Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Juzi nimechelewa Kurudi, waifu ananambia Ww endelea Ipo Siku Nitakupa sumu Ili Hao wanawake WaKo wakome. Niko kwenye process ya kumtema Ingawa aliomba msamaha Asubuhi.
.
Huyu Mwanamke ninaishi nae under presumption of Marriage

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
160(1)LMA😂😂😂😂😂
 
Wakuu Story Ni Kwamba Huyu jamaa kwenye picha amemua huyo mkewe usiku wa kuamkia leo huko Mwanza baada ya kumkataza mkewe asiende kwenye show ya Mondi.
.
Baada ya Kumwambia Asiende Kwenye hyo Show ya Nasib Abdul Mke akakaidi akaenda.
.
Jamaa amempiga risasi saba za kichwa na inasemekana na yeye kajiua japo maiti yake haijaonekana.
.
Ila na Nyie Wanawake Mpunguze Visirani.
.
Inaonyesha jinsi Huyu Marehemu Alikuwa mkaidi na hamsikilizi Mme Wake.
.
Mme Kakuambia sitaki Uende Pahala Fulani then ww unakaidi ni Nini Kama Sio Dharau na Kiburi?
.
By the way anything else Happen for a reason.
.
RIP Binti MzuriView attachment 2243573View attachment 2243574

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kiburi utafikiri kajilipia mahari, dawa ni hiyo.

Sent from my TECNO LA6 using JamiiForums mobile app
 
Unaambiwa
Kabla hajaolewa alikua ni mtu wa make up sana, akaolewa mchizi kwa kuwa ni mtu wa samaki town akamnunulia dada mitumbwi 5 yenye engine afanye pia biashara.
.
Juzi kati kamnunulia Crown na nyumba kubwa maeneo ya Buswelu huko.
.
Dada kaenda kutazama mpira na wahuni na kweli katoka huko kapitia kwa show ya Diamond na wahuni.
.
Alizuiwa hakusikia, sijui ktk kufokeana wakasikia Paaa... Paaa... Paaa... Paaa... Paaaa... Paaaa.... Paaaa saba hizo. Afu jamaa kapotea.
.
Ila sasa wanadai jamaa ni mpole sana na mtaratibu na mstaarabu ikafkia hatua dem akawa anautumia upole wa jamaa vbaya kwa kiburi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Wakuu Story Ni Kwamba Huyu jamaa kwenye picha amemua huyo mkewe usiku wa kuamkia leo huko Mwanza baada ya kumkataza mkewe asiende kwenye show ya Mondi.
.
Baada ya Kumwambia Asiende Kwenye hyo Show ya Nasib Abdul Mke akakaidi akaenda.
.
Jamaa amempiga risasi saba za kichwa na inasemekana na yeye kajiua japo maiti yake haijaonekana.
.
Ila na Nyie Wanawake Mpunguze Visirani.
.
Inaonyesha jinsi Huyu Marehemu Alikuwa mkaidi na hamsikilizi Mme Wake.
.
Mme Kakuambia sitaki Uende Pahala Fulani then ww unakaidi ni Nini Kama Sio Dharau na Kiburi?
.
By the way anything else Happen for a reason.
.
RIP Binti MzuriView attachment 2243573View attachment 2243574

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ndiyo maana wanasema kabla ya kuoana ni vizuri sana ukajua starehe ya mwenzio (anavyo penda na asivyo penda) Ili ukiona hamuendani,unasonga mbele
 
Picha yao wakiwa pamoja inaonyesha tu ni couple iliyokua inapitia mengi, nyuso zimeficha mengi, hizi ndoa hizi zina mengi
Tena inaonekana jamaa alipata pesa nying kipind fulan labda za madin au sato akaoa huyo dada slay queen.. na sabab dada alipendea pesa.. sasa mwana inaonekana uchumi ukashuka gafla ndo dharau zilipoaanza.. na inaonekana ni dharau za muda mref.. na inaonekaa wameshazaa watoto so jamaa alikua anateseka sana.. akaona liwalo na liwe this time lazima ajimalize na ammalize

Nasemaga kila siku.. maisha ni meng sana zaid ya kuendekeza mapenz.. yaan unaua kisa penzi?. Daah
 
Kwamba mwanaume kumkataza mke wake asitoke nyumbani ni kikwazo?
Suala la msingi Je, Hilo la kumkataza lilianza baada ya ndoa au kabla? Mpaka anafikia hatua ya kwenda kwenye show ya Mondi basi ujue ni kautaratibu hawezi tu kukurupuka....

Kwa sura yenyewe ukiiangalia Utajua kabisa huyu na show ni mapacha mpaka na huyo mumewe.....
 
Watu wa kand ya ziwa ni wajinga sana. narudia wajinga sana tena washamba wote wanaume and wanawake. Dar sisi hapo unapiga chini tena kwa furaha ,anakuona maisha yanasonga taratiiiibu. Mwanza tabia za kimagufuli tuuu. Hovyo kabisa.
 
Unahukumu Tena kaaahh!kisirani ndo amuue si angempa talaka
 
Suala la msingi Je, Hilo la kumkataza lilianza baada ya ndoa au kabla? Mpaka anafikia hatua ya kwenda kwenye show ya Mondi basi ujue ni kautaratibu hawezi tu kukurupuka....

Kwa sura yenyewe ukiiangalia Utajua kabisa huyu na show ni mapacha mpaka na huyo mumewe.....
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] kumbe Kuna sura za show?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom