Husband seeker
Senior Member
- May 6, 2018
- 125
- 76
- Thread starter
- #101
Umejuaje kama sio nawewe umepita hapa acha wenzako nawao wapitie hapa kunaatakaye kaaUmekosa wanaume hapo mtaani kwenu au ndio umetumika mtaani sasa unatafuta wa kupumzikia..?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umejuaje kama sio nawewe umepita hapa acha wenzako nawao wapitie hapa kunaatakaye kaaUmekosa wanaume hapo mtaani kwenu au ndio umetumika mtaani sasa unatafuta wa kupumzikia..?
Sorry mbona Pm ujajibuMpaka sasa wanaume zawatu ndio nawaongoza sasa uwakubalii tu wengine basi tu.
Hapo sawa. Awe na mvuto na asiwe anaringaringa...Una vigezo vigumu, awe na mvuto asipendwe huko mtaani, ofisini, kanisani akusubiri wewe JF?
Ni sawa nakusema unatafuta malaya lakini awe bikira...Hapo sawa. Awe na mvuto na asiwe anaringaringa...
This is total controversial statement!!
YES IT IS EVEN POSSIBLE TO GET RONALDO HIMSELF BUT WITH A COST.Mbona hamjiiii?
Wamekuja ila siwaelewi
Hivi is it possible to get a man like ronaldo or actors of USA.?
BECAUSE I DID NOT SEE MY MATCH ALREADY
...Mimi ni mgeni hapa JF ila nimekuja kwa nia moja mume.
Nahitaji mtu ambaye yupo serious na maisha.
Ila mimi nampenda mwanaume ambaye anajua anachotaka.
Ajiheshimu sijali umri najali kujua yeye anataka nini.
Mwanaume mwenye mvuto ajue kubembeleza ajichukue kiasi fulani.
Asiependa shida asiwe anaringaringa.
Awe na kazi .
Awe mkristo.
Wasifu wangu mimi ni mzuri najitambua.
Ninakazi
Najua kujali
Ila sihongi.
Nipo serious sana.
Tena uweze kuwatayari kuja huku nilipo.
Please not this even if you want a second wife.
I will be the one.(joking)
But people seriouly i need a man in my life jamani mwenye mvuto. Sio muislamu.
Nenda kwa kanisani utapata huyo mume shubaaaaaamit Muislam hawana shobo na watu dizaini yako......Mimi ni mgeni hapa JF ila nimekuja kwa nia moja mume.
Nahitaji mtu ambaye yupo serious na maisha.
Ila mimi nampenda mwanaume ambaye anajua anachotaka.
Ajiheshimu sijali umri najali kujua yeye anataka nini.
Mwanaume mwenye mvuto ajue kubembeleza ajichukue kiasi fulani.
Asiependa shida asiwe anaringaringa.
Awe na kazi .
Awe mkristo.
Wasifu wangu mimi ni mzuri najitambua.
Ninakazi
Najua kujali
Ila sihongi.
Nipo serious sana.
Tena uweze kuwatayari kuja huku nilipo.
Please not this even if you want a second wife.
I will be the one.(joking)
But people seriouly i need a man in my life jamani mwenye mvuto. Sio muislamu.
Huyu angenikubalia ningemwonesha mvuto wangu halisi wa sehemu maalumu mpaka angeishukuru Jf kwa kiwango cha lami!!!Una Mvuto lakini?
Mvuto kwa mwanaume duu! ngumu kumesa!Mimi ni mgeni hapa JF ila nimekuja kwa nia moja mume.
Nahitaji mtu ambaye yupo serious na maisha.
Ila mimi nampenda mwanaume ambaye anajua anachotaka.
Ajiheshimu sijali umri najali kujua yeye anataka nini.
Mwanaume mwenye mvuto ajue kubembeleza ajichukue kiasi fulani.
Asiependa shida asiwe anaringaringa.
Awe na kazi .
Awe mkristo.
Wasifu wangu mimi ni mzuri najitambua.
Ninakazi
Najua kujali
Ila sihongi.
Nipo serious sana.
Tena uweze kuwatayari kuja huku nilipo.
Please not this even if you want a second wife.
I will be the one.(joking)
But people seriouly i need a man in my life jamani mwenye mvuto. Sio muislamu.
eti awe tayali kuhamia alipo! anataka kuoa au kuolewa duu! atasubili sana....Mwanaume mwenye mvuto yupoje? Utazeeka kisa kuchagua!
hahaaaSamahani dada najua unahitaji mume ambae anafanya kazi(hujasema kazi gani) ila me naomba tu niweke bayani kazi yangu; Mimi kazi yangu ni Kuuza Mapambio ya Marehemu(maua na majeneza) kwa hiyo sijui nipitie DM tuanze kujuana?
Na mimi sihongi twende kazi.Mimi ni mgeni hapa JF ila nimekuja kwa nia moja mume.
Nahitaji mtu ambaye yupo serious na maisha.
Ila mimi nampenda mwanaume ambaye anajua anachotaka.
Ajiheshimu sijali umri najali kujua yeye anataka nini.
Mwanaume mwenye mvuto ajue kubembeleza ajichukue kiasi fulani.
Asiependa shida asiwe anaringaringa.
Awe na kazi .
Awe mkristo.
Wasifu wangu mimi ni mzuri najitambua.
Ninakazi
Najua kujali
Ila sihongi.
Nipo serious sana.
Tena uweze kuwatayari kuja huku nilipo.
Please not this even if you want a second wife.
I will be the one.(joking)
But people seriouly i need a man in my life jamani mwenye mvuto. Sio muislamu.
Mbona mm nmekutana na ww mkuu(joking) kwema lkn mkuuhapana siwezi badili....huyo simjui sijakutana nayo humu