Ameishaathirika kisaikolojia,hapo ni wewe kuamua kumsaidia kumsaidia tu kama unampenda,tafuta mafuta ya ubuyu afu uwe unamuandaa kama mnataka kusex akiwa tayari usiingize kwanza chukua mafuta umchue taratibu kwa mikono yako ili kumhamisha kihisia toka kule kujichua kwa mikono yake,itachukua muda kurudi kuanza kuwa na hisia na mwili wako na ukiona anakaribia kupiga bao unapunguza speed zinarudi afu unaanza tena mpaka anamaliza.
Unaweza kuwa unamfanya anamalizia kwako,zoezi hili ni la kumfanya ahamishe hisia toka mikononi mwake na zihamie kwako na ili ufanikiwe lazima ujitolee nae akubali kusaidiwa,itachukua muda ila inasaidia,mafuta ya ubuyu yanasaidia kuipa nguvu mishipa ya uume.