Mume anahitajika

Nanyie mnaotangazaga huku mnataka wanawake wakuwaoa hamuoni huko mitaani kwenu au haisimami au inakuwaje?
Mbona wananipm sasa huku unajuaje sina nataka kuongeza bendii acha maisha ya watu au unajuaje nawachora dah nikikupa simu yangu one day hutafungua huo mdomo mchafu wenye harufu hata upige mswakii usijione kamchizi umefika kwanza sio bure umejijua umechizikandio maana.
 
Mpaka sasa wanaume zawatu ndio nawaongoza sasa uwakubalii tu wengine basi tu.
 
samahani, unaweza kuweka picha yako angalau vijana wazoom vizuri.

akufate huko ulipo wapi? kuwa muwazi isijekuwa ni kuzimu.. haji mtu!
 
Una vigezo vigumu, awe na mvuto asipendwe huko mtaani, ofisini, kanisani akusubiri wewe JF?
Hapo sawa. Awe na mvuto na asiwe anaringaringa...
This is total controversial statement!!
 
Mbona hamjiiii?
Wamekuja ila siwaelewi
Hivi is it possible to get a man like ronaldo or actors of USA.?
BECAUSE I DID NOT SEE MY MATCH ALREADY
YES IT IS EVEN POSSIBLE TO GET RONALDO HIMSELF BUT WITH A COST.
 
Rudi kijiji kwenu umetumika huku hafu uje kwangu nikutumie
 
...
 
Ww
Nenda kwa kanisani utapata huyo mume shubaaaaaamit Muislam hawana shobo na watu dizaini yako......
 
Una Mvuto lakini?
Huyu angenikubalia ningemwonesha mvuto wangu halisi wa sehemu maalumu mpaka angeishukuru Jf kwa kiwango cha lami!!!

Vp Msweet tunaweza kumeet PM tuongee kikubwa? [emoji39]
 
Mvuto kwa mwanaume duu! ngumu kumesa!
 
Samahani dada najua unahitaji mume ambae anafanya kazi(hujasema kazi gani) ila me naomba tu niweke bayani kazi yangu; Mimi kazi yangu ni Kuuza Mapambio ya Marehemu(maua na majeneza) kwa hiyo sijui nipitie DM tuanze kujuana?
hahaaa
 
Na mimi sihongi twende kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…