Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Kwa kweli wanaume tunajileteaga presha za bure kwa kuendekeza wivu wakijinga....wannawake wapo tuenjoy nao...leo kakupa wewe kesho kampa mwengine basi yote heri tuu maana utamu upo pale pale
...Ina Deni Ndani??...
 
Dah huyu alistahili hata magazine 5 kabisa, si risasi 7. Inaonekana mwamba alikuwa mstaarabu sana ila kupenda kahaba ndo kumemponza. Ndo maana hadi kajiua

Ila angewakuta hapo ukumbini angefagia hadi mchepuko
Huyu dada alistahili apigwe na javelin kabisa!
 
Pisi yamoto mno sema inasemekana mwamba alichukua kipindi ana jiwe la maana wakawa wanaenda sawa mtoto full option yani kila atakacho muhuni anapangua mwamba akaoa kabisa na kazi alimuachisha akawa anaenda nae sawa ila kilichotokea mwamba aliyumba kipesa so akapoteza control.

Kama mjuavyo watoto wakali ni chakula ya team fisi wote wenye visu vikali so kwenye mpunga lazma ang'oke tu. Jamaa yake akaanza kuingiza wivu sasa maana kusikilizwa ikawa hamna demu akitaka kutoka hata ukimpiga ban hasikilizi anaforce tu.

Kilichofata baada ya hasira na uchungu.
 
Kuna demu wa kuthaminiwa na kuna demu mwenye tamaa tamaa. Hebu kamthamini Irene Uwoya ili tukuone ulivyo bingwa wa kupiga simu😄 kama mtatoboa hata mwezi mmoja.
 
...Wauchunguze Mwili sawasawa na Wajiaminishe. Mtuhumiwa anaweza akajiongeza na akaongea na Watu na Mwili uliokutwa Ufukweni ukawa Umetoka Mortuary na Mtuhumiwa Yuko Visiwani au Uganda Kwa Raha zake! Ogopa Pesa...!
 
Kakutana nae kwene starehe leo anataka asiende huko kwene starehe. Inabidi tujifunze kuchagua watu tunaoendana nao sio unamkuta mtu chapombe unataka aache ni haiwezekani vinginevyo tutaendelea kuuana tu.
Point kabisa, unapooa malaya ujue na package yake unaioa huwezi kuziondoa drivers zake za ukicheche na kupenda starehe na hela eti kisa umemuoa.
 
Maskini ana nafasi kubwa ya kumpata mpenzi wa kweli😄 ila tajiri wanawake walioko jirani yake ni slay queens wachumia tumbo.
 
Na kauli ndio huwa zinawacost pakubwa
 
Kwanini wasingeenda wote mwanaume tumeshaambiwa tuishi nao wanawake kwa akili na sio mabavu, kwanini hakumshauri bibie waende wote shida ipo wapi kuna watu ni hasara sana kwa taifa
Kuweni na kauli juu ya wake zenu, wewe ndiye mwanaume. Usiruhusu ujinga kwako ukadhani ndio mtaishi kwa amani. Mwanamke akileta upuuzi....kuwa mpuuzi Mara saba zaidi yake.
 
Mwanamke umri miaka 28 alaf mpambaji , kila sku Photoshop, itoshe kusema mwamba alioa bomu .....!! Na imemcost Sana
 
Hasira zikizidi huwa nahitaji total silence ya mwanamke otherwise ntampa kipondo tu.
 
Ila jamani, kuoa mwanamke ambaye akikatiza lazima watu waache kazi zao wamkodolee macho ni kujitafutia maradhi tu.
its all fun hadi pale atapoanza dhereu mbele yako na kukukazia sababu kila mtu anamtongoza hadi waliokuzidi kimaisha
 
Labda huko ulaya kwenu. Narudia tena usiruhusu ujinga katika ndoa.
 
Kmmmk walai jamaa alimzimisha😄😄😄 wanawake kauli zao ndio huwa zinawaumizaga mara nyingi sababu huropoka bila kufikiria.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…