Mmmmmh bado anakuachia chakula na unakula dah pole sanaJuzi nimechelewa Kurudi, waifu ananambia Ww endelea Ipo Siku Nitakupa sumu Ili Hao wanawake WaKo wakome. Niko kwenye process ya kumtema Ingawa aliomba msamaha Asubuhi.
.
Huyu Mwanamke ninaishi nae under presumption of Marriage
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kamanda kafa kishujaa maiti yake hawawezi ionaMmmmmhhhhhhh mjadala inaonekana wanaume mnavutia upande wenu....
Hakuna JUSTIFICATION WHATEVER ya kukufanya utoe uhai wa mwenzako...
Mrudishe ulikomtoa mtoto wa watu maana uliupende Uzuri wake hukuangalia TABIA wala majibu yake na ulikubaliana Naye wakati wa uchumba LEO kaingia kwenye NDOA UNALETA WIVU NA KUMWEKEA MIPAKA!!!!! Utakuwa na akili sawasawa????
Ukimkuta binti wa watu anapenda kwenda NIGHT CLUBS na ukamwoa katika mazingira hayo hayo BASI JUA UKIINGIA KWENYE NDOA NA UKATAKA ABADILIKE BASI NI MKATABA MWINGINE NA MNATAKIWA KUKAA MEZANI......
Yaani kuna watu wakati wanatafuta wachumba wanaongozwa na tamaa na hasa kile kitu katikati ya mapaja yao, wakishaoa ndiyo wanaanza kuweka masharti......
Kwakweli kama atanusurika ANYONGWE HADI KUFA na kutuulia mdada mwenzetu...
Upo sahihi mkuu, kuna demu ni pisi kali nilitaka kuoa, ila inapenda show off sanaWanawake Wengi ambao ni Watu wa show off hawana heshima kwa wanaume Wao Kabisa, Wao wanajali Bata Tu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hata wao huwa wanatoa adhabu za vifo umesahau yule aliyemchoma mwanaume na petroli?Kwa hiyo nyie jinsia yenu hamjakosewa ktk Uumbaji acheni Unafiki ukute jamaa ana mabaya zaidi ya huyo aliyemuuwa
Huyo mfanyie demotion haraka..kashafeli kweny probationJuzi nimechelewa Kurudi, waifu ananambia Ww endelea Ipo Siku Nitakupa sumu Ili Hao wanawake WaKo wakome. Niko kwenye process ya kumtema Ingawa aliomba msamaha Asubuhi.
.
Huyu Mwanamke ninaishi nae under presumption of Marriage
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Damu ya mwezi?Kaka, mipango ishatimia, inasubiriwa execution stage, approver ni mchepuko wake; akimpagawisha na kumpa uhakika wa maisha, yu a gone brother.
Kama una lala nyumba, hakikisha vyumba tofauti, milango imara, lock inayoaminika, dirisha lisiwe la wavu. Kwa kuanzia tu! Maji, mafuta ya moto, klorofomu, damu ya mwezi n.k
Movie tu hiyo bro, usizingatie!
Point Taken,heavy pointUnatoa million 4 kununua glock,una ka ist,umepanga,unasubiri mshahara mwisho wa mwezi.Iyo 4M si uinvest hata kwenye duka la vyombo au mtumba
Mie naishi na falsafa demu akitaka kuliwa ataliwa tu hata umfungie so wife huwa namwachia aende anapotaka mradi aage tu... Akienda bila kuaga ndio panachimbika...Kitu ambacho wanaume tunasahau nikwamba utiifu wa mke unapaswa kupaliliwa kila muda.
Sio wewe ni nunda husikilizi la mtu wewe ni wewe alafu unataka binti wa watu awe anakusiliza tu. (Kwa watoto wasasa hapo imekula kwako)
Ni wanawake wachache sana ambao waume zao sio watu wakutoka alafu yeye mke awe anatoka. Hapa hii ni familia ya kula bata ila inaonekana mwanaume amekua na ubabe mwingi bata zake hapangiwi wala wife hana mamlaka ya kutia neno ila bata za wife yeye anatia ngumu.
Nimejaribu tu kuwaza kwa sauti.
Ww tiririka nayo tu! Mwishoni tukigundua ni ya uongo tunakula kona!Hii habari ni kama skeleton isiyo na nyama. Kuna vitu haviconnect kabisa. Ila kama kawaida yetu tunatiririka nayo tu
How?Muwahi Mwanamke kabla Hajakuwahi.
.
Ukishakuwahi Tu Imeisha Hyp
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ni shaba tu ya kisogoImagine ni mke wako wa ndoa alafu unamwambia sehemu fulani sitaki uende alafu analeta mambo ya kiwaki kama hivyo
Wewe ni mat@kle ms3ng3Eti wanawakee wako wakome yeye hatakoma
Ana wivu tu Ila hizo kauli sio nzuri maneno huumba
Nawe jitahidi kumuheshimu utauawa ohoo
Baharia alifanya la maana,ndio dawa yao,kupotea mieziNdo maana Kuna baharia akaona isiwe shda...akaenda zake kwa ashura tabata..[emoji23][emoji23]