Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Mdogo wangu unashuka mapoint leo Hadi nafurahi kukusoma yani, sikujua km una akili nyingi hivi,, una msimamo na unaongea uhalisia Shem wangu akuoe sasa ili afaidi loh[emoji7][emoji7]
Hawanioni mwaya...
Wanataka tu utamu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Niombee upepo wa kisulisuli ukuje
 
Waliotwangana risasi maskin.

Kweli hamna aijuae kesho yake View attachment 2246237
Ukiingalia hii video kwa umakini utaona mambo mawili:-

1. Mwanaume anamkisi mwanamke mara nyingi na body language yake inaonyesha anakisi kwa hisia, kwa kumaanisha (he is feeling the kiss)
2. Mwanamke anajaribu kukwepa attempts zote za jamaa kumkisi though hapa watu wanaweza sema "she was busy trying to record a video". Na pia body language yake inaonyesha she was not much interested with kissing.

Hapa napata picha ya kuwa their love relationship was one-sided. Mwanamke hakuwa in real love na jamaa.

All in all, sio sahihi kutoa uhai wa bainadamu mwenzio kwa sababu za kimapenzi. #Muache_aende#
 
Ukiingalia hii video kwa umakini utaona mambo mawili:-

1. Mwanaume anamkisi mwanamke mara nyingi na body language yake inaonyesha anakisi kwa hisia, kwa kumaanisha (he is feeling the kiss)
2. Mwanamke anajaribu kukwepa attempts zote za jamaa kumkisi though hapa watu wanaweza sema "she was busy trying to record a video". Na pia body language yake inaonyesha she was not much interested with kissing.

Hapa napata picha ya kuwa their love relationship was one-sided. Mwanamke hakuwa in real love na jamaa.
Jamaaa ni shujaa. period

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo liko kwenu Wanawake, mkitaka Ndoa mnakua wapole sana hadi mnatujaza kingi mazima, mkisha tujaza mko tayari ndani ya ndoa Sasa ndiyo mnaanza kuonesha kucha zenu za ukweli kua nyinyi ni Maslay Queens wa ukweli! Sasa mkikutana na vidume wasiokua na kifua ndiyo hayo ya marisasi yanawakuta!!!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
The same applies to men
 
Ukiingalia hii video kwa umakini utaona mambo mawili:-

1. Mwanaume anamkisi mwanamke mara nyingi na body language yake inaonyesha anakisi kwa hisia, kwa kumaanisha (he is feeling the kiss)
2. Mwanamke anajaribu kukwepa attempts zote za jamaa kumkisi though hapa watu wanaweza sema "she was busy trying to record a video". Na pia body language yake inaonyesha she was not much interested with kissing.

Hapa napata picha ya kuwa their love relationship was one-sided. Mwanamke hakuwa in real love na jamaa.

All in all, sio sahihi kutoa uhai wa bainadamu mwenzio kwa sababu za kimapenzi. #Muache_aende#
Na kisha akaenda kupost mitandaoni bila kupenda au sio??
Sijui akili mnazikalia au vipi.
 
Ndoa hizi zinahitaji AKILI kuzimudu. Hivi kama mme( hata kama hana interest ya kwenda) ukanunua tickets 2, mkaenda na mkeo, ukavumilia, kingeharibika kitu?. Huyu mwanamme hamwonei huruma mama yake? Is it worthy kwenda jela/ kujiua sababu ya mkeo kwenda concert?
Hawa watakuwa walikuwa na matatizo mengine kabisa. Haiingii akilini kuua mke eti kwa sababu ameenda kwenye concert
 
Hawa watakuwa walikuwa na matatizo mengine kabisa. Haiingii akilini kuua mke eti kwa sababu ameenda kwenye concert
Kuna mambo ya Ushirikinaa kama yoteee... Mara washawahii kukuta njiwa wawili wamevishwa sandaa nyumbani kwaoo.. Hii yote ni tokana na Saidi kuwaacha wanawake aliotafuta nao na kubeba huyu slay queen naona Maex kuna mmoja akamnyooshaa maana nasikia ile nyumba kuna Mwanamke alijenga naee.. Hii dunia ina mengi sanaa
 
Back
Top Bottom