Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 9,164
- 18,402
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa anafanya kazi gani? Wewe ni mwanaume mwenye hormone nyingi za kike.Kuna Demu alikuwa ananipenda Kuna siku nikaona bastola yake toka siku hiyo nikaanza kumkwepa
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Numbisaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo Swalher ni shabiki wa harmo,domo anasingiziwa. Alikua anatumia jina iam_swallher kule instaView attachment 2243690
Hata ikiwa hivyo, ni mkewe so hata akimletea ubabe.Kitu ambacho wanaume tunasahau nikwamba utiifu wa mke unapaswa kupaliliwa kila muda.
Sio wewe ni nunda husikilizi la mtu wewe ni wewe alafu unataka binti wa watu awe anakusiliza tu. (Kwa watoto wasasa hapo imekula kwako)
Ni wanawake wachache sana ambao waume zao sio watu wakutoka alafu yeye mke awe anatoka. Hapa hii ni familia ya kula bata ila inaonekana mwanaume amekua na ubabe mwingi bata zake hapangiwi wala wife hana mamlaka ya kutia neno ila bata za wife yeye anatia ngumu.
Nimejaribu tu kuwaza kwa sauti.
Nina mambo mengi sana ya kumuuliza Eva siku nikikutana nae,Unaweza kuta kamwambia katika wanaume wote naowajua, ww ndio sio mwanaume nimekosea sana kukaa na ww, natamani uniue kabisa sasa hivi, akamalizia niue niuee, niuee, niuee sasa, niuee, nimechoka, nasema niueeeee, alafu kamtemea mate usoni mara kibao, alafu anampiga piga na vibao ili amuue, alafu anamkanyaga miguu, mateke ili amuue, anampiga vibao vya kila mahali ili amuue, yaani anataka kuuawa, hata ingekuwa mm nitafanyaje sasa.
Kumzuia ni kum shoot tu.Unajua ukimkuta mtu na hobbies zake huwezi kumzuia.
.
Aidha uungane naye ama usiwe naye kabisa
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wewe mwanamke anagombana na mume wake eti aende kwenye show tena nadhani ni ya night.Sandali wewe wako sio wa hovyo?!
Wapo watu kuingia kwenye hizo kelele za clubs sijui matamasha hawawezi siyo hobby yao,binafsi mimi hata kwenye sherehe za kijamii za rafiki na ndugu huwa siendi na michango natoa so ni vigumu mtu kama huyu mwanamke kumshika mkono kumpeleka huko.Kwanini wasingeenda wote mwanaume tumeshaambiwa tuishi nao wanawake kwa akili na sio mabavu, kwanini hakumshauri bibie waende wote shida ipo wapi kuna watu ni hasara sana kwa taifa
Ila kuna watu wana wivu jamani! Japo siamini kuwa chanzo kilikuwa hicho tu, hilo lilikuwa hitimisho tu.
Inawezekama amekimbia na boat, sasa kama alikimbia na boat, basi aliwaliliana na watu kabla ya kuondoka, kama ni dereva wake wa boat, au msimamizi wa boat zake, yani mnyororo wa kumpata ni mwepesi sana, usiku asingeweza nunua line mpya, ina maana alifanya mawasiliano na line yake tu. Hao watu wa mwisho kufanya nao mawasiliano wanajua wamemuacha kisiwa gani.Mama wa marehemu kasema simu ya mwanaume ilosoma maeneo ya tunza.Tunza ni maeneo ya mwambao wa ziwa na mwanaume ni mvuvi na kutoka buswelu mpaka tunza ni karibu kupitia kiseke mimi naamini jamaa yupo kakimbia mjini tu.
Ilikuwaje hadi akamuuaacha tu, mimi rafiki yangu mpaka leo yuko jela kwa kuua mke wake....my best friend from standard one primary school,..
Ndio maana inatakiwa mbali na kuangalia kigezo cha "pisi kali" kuna vigezo vingine vya ziada vya kuendana na yule unaeoa / olewa nae au kumfanya aendane na kile ambacho unakiamini. Ukute amemchoropoa huko huko kwenye club na tena alikuwa na mtu wake ila kwa kuwa yeye alikuwa muoji demu akaingia king na ukiangalia na muda wa hiyo ndoa yao inaonyesha kabisa bado walikuwa kwenye window period ya kuwekana sawa.Huyu Dada hakuwa na Utii na Mme Wake, Hakuna watu ambao wanaumizwa na majibu ya Mwanamke kama Mwanaume.
.
Hatuwezi Jua baada ya Marehemu Kurudi Huko Alimjibu Nini Mwanaume Wake.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Tatizo uhuru huo ndo unasababisha usaliti, hakuna mwanaume anaweza vumilia kuchapiwa hiyo ni asili, so nyie wanawake inabidi kabla hujamsaliti mme wako ni bora ukaondoka hapo kwa mwanamme, sio unafanya usaliti then unarudi kupata hifadhi.Hakuna sababu yeyote ile inayo halalisha mauaji let alone hizo petty reasons.
Mtu aende kwenye show ndo sababu ya kumuua au kisa hakusikilizi ndo umuue?
Mke sio mtumwa wako akose uhuru wake na kuacha Kila kitu anachopenda na kufanya unayotaka wewe tu sio kifungo hicho.
Hii victim blaming inabidi iishe na watu wajue ndoa sio utumwa. Mkishindwana mnaachana it's that simple sio kutoa uhai wa mtu. Imagine dada au Binti yako anauwawa kwa hivi visababu uchwara. Hakuna sababu yeyote ile inayo guarantee kutoa uhai wa mtu.
Inawezekana ikawa hivyo kwa mazingira ya tukio jamaa alijiandaa mapemaInawezekama amekimbia na boat, sasa kama alikimbia na boat, basi aliwaliliana na watu kabla ya kuondoka, kama ni dereva wake wa boat, au msimamizi wa boat zake, yani mnyororo wa kumpata ni mwepesi sana, usiku asingeweza nunua line mpya, ina maana alifanya mawasiliano na line yake tu. Hao watu wa mwisho kufanya nao mawasiliano wanajua wamemuacha kisiwa gani.
Japo kama alikuwa na mkwanja mrefu sasa hivi atakuwa ashavuka boda, yupo Uganda, anaenda anza maisha mapya.