ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Unaogopa kula shaba ya kisogo.Safi sana tunataka wanawake wawe na tabia hiiSiwezi leta mwanaume ndani. Wala michepuko sina.
...Ina Deni Ndani??...Kwa kweli wanaume tunajileteaga presha za bure kwa kuendekeza wivu wakijinga....wannawake wapo tuenjoy nao...leo kakupa wewe kesho kampa mwengine basi yote heri tuu maana utamu upo pale pale
Huyu dada alistahili apigwe na javelin kabisa!Dah huyu alistahili hata magazine 5 kabisa, si risasi 7. Inaonekana mwamba alikuwa mstaarabu sana ila kupenda kahaba ndo kumemponza. Ndo maana hadi kajiua
Ila angewakuta hapo ukumbini angefagia hadi mchepuko
Daah nimesikitika sana!!Jamaa kabugi big time
Tatizo ana pesa hana exposure
Angempiga chini atafute pisi nyingine
Mbon warembo wengi
Ova
Ukiañgalia hii picha..unaweza ukatoa ubashiri wa jinsi mahusiano yao yalivyokuwa..mwanaume kuna uwezekano amehustle sana kufika hapo alipo..labda anatokea from humble beginnings..story ya mtoto wa manzese kumiliki pisi kali ya mbezi beach..au kama mondi alivyommiliki wema..tension zinakuwa za voltage kubwa..mademu wa kali kama hao sie watoto wa uswazi ni wa kupiga na kusepa..USIOE..
Kuna demu wa kuthaminiwa na kuna demu mwenye tamaa tamaa. Hebu kamthamini Irene Uwoya ili tukuone ulivyo bingwa wa kupiga simu😄 kama mtatoboa hata mwezi mmoja.Sasa ndugu yangu hata kama unachelewa kurudi home ni wajibu wako kumuambia mkeo mapema tu leo nitachelewa kurudi sababu moja mbili huwezi kuishi na mtu bila kuwa na mawasiliano unajifanyia unayo yataka simu zipo lazima kuambiana. Mimi nashangaa ndoa zingine mimi siwezi nje ya routine zangu ni lazima nimjulishe mwenzangu niko wapi nafanya nini unajenda kitu baina yako na yeye. Nadhani kuna kitu hakiko sawa katika ndo nyingi. Mwanammke wakati mwingine sio pesa anahitaji zaidi kuthaminiwa wanapenda ukimthamini kumuheshimu vitu vidogo lakini vinawapa faraja, kumpigia simu nitachelewa kwa sababu moja napita sehemu hii ni heshima kwake. Tujifunze kuishi na wake zetu, wanawake kama watoto wavumilivu sana lakini pia ni hatari sana ukiwavunjia heshima.
...Wauchunguze Mwili sawasawa na Wajiaminishe. Mtuhumiwa anaweza akajiongeza na akaongea na Watu na Mwili uliokutwa Ufukweni ukawa Umetoka Mortuary na Mtuhumiwa Yuko Visiwani au Uganda Kwa Raha zake! Ogopa Pesa...!Polisi Jijini Mwanza wamethibitisha kwamba mwili wa Mfanyabiashara Said Mganga (37) anayedaiwa kumuua kwa risasi Mke wake Swalha Salum (28) umekutwa ufukweni mwa ziwa Victoria akiwa na jeraha la risasi kidevuni ikiaminika alijipiga.
Akiongea na AyoTV Kaimu Kamanda wa Polisi Mwanza Mairi Makori amethibitisha kifo hicho na mwili huo kuopolewa ambapo amenukuliwa akisema "mwili huo umeopolewa ziwani eneo la ufukwe wa Rock Beach ukiwa na majeraha ya risasi kajipiga kidevuni, tumejiridhisha kuwa ndiye Mtuhumiwa wa mauaji ya Swalha” #MillardAyoUPDATES
Point kabisa, unapooa malaya ujue na package yake unaioa huwezi kuziondoa drivers zake za ukicheche na kupenda starehe na hela eti kisa umemuoa.Kakutana nae kwene starehe leo anataka asiende huko kwene starehe. Inabidi tujifunze kuchagua watu tunaoendana nao sio unamkuta mtu chapombe unataka aache ni haiwezekani vinginevyo tutaendelea kuuana tu.
