Watetee tu mkuu watakufata huko PM, maana wadangaji wanapenda ma-good boys kama nyinyi[emoji1].
Mim nawachana ukweli kwasababu sitegemei kutongoza mwanamke humu.
NB; Mwanamke kama unapenda kutumia hela za wanaume bila kuwa na malengo nao, uza huo uchi watu wataununua na wala hakuna mwanaume atakae hangaika na wewe, sio mnakuja kudanga kwenye ndoa watu wana uchungu na hela zao bwana.
Wewe unaishi kiridhisha watu au unaishi kufurahia maisha yako? Wewe wapo wanawake sio maslay queen na wameolewa na wanatombwer tuu.Huy
Huyo slay queen ambaye unamuoa,anakua anagegedwa na kila mtu anayemtaka,maadili hayataki hivyo,bora umuweke awe mchepuko,lasivyo ni fedheha.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]khaaaa!Ugumu upo wapi wakati kama tako unalo, bikra unayo sasa ugumu upo wapi? Au una tabia mbaya?
Usijali mpenzi vocha ya line gani mwatakaKule uwanja wetu wa kujidai Tunaomba vocha mzabzab!!
Ndio uletw sababu sio visingizio[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]khaaaa!
Mimi nipo hapa kuwakumbusha wanawake wasiingie kwenye mahusiano kufata hela za wanaume ili yasiwakute haya maswaibu, kama humpendi mtu mchane mapema kabisa aondoke na hela zake...sio mtu anajenga kibanda.Yupo sahihi, mtu yeyote ukiona hakufai, iwe mshkaji hata wa kiume, girlfriend au mke ni kuachana nae tu, kama kuna gharama umeingia na huwezi kuzirudisha basi, hii dunia ina watu wazuri wengi sana kung'ang'ania watu wabaya ni ukosefu wa akili
Kuua mtu ni kukurupuka na kukosa akili. Maana utaishi kwa shida maisha yako yote au ujiue na wewe...
Mzabzab, mzee wa mbususu😂😂Usijali mpenzi vocha ya line gani mwataka
Aaaah weeeh potezea basi[emoji23]Ndio uletw sababu sio visingizio
Wee unabishankutoa vocha kwa huyu mrembo...umeona huo mzigo aliokuwa nao🤣🤣🤣🤣Mzabzab, mzee wa mbususu😂😂
Watoto hawawezi kukuelewa, hapo hapakuwa na mpira wala show.Mwenzio kaambiwa asiende mpirani kafosi na siku zote mwanamke ukimkataza asitoke kwenda mahali flani ulipomkatalia kwenda akakaidi au akalazimisha jua hicho anachoendea ni tofauti kabisa na kile ambacho amekisema kama sababu. Mfano kwa huyo Swalha hio siku ambayo alilazimisha kwenda mpirani ama kwenye show kimsingi hakwenda huko.
Kwa sisi wandewa huwa tunaelewa kabisa hio michezo.
Hahahahah hapo mnasema jamaa mbaya kweli! hakuna mke humo bora alivyomrestisha in pisi!" Mke aliaga mume alhamisi anaenda Shinyanga kumfanyia mteja wake make- up anarudi ijumaa ,mume kamruhusu, mke ijumaa hajarudi , jumamosi kaenda kuangalia mpira Simba na Yanga, kutoka Kirumba hajarudi home kainganisha Show ya Diamond," Mume kapanick , and the rest is history.
Mpe vocha mkuu, nimekiona kishundu😄😄Wee unabishankutoa vocha kwa huyu mrembo...umeona huo mzigo aliokuwa nao🤣🤣🤣🤣
Si mpaka atumeKule uwanja wetu wa kujidai Tunaomba vocha mzabzab!!
Nakwambia tako lile unapiga hadi dekiMpe vocha mkuu, nimekiona kishundu😄😄
Wee kaa standby...inatumwa wakati wowoteSi mpaka atume
Watetee tu mkuu watakufata huko PM, maana wadangaji wanapenda ma-good boys kama nyinyi😄.
Mim nawachana ukweli kwasababu sitegemei kutongoza mwanamke humu.
NB; Mwanamke kama unapenda kutumia hela za wanaume bila kuwa na malengo nao, uza huo uchi watu wataununua na wala hakuna mwanaume atakae hangaika na wewe, sio mnakuja kudanga kwenye ndoa watu wana uchungu na hela zao bwana.
Umeona ehhkuna ka feeling flan mke unakapata pale unapoambiwa nipikie nije kula😆😆
wallahy, unajihisi we ni mwanamke special
utawahi sokoni chap, uje ukae jikon mwenyewe...
lkn ndo hvyo watu tunatofautiana