Mume anapiga masturbation, hanipi mimi mke, nifanyeje?

Mume anapiga masturbation, hanipi mimi mke, nifanyeje?

Ndugu wana jf, niliwahi kuleta uzi hapa kipindi cha nyuma kdg mwaka jana kuomba ishauri kuwa mmewangu hashughuliki na chochote cha ndani hanunui sukari ila anataka kunywa chai , akininunulia kitu anadai nimlipe pesa yake nikasema hata unyumba amekuwa mgumu kunipa. Tumekaa muda mrefu bila kukutana kimwili iku tulipo kutana akatoa vihahawa vidunchu sana nikamuuliza una wanawake wengine nikambana sana ndo akaniambia yeye huwa anapiha mastabation sasa hiyo ni kama imesha muathiri maana akiniingia anaeza kwenda miondoko 3 akamaliza hanifurahishi hata kdg na imesha muathiri sana nimsaidieje aweze kuacha ili tufurahie mapenzi. Hatuna ugonvi wala hatujawahi kugombana
Yaani hadi mkono wake unakuzidi utamu ebu jiongezee..
 
ukisoma heading ya uzi inaonyesha mme hapigi mechi sasa kuna mimba bila mechi?
 
Ameishaathirika kisaikolojia,hapo ni wewe kuamua kumsaidia kumsaidia tu kama unampenda,tafuta mafuta ya ubuyu afu uwe unamuandaa kama mnataka kusex akiwa tayari usiingize kwanza chukua mafuta umchue taratibu kwa mikono yako ili kumhamisha kihisia toka kule kujichua kwa mikono yake,itachukua muda kurudi kuanza kuwa na hisia na mwili wako na ukiona anakaribia kupiga bao unapunguza speed zinarudi afu unaanza tena mpaka anamaliza.
Unaweza kuwa unamfanya anamalizia kwako,zoezi hili ni la kumfanya ahamishe hisia toka mikononi mwake na zihamie kwako na ili ufanikiwe lazima ujitolee nae akubali kusaidiwa,itachukua muda ila inasaidia,mafuta ya ubuyu yanasaidia kuipa nguvu mishipa ya uume.
why mafuta ya ubuyu?
 
Jifunze kuridhika na hizo "3 buttocks" anazopoga maana ndo mmeo huyo
 
Kumbe JK alikuwa anaonewa tu. Eti watu walimtaka afanye maamuzi magumu.
 
Ukweli mchungu huu hapa
Kwa nilvyokusoma yaelekea unamsumanga sana huyo mume kiasi kwamba hana hamu na wewe anaona bora ajimalizie haja zake.Tuchukulie mfano rahisi mtu yoyote akisumangwa na chakula hamu ya kula inaisha .So kama wewe ni mwanamke wa masumango na kulalamika unamkosesha mumeo hamu ya kufanya.
Kuhusu kutohudumia familia hii hali huanza tangu uchumba.Kama mkiwa wachumba alikuwa akuhudumii hawezi kuanza leo mkiwa ndani.So usimsulubu mumeo huku Jf wakati hii hali umeilea mwenyewe.Tafuta chanzo usipotafuta hata ukimpata mwingine atakuwa kama huyu
What you are looking for is within you.
 
Utasemaje hamn ugomvi wakati hata sukari hanunui ndani na akinunua unamlipa hela yake...... We sema unataka kuchepuka
 
Ndugu wana jf, niliwahi kuleta uzi hapa kipindi cha nyuma kdg mwaka jana kuomba ishauri kuwa mmewangu hashughuliki na chochote cha ndani hanunui sukari ila anataka kunywa chai , akininunulia kitu anadai nimlipe pesa yake nikasema hata unyumba amekuwa mgumu kunipa. Tumekaa muda mrefu bila kukutana kimwili iku tulipo kutana akatoa vihahawa vidunchu sana nikamuuliza una wanawake wengine nikambana sana ndo akaniambia yeye huwa anapiha mastabation sasa hiyo ni kama imesha muathiri maana akiniingia anaeza kwenda miondoko 3 akamaliza hanifurahishi hata kdg na imesha muathiri sana nimsaidieje aweze kuacha ili tufurahie mapenzi. Hatuna ugonvi wala hatujawahi kugombana
Anza kumlipisha ngono na wewe. Lizigo kama hilo unataka ulisaidie ili iweje, halikuridhishi, halikuhudumii. Achana nae na punyeto zake.
 
Kabla hamjaoana uchumba wenu ulidumu kwa mda gani? Huko nyuma alikuwa anapiga mzigo fresh?
 
Back
Top Bottom