Jamaa kabugi big time
Tatizo ana pesa hana exposure
Angempiga chini atafute pisi nyingine
Mbon warembo wengi
Ova
Maskini ana nafasi kubwa ya kumpata mpenzi wa kweli😄 ila tajiri wanawake walioko jirani yake ni slay queens wachumia tumbo.Maskini ni Rahisi kuacha mwanamke na kuoa mwingine na siyo mtu mwenye Fedha, hapo lazima tujiulize kwanini? Na hata Masuala ya ndoa watu wenye Fedha walio wengi hawanafurahana na ndoa zao, tofauti na watu wenye maisha ya kawaida wanafurahia ndoa zao na migogoro ni michache
Hahaaa...unajitoa ufahamu nadhani. Wanawake utaacha wangapi,kuna muda majibu yenu humu yanakuwa na maswali mengi? Mkuu umeoa?Jamaa ana uchu balaa sio kwa wivu huo, hivi unapatwaje na hasira wa wivu mpaka unamtoa mtu uhai si unamuacha mtu tu kwa amani, pisi zipo nyingii
Na kauli ndio huwa zinawacost pakubwaView attachment 2244083
Wanawake tujitahidi kumaliza ujana kabla ya kuingia kwenye ndoa.
Pumzika kwa amani dada hukustahili kifo kama hiki na hakuna kosa lolote linaweza kuruhusu ufanyiwe unyama kama huu..
Mi naamini ni muhimu sana mwanamke ujue unataka nini maishani mwako na tuwasome saikolojia ya waume zetu.
Ukiingia kwenye ndoa ujue tu kwa Afrika chini ya mume,kama unataka amani ya ndoa yako kubali hilo utaishi kwa furaha,muhimu msome mume akili yake nk kama atafaa kuwa kiongozi kwako....
Nimekumbuka kuna siku nilimjibu mume jibu la hasara sana,mimi niliona ni jibu la kawaida lakini yeye lilimkwaza sana maana sikuwahi kuona hasira kama ile,nashukuru alikuwa safari laiti angekuwa karibu ni siku ambayo ningepigwa kwa mara ya kwanza.Talaka ilikuwa nje nje either nichague kuwa chini yake Au niondoke [emoji28][emoji28][emoji28]toka hio siku nipo makini sana na kauli zangu
Kuweni na kauli juu ya wake zenu, wewe ndiye mwanaume. Usiruhusu ujinga kwako ukadhani ndio mtaishi kwa amani. Mwanamke akileta upuuzi....kuwa mpuuzi Mara saba zaidi yake.Kwanini wasingeenda wote mwanaume tumeshaambiwa tuishi nao wanawake kwa akili na sio mabavu, kwanini hakumshauri bibie waende wote shida ipo wapi kuna watu ni hasara sana kwa taifa
Jamaa naona anatetea ujinga.Unajuaje Kama alikataa ,,akataka aende peke yake....???
Hasira zikizidi huwa nahitaji total silence ya mwanamke otherwise ntampa kipondo tu.Unatoa mifano rahisi kwa ishu complex. Unaongea as if unaishi Mars. Kuna baadhi ya scenarios I choose not to comment kwavile story zinazotufikia zinakuwa zipo nusu. Ila penye hasira control inapoteaga, hapo unaweza Kuta wote walikuwa na hasira, huyu zikamtuma kujibu shit, mwingine zikamtuma kuitumia bastola.
...Usimpe sababu ya kufikia kutaka kukupiga Konzi! Simple...Kwa kweli mwanaume akikupiga hata konzi ni wa kuachana nae haraka sana
its all fun hadi pale atapoanza dhereu mbele yako na kukukazia sababu kila mtu anamtongoza hadi waliokuzidi kimaishaIla jamani, kuoa mwanamke ambaye akikatiza lazima watu waache kazi zao wamkodolee macho ni kujitafutia maradhi tu.
Labda huko ulaya kwenu. Narudia tena usiruhusu ujinga katika ndoa.Sidhani kama alikosa means ya kuitafuta ya kiamani kabisa, shida kuna watu mnapenda mifumo dume sana sio kila jambo utakua mkali, jaribu pia kumpa nafasi mwenzako vitu anavyopenda mnataka mfanane kila kitu kama hupendi mziki yeye anapenda mpe nafasi unaweza mpeleka wewe ukaenda sehemu tulivu ukimsubiria atoke simple
Kmmmk walai jamaa alimzimisha😄😄😄 wanawake kauli zao ndio huwa zinawaumizaga mara nyingi sababu huropoka bila kufikiria.Kuna mwanangu mmoja aliambiwa na mke wake akirudi jioni amletee Pad maana Simba walikuwa Wanacheza.
.
Mwamba kazunguka Town Kwenye mishe kasahau kurudi Home, waifu anamuuliza vipi Mzigo Wangu, Jamaa akamwambia samahani Mkewangu nimesahau ngoja nioge nikakununulie.
.
Yule mwanamke akamjibu Jamaa Wanaume Wenzako Wataleta maana ww umeshindwa
.
Demu alipigwa kichwa kimoja akaanguka Kwenye tiles Wala hakuomba hata Maji ya Kunywa.
.
Kauli za Wanawake Malaya Ni mbaya Sana
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app