Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Hivi hawa wanawake wa hovyo mnawaokota wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana, jamaa wa nje anapesa ndefuWanaume wenzetu wa Mwanza mnakwama wapi aisee huyu mbona ilikuwa wa kumuacha tuu usiku huo huo?
Wanaume wa dar huwa mnatuponda lakini ukweli unatakiwa utumie sana maarifa kuliko nguvu kwa wanawake wa sasa.
Kama umemuoa TEGEMEZI basi jua ni sehemu ya MKATABA WA NDOA KUMUHUDUMIA....Muheshimu mwanaume wako acha mbwembwe na kujiona una akili sana, mbona mnapoomba matumiz hamtaki tukae mezan? Endelea na akili zako za kitoto hizo muwaache watoto yatima, hasira za mwanaume ni hatari sana, shauri yako.
Sio wote wapo hivyo kuna saa maji yanazidi unga..., Kuna msemo The last Straw which broke the Camels Back...Na inakuwaje mwanamke anakuwa comfortable na mwanaume Aina hii?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Juzi tu IGP kasema usimuue mtu kama hamuendani muache.. achaneni.. there is always second chanceWakuu Story Ni Kwamba Huyu jamaa kwenye picha amemua huyo mkewe usiku wa kuamkia leo huko Mwanza baada ya kumkataza mkewe asiende kwenye show ya Mondi.
.
Baada ya Kumwambia Asiende Kwenye hyo Show ya Nasib Abdul Mke akakaidi akaenda.
.
Jamaa amempiga risasi saba za kichwa na inasemekana na yeye kajiua japo maiti yake haijaonekana.
.
Ila na Nyie Wanawake Mpunguze Visirani.
.
Inaonyesha jinsi Huyu Marehemu Alikuwa mkaidi na hamsikilizi Mme Wake.
.
Mme Kakuambia sitaki Uende Pahala Fulani then ww unakaidi ni Nini Kama Sio Dharau na Kiburi?
.
By the way anything else Happen for a reason.
.
RIP Binti MzuriView attachment 2243573View attachment 2243574
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ya kweli haya?Inasemwa Mondi alikuwa anakula hiyo kaziView attachment 2243587
Kwamba mwanaume kumkataza mke wake asitoke nyumbani ni kikwazo?Kama umemuoa TEGEMEZI basi jua ni sehemu ya MKATABA WA NDOA KUMUHUDUMIA....
usitake kumwekea vikwazo baada ya kumwoa!!!!!
Umemchoka ni bora mkaachana...
Hivi kwani bunduki tu ndiyo zinahamasisha kudhuru au kujidhuruMajuto yalimuandama akaona nae ajimalize, na hii ishu ya umiliki wa silaha naona vibali vinatolewa kifamba sana kuna watu hawastahili kupewa silaha, watu wana historia mbovu then unakuja mmilikisha silaha
Tunasikia tu,hayajathibitishwa Rasmi maana jamaa kajiua leo mchana,so hizi ni stories Wana waliopo huko Mwanza wanasemaYa kweli haya?
🤣🤣🤣 hatariiijamaa lilikuwa na bifu kali sana na Diamond maana sio kwa risasi hizo
Andika Vice versa ya Hii Comment YakoNdio shida ya kuolewa na wenye matatizo ya akili.
Umeniandama Leo....lala usijenipigia nyeto bureJamani mbona mnatulaumu sie wakina mgosha kwa kupenda rangi ya mtume. Wee huoni toto linawaka kweli kweli yaani likiwa ndani ya nyumba unafurahi.
Tana haya mzee yaakikukalia style pendwa ya to yeye lazima utangaze ndoa mkuu
SureKupata mwanamke anaekusikiliza na kukuheshimu kama baba yake ni baraka kubwa sana ambayo wengi wanaikosa katika kizazi hiki, Asante Mungu.
Muda mwingine sisi wanaume tunashindwa kusimamia uanaume wetu, hivi Mungu kakujalia Pesa na afya ya nini kung'ang'ania mwanamke anaekuumiza akili?? Najua mapenzi yanauma na pengine labda kuna watu wapo humu jf muda huu wanapitia fukuto la mahusiano, nawashauri mfanye maamzi ya kiume kabla hamjachelewa.
"Every woman in any given reletionship, is taken as the man's project".
Project imekushinda, achia wengine wahangaike nayo kwanini uumie?