Kwanza marehemu Said alikuwa kolo Sana,Hana exposure,yaani akajua hapa duniani huyo swala ndio mwisho hakuna wanawake wengine!..na Nyie wanaume wa humu wote mnajifanya kumsupport Said hamna exposure Kama marehemu...Maisha Ni zawadi nzuri tuliyopewa huwezi poteza uhai wako kisa mtu wakati Kuna mamilioni ya watu ulimwenguni,,eti alikuwa anampa hela kwa hela gani Bwana za kumtoa mtu uhai?kwa hiyo mitumbwi ya mbao?Sasa Kama issue Ni uchungu wa pesa Bill gate itabidi atumie Nukes
Nimekupenda sana!
Joannah
Mwanaume anaeuwa auwawe tuu hakuna namna!
Utamuuaje mtu Mzima mwenzako?
Wewe mwanaume Ukikosa nani anakuadhibu?
Kama Umemshindwa mwanamke kwaninibusimrudishe kwao?
Inaudhi sanaa kwa wanaume wanaochukua maamuzi ya Kidwanzi eti anauaaa..Wanaume woote wanaoua nao wauwawe tuu..
Kazi ya Kuua ni ya Alieumba tuu
Over!