Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Wakawaida Sana,sijaona pisi hapo,
 
Huyu bwana pia ni kada?😂
 
Aisee madini wanayotoa warembo wa jf yanakushawishi uweke mke ndani lakini unabaki unajiuliza hawa wa jf sii ndio hawa hawa wa mtaani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tulia
 
Hahahahahaha wakiwa huko nje wanakuwa kama marehemu mbishii
Kabisa wabishi na jeuri juu....lakini hapa sii unasema wife material ndio hawa bwana.🤣🤣🤣🤣

Sasa kwenye vikao vyenu muwage mnawaalika hawa pisi kali naonwapate funzo
 
Uvumilivu katika ndoa ukikushinda unaenda likizo kwanza
 
Tuko wachache sana. Mimi nategemea kipato changu 100% , sijawahi tegemea hela ya mtu toka nimeanza maisha. Wanawake wanaopenda starehe mara nyingi hela sio za jasho lau, hela unayoipata kwa kukomaa ni lazima uitumie kwa staha. Mapenzi yanaumiza , lakini ukiona mtu huendani naye mwache aende, usifanye maamuzi ambayo yatakufanya uumie maisha yako yote. Bora uumie kwa muda
 
Badili mindset kuona mke ni wakumtandika na silaha yoyote brother love is good hasa ukimpata anaekustahili
Binafsi sina mtizamo huo hata kupigi sina uwezo huo. But kama mtu anahasira inafaa ajitahid kuwa mbal na vileta hasira na afunge mikkono yake mawe mazito ashindwe kupiga ama kubeba zana ya kumdhuru mtu
 
Binafsi sina mtizamo huo hata kupigi sina uwezo huo. But kama mtu anahasira inafaa ajitahid kuwa mbal na vileta hasira na afunge mikkono yake mawe mazito ashindwe kupiga ama kubeba zana ya kumdhuru mtu
Kweli brother, they deserve to ave a second chance muache aishi na akaishi na mwanaume mwingine, hakuna adhabu kali kama kumuacha mwanamke uliemjali ukampa kila kitu na uliempenda haswa, muache akaanze maisha na mwanaume mwingine atakufa kwa kuwaza uzuri uliempa, na sio kumuua
 
Plus filter ndugu
Angekuwa mrembo kuanzia ndani asingewahishwa ahera kwa risasi.
Kuna mwanaume alisema wanaume huwa wanamtoa thamani mwanamke anayewadharau na kuwakaidi hata akiwa mrembo vipi...
Ni kweli,mwanamke mazingira

Mwanamke jitunze,jiheshimu,heshimu mume,

Sema siku wengi tunaolewa na hatujui ndoa ni nini???
 
Kabisa wabishi na jeuri juu....lakini hapa sii unasema wife material ndio hawa bwana.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sasa kwenye vikao vyenu muwage mnawaalika hawa pisi kali naonwapate funzo
Niliwahi kwenda geto kwa mdada flani ambaye anadanga... anavyojipodoa sasa utasema mke si huyu..
Basi siku ya siku kuna shoga yake sijui alitaka kumkomoa au vipi si akanipitisha kwake bila yeye kujua maana huwa anaachiwa funguo...weeee vyombo vilivyotumika toka asubuhi vimetapakaa chini na havijaoshwa tangu mchana na mda huo napita ni saa 11 jioni, kitanda hakijatandikwa, miguo imepatapakaa tu haieleweki... basi siku nyingine nikiwa huo mkoa huo nikawa nimeishiwa hela baada ya malipo flani nimebaki na nauli tu. Nikamwambia naomba nije kulala kwako...kwani alikubali?? Alinipeleka kwa rafiki yake.
Wanawake waone tu barabarani wamependeza ila wengine hata kufuta watoto wao makamasi ni tatizo...
Kama unaoa hawa basi Acha kumiliki bastola, panga, shoka, kisu , bisibisi na vifaa vingine vyenye ncha kali
 
MH, hapa kuna chembechembe za jealous dhidi ya huyo dada
 
Tunajua nyie hampendani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23]mzab niache kwanza,,,hapa nimejivisha ngozi ya chui[emoji41]

Halafu eti mke unaendaje kwenye shoo??
 
Kweli kabisa mkuu. Yafaa siku zote kutengeneza akili zetu katika mtizamo chanya zaid
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…