Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Wakuu Story Ni Kwamba Huyu jamaa kwenye picha amemua huyo mkewe usiku wa kuamkia leo huko Mwanza baada ya kumkataza mkewe asiende kwenye show ya Mondi.
.
Baada ya Kumwambia Asiende Kwenye hyo Show ya Nasib Abdul Mke akakaidi akaenda.
.
Jamaa amempiga risasi saba za kichwa na inasemekana na yeye kajiua japo maiti yake haijaonekana.
.
Ila na Nyie Wanawake Mpunguze Visirani.
.
Inaonyesha jinsi Huyu Marehemu Alikuwa mkaidi na hamsikilizi Mme Wake.
.
Mme Kakuambia sitaki Uende Pahala Fulani then ww unakaidi ni Nini Kama Sio Dharau na Kiburi?
.
By the way anything else Happen for a reason.
.
RIP Binti MzuriView attachment 2243573View attachment 2243574

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Picha yao wakiwa pamoja inaonyesha tu ni couple iliyokua inapitia mengi, nyuso zimeficha mengi, hizi ndoa hizi zina mengi
 
Wakuu Story Ni Kwamba Huyu jamaa kwenye picha amemua huyo mkewe usiku wa kuamkia leo huko Mwanza baada ya kumkataza mkewe asiende kwenye show ya Mondi.
.
Baada ya Kumwambia Asiende Kwenye hyo Show ya Nasib Abdul Mke akakaidi akaenda.
.
Jamaa amempiga risasi saba za kichwa na inasemekana na yeye kajiua japo maiti yake haijaonekana.
.
Ila na Nyie Wanawake Mpunguze Visirani.
.
Inaonyesha jinsi Huyu Marehemu Alikuwa mkaidi na hamsikilizi Mme Wake.
.
Mme Kakuambia sitaki Uende Pahala Fulani then ww unakaidi ni Nini Kama Sio Dharau na Kiburi?
.
By the way anything else Happen for a reason.
.
RIP Binti MzuriView attachment 2243573View attachment 2243574

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ni kweli kabisa inaonesha alikua na dharau na mkaidi amsikilizi mume wake anatoka nawakati mume kamzuia.
 
Duu huyu alioa majanga kabisa. Yaani ni Ile kila me anageuza kichwa na hiyo sio nzuri. Aliahidiana na mtu nadhani wakajirushe. Mdada alitaka kubadilisha ladha
Wakuu Story Ni Kwamba Huyu jamaa kwenye picha amemua huyo mkewe usiku wa kuamkia leo huko Mwanza baada ya kumkataza mkewe asiende kwenye show ya Mondi.
.
Baada ya Kumwambia Asiende Kwenye hyo Show ya Nasib Abdul Mke akakaidi akaenda.
.
Jamaa amempiga risasi saba za kichwa na inasemekana na yeye kajiua japo maiti yake haijaonekana.
.
Ila na Nyie Wanawake Mpunguze Visirani.
.
Inaonyesha jinsi Huyu Marehemu Alikuwa mkaidi na hamsikilizi Mme Wake.
.
Mme Kakuambia sitaki Uende Pahala Fulani then ww unakaidi ni Nini Kama Sio Dharau na Kiburi?
.
By the way anything else Happen for a reason.
.
RIP Binti MzuriView attachment 2243573View attachment 2243574

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app

Ni kweli kabisa inaonesha alikua na dharau na mkaidi amsikilizi mume wake anatoka nawakati mume kamzuia.
Anatongozwa na wengi ndio Mana anapata kiburi
 
Jamaa ana uchu balaa sio kwa wivu huo, hivi unapatwaje na hasira wa wivu mpaka unamtoa mtu uhai si unamuacha mtu tu kwa amani, pisi zipo nyingii
Mkuu jamaa kamzuia Asiende yeye kaenda, na ukute kaenda wakati anarudi labda karudi kalewa au Kuligwa Juu. Huwezi jua alichomjibu Jamaa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Pisi sio kali kiivo ni weupe tu.

Enewei hata mimi siwezi mruhusu wife aende kwenye show za kipuuzi puuzi kama hiyo. Mwisho abakwe na vibaka bure.

RIP we mwanamke.

Na huo mwili haujapatikana sasa wamejuaje kua kajiua au how comez wahisi kajiua na mwili hawajauona?? Au ni kupoteza maboya tu jamaa ana pesa keshayeya!!
 
Kupata mwanamke anaekusikiliza na kukuheshimu kama baba yake ni baraka kubwa sana ambayo wengi wanaikosa katika kizazi hiki, Asante Mungu.

Muda mwingine sisi wanaume tunashindwa kusimamia uanaume wetu, hivi Mungu kakujalia Pesa na afya ya nini kung'ang'ania mwanamke anaekuumiza akili?? Najua mapenzi yanauma na pengine labda kuna watu wapo humu jf muda huu wanapitia fukuto la mahusiano, nawashauri mfanye maamzi ya kiume kabla hamjachelewa.


"Every woman in any given reletionship, is taken as the man's project".

Project imekushinda, achia wengine wahangaike nayo kwanini uumie?
Kabisa!

Nilifanya maamuzi magumu mapema sana ,na kama nisingefanya hivyo huenda tungebadilishana majengo ya serikali
 
Mkuu jamaa kamzuia Asiende yeye kaenda, na ukute kaenda wakati anarudi labda karudi kalewa au Kuligwa Juu. Huwezi jua alichomjibu Jamaa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kwanini wasingeenda wote mwanaume tumeshaambiwa tuishi nao wanawake kwa akili na sio mabavu, kwanini hakumshauri bibie waende wote shida ipo wapi kuna watu ni hasara sana kwa taifa
 
Back
Top Bottom