Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

angemkuta na huyo jamaa nadhani angeuwa wote
 
Nakumbuka moja ya mahusiano yangu niliyopitia niliwahi kuwa na mwanaume mpigaji niliambiwa na wadogo zake na rafiki zake ila kwangu hakuwahi nipiga hata kofi yeye mwenyewe alikuwa anajishangaa.
Kauli za wanawake wa Tanga unajikuta tu unashindwa kunyanyua mkono. Ukarimu wa mwanamke kwa mumewe huleta maelewano bila kutumia nguvu
 
Hata mke anitukane matusi yote hakuna tusi jipya sio kumuua mtu,sasa unampiga mke risasi kwa vile huna nguvu za kumpiga vibao...ukiona mke hamuwezani achane nae uongeze siku za kuishi
Hayajakukuta wewe!!!
 
Ukimuoa mtu haujanunua uhuru wake?

Kwa hiyo ukiolewa unarudi home unarudi muda unaojisikia? Unaenda popote unapotaka? Acha muendelee kula risasi za.kichwa tu.
Sawa na jamaa yenu kajiua nae
 
Dah RIP mrembo
 
Wanawake mnapenda wanaume wenye pesa ila hamna uwezo wakuwatimizia mapenzi while wanaume mnapenda Wanawake wazuri ila hamna mioyo yakukabiliana na warembo wazuri na mwisho mnauwana
 
"Project" nzuri hivyo kama Marehenu Swalha alivyo unawezaje kuiacha kirahisi rahisi hivyo wanaume wengine waendelee nayo?
Damn! That woman was beautiful. The guy had all the rights to be jealous, who wouldn't?
 
Sasa huyo Ngosha na yeye ndo mwisho wake. Ataishia jela incase akiwa bado hajajiua. Hakuna faida atakayoipata kwa kuondoa uhai wa Swalha. Si angempa talaka 3 tu.Tena Waislam ni rahisi sana kutoa Talaka.
Kajipa kazi ya kutoa uhai wa mwanadamu ambayo si yake, hukumu ya Mungu yamhusu! inaelekea kabisa alikuwa anatumia nguvu ya pesa wakati hakuwa anapendwa na inaelekea alikuwa anajua kuwa hapendwi. Pesa kamwe haiwezi nunua kila kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…