Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Wanaume wenzetu wa Mwanza mnakwama wapi aisee huyu mbona ilikuwa wa kumuacha tuu usiku huo huo?

Wanaume wa dar huwa mnatuponda lakini ukweli unatakiwa utumie sana maarifa kuliko nguvu kwa wanawake wa sasa.
Inawezekana, jamaa wa nje anapesa ndefu
 
Muheshimu mwanaume wako acha mbwembwe na kujiona una akili sana, mbona mnapoomba matumiz hamtaki tukae mezan? Endelea na akili zako za kitoto hizo muwaache watoto yatima, hasira za mwanaume ni hatari sana, shauri yako.
Kama umemuoa TEGEMEZI basi jua ni sehemu ya MKATABA WA NDOA KUMUHUDUMIA....

usitake kumwekea vikwazo baada ya kumwoa!!!!!

Umemchoka ni bora mkaachana...
 
Na inakuwaje mwanamke anakuwa comfortable na mwanaume Aina hii?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sio wote wapo hivyo kuna saa maji yanazidi unga..., Kuna msemo The last Straw which broke the Camels Back...

Yaani unaweza ukawa unamuwekea ngamia mzigo kidogo kidogo ila mwishoni kumuongezea kafimbo tu mgongo ukavunjika, point ni kwamba sio hio fimbo iliyovunja bali ni ule mzigo kuanzia mwanzo uliomuwekea..., kwahio life is not black or white kuna a lot of grey areas....

Ila kwa wanaopenda wakijua tu kwamba kupendwa leo mpaka mtu anakuona kwenye gilasi sio kwamba na kesho atakupenda vilevile au hatamuona mwingine kwenye sahani

Difference between now na hapo kale mabibi zetu walikuwa wavumilivu na walikuwa hawana options sasa hivi kina mama wana option kwahio tegemea drama kama hizi mara kwa mara
 
Wakuu Story Ni Kwamba Huyu jamaa kwenye picha amemua huyo mkewe usiku wa kuamkia leo huko Mwanza baada ya kumkataza mkewe asiende kwenye show ya Mondi.
.
Baada ya Kumwambia Asiende Kwenye hyo Show ya Nasib Abdul Mke akakaidi akaenda.
.
Jamaa amempiga risasi saba za kichwa na inasemekana na yeye kajiua japo maiti yake haijaonekana.
.
Ila na Nyie Wanawake Mpunguze Visirani.
.
Inaonyesha jinsi Huyu Marehemu Alikuwa mkaidi na hamsikilizi Mme Wake.
.
Mme Kakuambia sitaki Uende Pahala Fulani then ww unakaidi ni Nini Kama Sio Dharau na Kiburi?
.
By the way anything else Happen for a reason.
.
RIP Binti MzuriView attachment 2243573View attachment 2243574

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Juzi tu IGP kasema usimuue mtu kama hamuendani muache.. achaneni.. there is always second chance
 
Majuto yalimuandama akaona nae ajimalize, na hii ishu ya umiliki wa silaha naona vibali vinatolewa kifamba sana kuna watu hawastahili kupewa silaha, watu wana historia mbovu then unakuja mmilikisha silaha
Hivi kwani bunduki tu ndiyo zinahamasisha kudhuru au kujidhuru
Kwani angekuwa hana bunduki kuna visu mapanga hata kamba zipo
tutumie njia gani kudhibiti kamba na silaha nyingi watu wanazotumia kujidhuru

Kama hakuna njia ya kudhibiti hizi silaha nyingine hakuna sababu ya kuzuia watu kumiliki bunduki
 
Yalikua maamuzi sahihi.
Imagine umemkataza hajasikia na kaondoka show hua ni usiku mnene...unabaki na mawazo ya kinachoendelea .
Mara nyingi ukipiga cm hapokei au anazima cm kabisa.


Hasira zake akirudi usipime kabisa
 
Huyo Swalher ni shabiki wa harmo,domo anasingiziwa. Alikua anatumia jina iam_swallher kule insta
IMG-20220529-WA0053_1.jpg
 
Kupata mwanamke anaekusikiliza na kukuheshimu kama baba yake ni baraka kubwa sana ambayo wengi wanaikosa katika kizazi hiki, Asante Mungu.

Muda mwingine sisi wanaume tunashindwa kusimamia uanaume wetu, hivi Mungu kakujalia Pesa na afya ya nini kung'ang'ania mwanamke anaekuumiza akili?? Najua mapenzi yanauma na pengine labda kuna watu wapo humu jf muda huu wanapitia fukuto la mahusiano, nawashauri mfanye maamzi ya kiume kabla hamjachelewa.


"Every woman in any given reletionship, is taken as the man's project".

Project imekushinda, achia wengine wahangaike nayo kwanini uumie?
Sure
 
Kitu ambacho wanaume tunasahau nikwamba utiifu wa mke unapaswa kupaliliwa kila muda.

Sio wewe ni nunda husikilizi la mtu wewe ni wewe alafu unataka binti wa watu awe anakusiliza tu. (Kwa watoto wasasa hapo imekula kwako)

Ni wanawake wachache sana ambao waume zao sio watu wakutoka alafu yeye mke awe anatoka. Hapa hii ni familia ya kula bata ila inaonekana mwanaume amekua na ubabe mwingi bata zake hapangiwi wala wife hana mamlaka ya kutia neno ila bata za wife yeye anatia ngumu.

Nimejaribu tu kuwaza kwa sauti.
 
Back
Top Bottom