Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Juzi nimechelewa Kurudi, waifu ananambia Ww endelea Ipo Siku Nitakupa sumu Ili Hao wanawake WaKo wakome. Niko kwenye process ya kumtema Ingawa aliomba msamaha Asubuhi.
.
Huyu Mwanamke ninaishi nae under presumption of Marriage

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mmmmmh bado anakuachia chakula na unakula dah pole sana
 
Kwenye hayo mahojiano ya Millard Ayo na mama wa marehemu inaonyesha binti aka marehemu aliondoka nyumbani toka alhamisi kwenda Shinyanga kumfanyia mtu make-up...tatizo likawa kurudi sasa mara leo mara kesho.....

Inaonekana shida kubwa ni wivu wa mapenzi hapo.....kuna mmoja alimpenda mwenzie kupita kiasi kama malaika...hapo ndio shida ilipoanzia..
 
Ukisikiliza maelezo ya mama mkwe inaonyesha Binti hakuwa tayari kuolewa bali jamaa labda sababu ya uzuri wa binti akaforce ndoa na influence ya pesa ikamvutia mwanadada...

tayari hapo utaona ilikuwa ndoa ya bahati mbaya sio watu wawili waliolidhiana....mmoja alipenda kuoa pambo kwa ajili ya show off, mwingine alipenda kuolewa kwa sababu ya pesa...
 
Mmmmmhhhhhhh mjadala inaonekana wanaume mnavutia upande wenu....


Hakuna JUSTIFICATION WHATEVER ya kukufanya utoe uhai wa mwenzako...


Mrudishe ulikomtoa mtoto wa watu maana uliupende Uzuri wake hukuangalia TABIA wala majibu yake na ulikubaliana Naye wakati wa uchumba LEO kaingia kwenye NDOA UNALETA WIVU NA KUMWEKEA MIPAKA!!!!! Utakuwa na akili sawasawa????

Ukimkuta binti wa watu anapenda kwenda NIGHT CLUBS na ukamwoa katika mazingira hayo hayo BASI JUA UKIINGIA KWENYE NDOA NA UKATAKA ABADILIKE BASI NI MKATABA MWINGINE NA MNATAKIWA KUKAA MEZANI......


Yaani kuna watu wakati wanatafuta wachumba wanaongozwa na tamaa na hasa kile kitu katikati ya mapaja yao, wakishaoa ndiyo wanaanza kuweka masharti......

Kwakweli kama atanusurika ANYONGWE HADI KUFA na kutuulia mdada mwenzetu...
Kamanda kafa kishujaa maiti yake hawawezi iona


Haijalishi nimekuoa na tabia gani mume ni Final say full stop tukisema kitu hatutaki hatutaki kweli

Au mnaanza.kuyapinga maandiko hamjaumbwa kututii
 
Wanawake Wengi ambao ni Watu wa show off hawana heshima kwa wanaume Wao Kabisa, Wao wanajali Bata Tu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Upo sahihi mkuu, kuna demu ni pisi kali nilitaka kuoa, ila inapenda show off sana

Yaani kitu hata kama kipo nje ya uwezo wake anataka kulazimisha kukifanya ili tu aonekane yupo juu kiuchumi

Nikamuona kichomi nikaachana nae maana sa hv najisikia kuwa na amani kuliko nilipokuwa nae

Jana kanichatisha baadae akataka nimpigie simu nikamkaushia
 
Haya mambo ni rahisi kuyachambua kama Mwl Kashasha na kujifanya mwanafalsafa kama hayakukuta.......lakini siku yakikukuta hata kama hujafanya maamuzi mabaya lakini utajua kuwa kwanini watu wanafanya maamuzi magumu.......

Ni hali ambayo simuombei hata adui yangu imkute achilia mbali rafiki yangu.......

Mungu atuzidishie mioyo ya SUBIRA na Uvumilivu katika nyakati hizi zilizojaa maudhi,kero na karaha hasa kutoka kwa wale tuliotazamia watupe furaha....
 
Juzi nimechelewa Kurudi, waifu ananambia Ww endelea Ipo Siku Nitakupa sumu Ili Hao wanawake WaKo wakome. Niko kwenye process ya kumtema Ingawa aliomba msamaha Asubuhi.
.
Huyu Mwanamke ninaishi nae under presumption of Marriage

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Huyo mfanyie demotion haraka..kashafeli kweny probation
 
Kaka, mipango ishatimia, inasubiriwa execution stage, approver ni mchepuko wake; akimpagawisha na kumpa uhakika wa maisha, yu a gone brother.

Kama una lala nyumba, hakikisha vyumba tofauti, milango imara, lock inayoaminika, dirisha lisiwe la wavu. Kwa kuanzia tu! Maji, mafuta ya moto, klorofomu, damu ya mwezi n.k

Movie tu hiyo bro, usizingatie!
Damu ya mwezi?
 
Kitu ambacho wanaume tunasahau nikwamba utiifu wa mke unapaswa kupaliliwa kila muda.

Sio wewe ni nunda husikilizi la mtu wewe ni wewe alafu unataka binti wa watu awe anakusiliza tu. (Kwa watoto wasasa hapo imekula kwako)

Ni wanawake wachache sana ambao waume zao sio watu wakutoka alafu yeye mke awe anatoka. Hapa hii ni familia ya kula bata ila inaonekana mwanaume amekua na ubabe mwingi bata zake hapangiwi wala wife hana mamlaka ya kutia neno ila bata za wife yeye anatia ngumu.

Nimejaribu tu kuwaza kwa sauti.
Mie naishi na falsafa demu akitaka kuliwa ataliwa tu hata umfungie so wife huwa namwachia aende anapotaka mradi aage tu... Akienda bila kuaga ndio panachimbika...

Huwez mkataza mtu aliyekua na maisha na hobbies zake kabla hamjakutana asi enjoy siku moja moja unakua dikteta sasa
 
Back
Top Bottom