Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Huenda hata alikuwa amepiga gambe,tusubiri Wana watupe taarifa kamiliJamaa ana uchu balaa sio kwa wivu huo, hivi unapatwaje na hasira wa wivu mpaka unamtoa mtu uhai si unamuacha mtu tu kwa amani, pisi zipo nyingii