Aise yaani umegonga mule mule. Hawa wannawake wwtu hawana cha usuper woman wala nini. Ni njaa tuu zinawasumbua hawa...hawana tofauti na wanasiasa🤣🤣🤣🤣🤣Afdhali wewe umeutambua uhalisia wa maisha ya kiafrika "mwanamke atabaki kuwa chini ya mwanaume", ila sasa wanawake wengi wameharibiwa na tamthlia za wazungu kiasi kwamba utamaduni wa kule wanataka kuuleta afrika.
Kama huwezi kuwa chini ya mwanaume kwanini ukubali ndoa wakati kama ni kutombw utatombw tu hata bila ndoa? Na kama ni mtoto unaweza kupata bila hata ndoa, JIBU linakuja kwamba wengi huolewa kutafuta uahueni wa maisha.
Hyo Ni champion leagueLakini na nyie kwanini kumzuia mwenzako asiende kwenye shoo kitu roho inapenda?
Kwanini mnataka kusikilizwa nyie tu, kwanini wake zenu hamuwasikilizi?
Kaiua hadi maiti yake maana risasi moja kichwa ilitosha Saba alikuwa anataka kuiua na roho isifike kuzimuJamaa ana uchu balaa sio kwa wivu huo, hivi unapatwaje na hasira wa wivu mpaka unamtoa mtu uhai si unamuacha mtu tu kwa amani, pisi zipo nyingii
Sahvi kuna hali ya ushamba kwa wanawake,hawataki kupitwa na ya duniaView attachment 2244083
Wanawake tujitahidi kumaliza ujana kabla ya kuingia kwenye ndoa.
Pumzika kwa amani dada hukustahili kifo kama hiki na hakuna kosa lolote linaweza kuruhusu ufanyiwe unyama kama huu..
Mi naamini ni muhimu sana mwanamke ujue unataka nini maishani mwako na tuwasome saikolojia ya waume zetu.
Ukiingia kwenye ndoa ujue tu kwa Afrika chini ya mume,kama unataka amani ya ndoa yako kubali hilo utaishi kwa furaha,muhimu msome mume akili yake nk kama atafaa kuwa kiongozi kwako....
Nimekumbuka kuna siku nilimjibu mume jibu la hasara sana,mimi niliona ni jibu la kawaida lakini yeye lilimkwaza sana maana sikuwahi kuona hasira kama ile,nashukuru alikuwa safari laiti angekuwa karibu ni siku ambayo ningepigwa kwa mara ya kwanza.Talaka ilikuwa nje nje either nichague kuwa chini yake Au niondoke [emoji28][emoji28][emoji28]toka hio siku nipo makini sana na kauli zangu
Siyo kiburi lazima ujitambue na utambue kile unachokitaka.... haiwezekani umchukue binti wa watu anapenda kwenda CLUBS, kuhudhuria shows za music na mfano wake....Na wewe unaonekana una kiburi tutakupiga risasi
Si ndio mnapenda jamani kumiliki pisi kaliIla jamani, kuoa mwanamke ambaye akikatiza lazima watu waache kazi zao wamkodolee macho ni kujitafutia maradhi tu.
Mnaishi Kwa mashindano Sana. Punguzeni kuishi Kwa mashindano. Mwanamke Lazima awe under roof ya Mwanaume wake. Huu uhuru Wa kifala mnaoutaka ndio maana mnapigwa shaba.Siyo kiburi lazima ujitambue na utambue kile unachokitaka.... haiwezekani umchukue binti wa watu anapenda kwenda CLUBS, kuhudhuria shows za music na mfano wake....
Unafika ndani unaanza kumwekea mipaka.... Utakuwa una shida KICHWANI...
Ukitaka vinginevyo kachukue kanisani au msikitini....
Sasa kapata faida gani huko alipo?Kampiga saba tu, mshenzi kweli, alitakiwa amuongezee magazine nyingine, yaani nakuambia usiende kwenye show wewe unakaidi waziwazi?!
Hii ni nature kwa baadhi ya wanawakeSema wanawake wanakera, unampa kila kitu bado hatulii...Ingawa kuua sio uamuzi sahihi.
Bila shaka ananyea debe jamaa yako au nayeye alijiua?Kuna mwanangu mmoja aliambiwa na mke wake akirudi jioni amletee Pad maana Simba walikuwa Wanacheza.
.
Mwamba kazunguka Town Kwenye mishe kasahau kurudi Home, waifu anamuuliza vipi Mzigo Wangu, Jamaa akamwambia samahani Mkewangu nimesahau ngoja nioge nikakununulie.
.
Yule mwanamke akamjibu Jamaa Wanaume Wenzako Wataleta maana ww umeshindwa
.
Demu alipigwa kichwa kimoja akaanguka Kwenye tiles Wala hakuomba hata Maji ya Kunywa.
.
Kauli za Wanawake Malaya Ni mbaya Sana
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Rafiki, pisi kali for show off tu, sio za kuweka ndani. Huko ndani kuna mikiki mingi, ukiongezea na pisi kali isiyotumia ubongo hutoboi hata 50 wallah!Si ndio mnapenda jamani kumiliki pisi kali
Alikaa Mahabusu more than 3yrs akaachiwa Kwa Manslaughter caseBila shaka ananyea debe jamaa yako au nayeye alijiua?
Hiyo inaitwa manslaughter, kuua bila kukusudia..akichanga karata vizuri atakaa jela miaka isiyozidi mitatu.Bila shaka ananyea debe jamaa yako au nayeye alijiua?
Babuu Wanawake wapunguze Mapenzi ya UhanaharakatiRafiki, pisi kali for show off tu, sio za kuweka ndani. Huko ndani kuna mikiki mingi, ukiongezea na pisi kali isiyotumia ubongo hutoboi hata 50 wallah!