Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Unajua wangapi washapotea kwa Imani au kumpigania huyo, au Imani yoyote for that matter ?

Huenda kuamini till death do you apart au kwamba unaweza kumiliki binadamu kama bidhaa yako ndio kunapelekea mtu kupata hasira na kupoteza maisha ya mwenzake wakatikila mtu kuchukua hamsini zake kusingetupotezea Taifa nguvu kazi au kuwapa ndugu na jamii kazi ya kupoteza mtu wao na kuingia gharama na usumbufu wa hapa na pale...
Ila alikuwa na nafasi ya kumwacha kuliko kuumuua.
.
Ila Kuna wanawake wazuri na waaminifu pia na si wote wabaya pia waaminifu.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kaamua kumalizana na tatizo lake. Kiukweli kila mwanaume angeamua kuua mwanamke kwasababu ya dharau, kiburi, jeuri, kejeli, ununda, ubabe nk, wanawake wote wangeisha duniani.
Kuna wakati huwafikiria wanawake kama viumbe waliokosewa ktk uumbaji na hakuna namna ya kuwarekebisha.
 
Jamani tuangalie na wanawake wa kuoa mwanamke mwenyewe anaonekana ni shangingi la mjini alfu mtu unaenda kuoa dah hatar hii sema nae uyu mwamba anaonekana ni ngosha mana wanapenda sana wanawake weupe pasipo kuangalia tabia
Jamani mbona mnatulaumu sie wakina mgosha kwa kupenda rangi ya mtume. Wee huoni toto linawaka kweli kweli yaani likiwa ndani ya nyumba unafurahi.

Tena haya mzee yaakikukalia style pendwa ya to yeye lazima utangaze ndoa mkuu
 
Kaamua kumalizana na tatizo lake. Kiukweli kila mwanaume angeamua kuua mwanamke kwasababu ya dharau, kiburi, jeuri, kejeli, ununda, ubabe nk, wanawake wote wangeisha duniani.
Kuna wakati huwafikiria wanawake kama viumbe waliokosewa ktk uumbaji na hakuna namna ya kuwarekebisha.
Kwa hiyo nyie jinsia yenu hamjakosewa ktk Uumbaji acheni Unafiki ukute jamaa ana mabaya zaidi ya huyo aliyemuuwa
 
Kupata mwanamke anaekusikiliza na kukuheshimu kama baba yake ni baraka kubwa sana ambayo wengi wanaikosa katika kizazi hiki, Asante Mungu.

Muda mwingine sisi wanaume tunashindwa kusimamia uanaume wetu, hivi Mungu kakujalia Pesa na afya ya nini kung'ang'ania mwanamke anaekuumiza akili?? Najua mapenzi yanauma na pengine labda kuna watu wapo humu jf muda huu wanapitia fukuto la mahusiano, nawashauri mfanye maamzi ya kiume kabla hamjachelewa.


"Every woman in any given reletionship, is taken as the man's project".

Project imekushinda, achia wengine wahangaike nayo kwanini uumie?
Unaweza ukamlaumu mwanaume kwanini amng'ang'anie huyo mwanamke yawezekana Jamaa alishwekewa kitu na mwanamke kwahiyo hawezi kumuacha au mwanaume anajua akimuacha huyo mwanamke atavujisha Siri zake watu wenye pesa Siri ya anazipataje maranyingi mke anakuwa anajua
 
Unajua wangapi washapotea kwa Imani au kumpigania huyo, au Imani yoyote for that matter ?

Huenda kuamini till death do you apart au kwamba unaweza kumiliki binadamu kama bidhaa yako ndio kunapelekea mtu kupata hasira na kupoteza maisha ya mwenzake wakatikila mtu kuchukua hamsini zake kusingetupotezea Taifa nguvu kazi au kuwapa ndugu na jamii kazi ya kupoteza mtu wao na kuingia gharama na usumbufu wa hapa na pale...
Hiyo ,till death do us part itawamaliza wengi na kiuhalisia haina maana yeyote hasa linapokuja swala la wawili kutoelewana.
Hakuna haja ya kukumbatia huo ujinga

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kwanini wasingeenda wote mwanaume tumeshaambiwa tuishi nao wanawake kwa akili na sio mabavu, kwanini hakumshauri bibie waende wote shida ipo wapi kuna watu ni hasara sana kwa taifa
Unajuaje kama hakuwa na nafasi?labda alikuwa na kazi, au alikuwa safarini n.k
Halafu sio kila anachotaka mke wako unafanya eti ili aridhike hata kama una uwezo huo.
 
Unaweza ukamlaumu mwanaume kwanini amng'ang'anie huyo mwanamke yawezekana Jamaa alishwekewa kitu na mwanamke kwahiyo hawezi kumuacha au mwanaume anajua akimuacha huyo mwanamke atavujisha Siri zake watu wenye pesa Siri ya anazipataje maranyingi mke anakuwa anajua
Siku zote ukishindaa kumuwahi mwanamke mambo lazima yawe magumu huko mbeleni maana hakunaga siri ya wawili bila kuhakikisha hakuna namna mahusiano yenu yanaweza kuvurugika.

Mwanaume mtawale na umfanye mwanamke kuwa mtu wa kufata oder zako kwa njia yoyote ile, hautakaa ujutie.

Usizubae kiasi cha mwanamke kukuwahi.
 
Siku zote ukishindaa kumuwahi mwanamke mambo lazima yawe magumu huko mbeleni maana hakunaga siri ya wawili bila kuhakikisha hakuna namna mahusiano yenu yanaweza kuvurugika.

Mwanaume mtawale na umfanye mwanamke kuwa mtu wa kufata oder zako kwa njia yoyote ile, hautakaa ujutie.

Usizubae kiasi cha mwanamke kukuwahi.
Kuna wanawake wengine mkiwa kwenye uchumba kabla hujamuoa utaona ni mtu wa maana anayekusilikiza lakini ukishamuoa utaona anabadilika taratibu haswa akishaanza kujua baadhi ya issue zako,
 
Back
Top Bottom