiwa hakusikia, sijui ktk kufokeana wakasikia Paaa... Paaa... Paaa... Paaa... Paaaa... Paaaa.... Paaaa saba hizo. Afu jamaa kapotea.
.
Ila sasa wanadai jamaa ni mpole sana na mtaratibu na mstaarabu ikafkia hatua dem akawa anautumia upole wa jamaa vbaya kwa kiburi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Endelea kutupa details mkuu!! So sad!. Angemuacha tu aende
 
Mbaya zaidi usiombe uwe na mdada mrembo na mwenye kazi yake .mkizinguana Tu majibu yake km Una roho ndogo unaweza kumnyonga

Utasikia sikiliza wewe mwanaume,usifikiri eti ukiniacha Mimi siwezi kuishi bila wewe,Kwanza kuna wanaume kibao Tu wenye hela wananitaka lkn nimeamua kukuvumilia..utadhani kwako yupo Kwa hisani ya watu wa Marekani
Hapa kwa majibu hayo halafu uwe na stress zako dili zimekwama bills kibao..mikopo juu.

Haki kama iko bastora ndani lazima umiminie hata za matrakoni.

#MaendeleoHayanaChama
 
Juzi nimechelewa Kurudi, waifu ananambia Ww endelea Ipo Siku Nitakupa sumu Ili Hao wanawake WaKo wakome. Niko kwenye process ya kumtema Ingawa aliomba msamaha Asubuhi.
.
Huyu Mwanamke ninaishi nae under presumption of Marriage

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Duuu hata me nshaambiwa kitu kama icho ckuweka maanani sasa majuz nimekuja nataka mzigo Nipige akasema amechoma nikamwambia . we endelea kuchoka IPO siku ntakuletea mtoto wa nje .imemuuma kuliko mpaka saiz hajakaa sawa
 
Kupata mwanamke anaekusikiliza na kukuheshimu kama baba yake ni baraka kubwa sana ambayo wengi wanaikosa katika kizazi hiki, Asante Mungu.

Muda mwingine sisi wanaume tunashindwa kusimamia uanaume wetu, hivi Mungu kakujalia Pesa na afya ya nini kung'ang'ania mwanamke anaekuumiza akili?? Najua mapenzi yanauma na pengine labda kuna watu wapo humu jf muda huu wanapitia fukuto la mahusiano, nawashauri mfanye maamzi ya kiume kabla hamjachelewa.


"Every woman in any given reletionship, is taken as the man's project".

Project imekushinda, achia wengine wahangaike nayo kwanini uumie?
Nyie si mnawataka maslay queen wa kuuzia sura maskani wenye sura za baba zetu hamtutaki wacha yawakute
 
Kupata mwanamke anaekusikiliza na kukuheshimu kama baba yake ni baraka kubwa sana ambayo wengi wanaikosa katika kizazi hiki, Asante Mungu.

Muda mwingine sisi wanaume tunashindwa kusimamia uanaume wetu, hivi Mungu kakujalia Pesa na afya ya nini kung'ang'ania mwanamke anaekuumiza akili?? Najua mapenzi yanauma na pengine labda kuna watu wapo humu jf muda huu wanapitia fukuto la mahusiano, nawashauri mfanye maamzi ya kiume kabla hamjachelewa.


"Every woman in any given reletionship, is taken as the man's project".

Project imekushinda, achia wengine wahangaike nayo kwanini uumie?
Umenena vema sana. Tulio hai tumeachiwa fumbo. Jitahidi uwe na wa kuendana naye.

Ila mleta uzi angejitahidi kuwa mfukunyuzi, nyuma ya pazia kunani ?
 
Back
Top Bottom