Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Afdhali wewe umeutambua uhalisia wa maisha ya kiafrika "mwanamke atabaki kuwa chini ya mwanaume", ila sasa wanawake wengi wameharibiwa na tamthlia za wazungu kiasi kwamba utamaduni wa kule wanataka kuuleta afrika.

Kama huwezi kuwa chini ya mwanaume kwanini ukubali ndoa wakati kama ni kutombw utatombw tu hata bila ndoa? Na kama ni mtoto unaweza kupata bila hata ndoa, JIBU linakuja kwamba wengi huolewa kutafuta uahueni wa maisha.
Aise yaani umegonga mule mule. Hawa wannawake wwtu hawana cha usuper woman wala nini. Ni njaa tuu zinawasumbua hawa...hawana tofauti na wanasiasa🤣🤣🤣🤣🤣
 
View attachment 2244083

Wanawake tujitahidi kumaliza ujana kabla ya kuingia kwenye ndoa.

Pumzika kwa amani dada hukustahili kifo kama hiki na hakuna kosa lolote linaweza kuruhusu ufanyiwe unyama kama huu..

Mi naamini ni muhimu sana mwanamke ujue unataka nini maishani mwako na tuwasome saikolojia ya waume zetu.

Ukiingia kwenye ndoa ujue tu kwa Afrika chini ya mume,kama unataka amani ya ndoa yako kubali hilo utaishi kwa furaha,muhimu msome mume akili yake nk kama atafaa kuwa kiongozi kwako....

Nimekumbuka kuna siku nilimjibu mume jibu la hasara sana,mimi niliona ni jibu la kawaida lakini yeye lilimkwaza sana maana sikuwahi kuona hasira kama ile,nashukuru alikuwa safari laiti angekuwa karibu ni siku ambayo ningepigwa kwa mara ya kwanza.Talaka ilikuwa nje nje either nichague kuwa chini yake Au niondoke [emoji28][emoji28][emoji28]toka hio siku nipo makini sana na kauli zangu
Sahvi kuna hali ya ushamba kwa wanawake,hawataki kupitwa na ya dunia
Wasipoonekana kwenye mashuguli
Basi wanajiona wao siyo

Hat hivyo jamaa alichukua uamuz mgumu wa kumua na yeye kujipoteza

Ova
 
Na wewe unaonekana una kiburi tutakupiga risasi
Siyo kiburi lazima ujitambue na utambue kile unachokitaka.... haiwezekani umchukue binti wa watu anapenda kwenda CLUBS, kuhudhuria shows za music na mfano wake....

Unafika ndani unaanza kumwekea mipaka.... Utakuwa una shida KICHWANI...

Ukitaka vinginevyo kachukue kanisani au msikitini....
 
Siyo kiburi lazima ujitambue na utambue kile unachokitaka.... haiwezekani umchukue binti wa watu anapenda kwenda CLUBS, kuhudhuria shows za music na mfano wake....

Unafika ndani unaanza kumwekea mipaka.... Utakuwa una shida KICHWANI...

Ukitaka vinginevyo kachukue kanisani au msikitini....
Mnaishi Kwa mashindano Sana. Punguzeni kuishi Kwa mashindano. Mwanamke Lazima awe under roof ya Mwanaume wake. Huu uhuru Wa kifala mnaoutaka ndio maana mnapigwa shaba.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kampiga saba tu, mshenzi kweli, alitakiwa amuongezee magazine nyingine, yaani nakuambia usiende kwenye show wewe unakaidi waziwazi?!
 
Kuna mwanangu mmoja aliambiwa na mke wake akirudi jioni amletee Pad maana Simba walikuwa Wanacheza.
.
Mwamba kazunguka Town Kwenye mishe kasahau kurudi Home, waifu anamuuliza vipi Mzigo Wangu, Jamaa akamwambia samahani Mkewangu nimesahau ngoja nioge nikakununulie.
.
Yule mwanamke akamjibu Jamaa Wanaume Wenzako Wataleta maana ww umeshindwa
.
Demu alipigwa kichwa kimoja akaanguka Kwenye tiles Wala hakuomba hata Maji ya Kunywa.
.
Kauli za Wanawake Malaya Ni mbaya Sana

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hili swala la kusema naye alijipiga risasi ila mwili haujaonekana linaacha maswali mengi mengi sana
Ni nani alishuhudia/alithibitisha jamaa kujipiga risasi?
Kwanini mwili/maiti yake isionekane?
Alijipiga wapi? Location
Je alijipiga risasi mara tu baada ya kumuua mkewe ama alichukua muda?
Je ni nani kathibitisha kuwa jamaa alijipiga risasi na kufa kabisa?
Je kama hakujipiga na kukimbia?
 
Kuna mwanangu mmoja aliambiwa na mke wake akirudi jioni amletee Pad maana Simba walikuwa Wanacheza.
.
Mwamba kazunguka Town Kwenye mishe kasahau kurudi Home, waifu anamuuliza vipi Mzigo Wangu, Jamaa akamwambia samahani Mkewangu nimesahau ngoja nioge nikakununulie.
.
Yule mwanamke akamjibu Jamaa Wanaume Wenzako Wataleta maana ww umeshindwa
.
Demu alipigwa kichwa kimoja akaanguka Kwenye tiles Wala hakuomba hata Maji ya Kunywa.
.
Kauli za Wanawake Malaya Ni mbaya Sana

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Bila shaka ananyea debe jamaa yako au nayeye alijiua?
 
Back
Top Bottom