Na demu ni kabila gani wakuuJamaa "Me" ni mvuvi...(anajishughulisha na biashara ya samaki) kwa maelezo ya mama mkwe....biashara hii sasa hivi ni pasua kichwa, samaki hakuna mitaji imekata wavuvi Wana msongo mkubwa wa mawazo!
Kuitunza pisi Kali kama huyu Marehemu na kuipeleka viwanja jamaa hawezi...missed calls 42 na ushee kwa usiku mmoja jamaa hata uzingizi ulikosa...na ujute jamaa ni swala tano hata pombe ya kumboost kidogo hatumii, bila shaka kilichotokea ilikuwa lazima kitokee!
Leo inabidi nikague kabati na nyumbani nijue hii 🔫 umeificha wapi maana inabidi tujihami 😬😬😅😅😅 Hawa wamama zetu wa mwendo kasi, kama mnazinguana kabla hujarudi home ni bora ukabaki huko huko , ukirudi home unaweza jikuta unafanya mambo yasio kabisa. Umezinguana nae baki huko huko rudi baada ya siku mbili tatu hivi.. hii koment asione mama kijacho wangu Nuzulati
Mwanza huko ishatokeaga tukio mme akamtwanga mke risasi....Hawa viumbe kila siku hawasikii..kuna yule mwingine alichomwa na magunia mawili ya mkaa
@mzabzab sikuwezi mzeya.Bora ulipta somo mapema. Hawa usijidanganye eti bby i love u. Mhm utaumia.hawa ni bby i wana f.uck period.
Hujawahi pigwa shoo ya kibabe kutoka kwa wababe akina sie ukajikuta unapenda/love to deathWenye wivu wa namna hii nawapa pole sana.
Hasira aliyonayo mtu mpole ni mara mbili ya aliyonayo mtu wa kawaida Hawa watu wapole wa kuogopa SanaMajuto yalimuandama akaona nae ajimalize, na hii ishu ya umiliki wa silaha naona vibali vinatolewa kifamba sana kuna watu hawastahili kupewa silaha, watu wana historia mbovu then unakuja mmilikisha silaha
😅😅 tuwe makini sana na tunapo watoa na ni vyema kabla hujaamua kumuweka ndani jua background yake.. Mie manzi ikizingua nitaipiga matukio hadi ikimbie inipishe kwangu[emoji23][emoji23][emoji23]asee sijui bhana wanaume tunapitia mengi sawa mtu achepuke ila awe na nidhamu aangalie majukumu yake kama kawaida sasa haya mengine yakishaliwa tu yanaleta dharau hataki hata kupika yani...mbona wote wanachepuka ila wengine wanajua maana ya mume akirudi home anakaa kama mke..
Jaribu kupeleleza kama bwana ana gloc/pisto!!?Wakati naisoma habari hii ya kusikitisha, muda huu nimealikwa kuhudhuria harusi. Naona Bw & Bi harusi wanalishana keki kwa bashasha na tabasamu!!
Aaah! wewe ulivyo siwezi nyoosha kwako hata kidole.. wala kukugusa kwa hasiraaa... 😎😎Leo inabidi nikague kabati na nyumbani nijue hii 🔫 umeificha wapi maana inabidi tujihami 😬😬
Hv Kelsea umeahawahi penda mtu kweli ww!!Ni wendawazimu, 42missed calls za nini yaani?
Kwani hata aliye uwa alijua kama siku moja atauwa hasira hasara hebu niambie baba kijacho una miliki 🔫au huna nijipange kukwepa siku ikitokea😁😁Aaah! wewe ulivyo siwezi nyoosha kwako hata kidole.. wala kukugusa kwa hasiraaa... 😎😎
Mwanza matajiri wengi ni wavuvi. Sijui unalitazamaje hili!He he he...halafu wanasema kazi yake ni mvuvi
hapana mama kijacho, siraha kwangu mwikoo .. i wish hata ndani hata kisu kisiwepo.. yaani tukikorofishana ni body to body tuuu hakuna kunyanyua mdomo wala kunyosheana vidole 😎😎Kwani hata aliye uwa alijua kama siku moja atauwa hasira hasara hebu niambie baba kijacho una miliki 🔫au huna nijipange kukwepa siku ikitokea😁😁
Mwamba kapuyanga kuua, sasa anaishi kama digi digi sijui wameisha mdaka .. wakati angetulia zake jana kama ana vihela angeenda pale The Cask au Malaika akichukua machine kalii atulie impoze poze sasa anaenda kupambana na kaka nyaparaBaadhi ya comments za wadau kutoka sehemu mbalimbali View attachment 2244467
Ujue elimu ya mahusiano nadhani jamii yetu inatukosa mkuu.Hypergamy truly is a bitch. Na jamaa alishindwa kung'amua kuwa he is the beta provider kwenye hii arrangement
...Hivi Ufoo Saro aliishis Wapi, Mkuu?...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wanawake hawa noma sanaa... Sema wengi wao maneno tuu ila mwanaume akisema Nakuua jua mwanamke ipo siku atauliwaa kweliii..
Anyway kwenye hii kesi nilichokiona inawezekana kwa wanaume asilimia kubwa wangefanya hayaa kama una silahaa na mwanamke anakudharau na kuleta nyodo hasiraa huwaga haziwi mbalii.. Ni bora sasa awe na mipaka ya manenoo otherwise ni hatarii sanaa...!! Unaweza jikutaa tu umepiga mtu risasiii. Siafikii kilichofanyikaa sio sawaa ilaa ndio nature ya maamuzi ya mwanaume akiwa na hasiraa nadhani mnakumbuka kesi ya UFO SAROOO