Konda wa bodaboda
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 7,981
- 4,170
Vipi una hakika wewe ni msafi, hunuki kikwapa, mdomo nk?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu hapaNdugu wana jf, niliwahi kuleta uzi hapa kipindi cha nyuma kdg mwaka jana kuomba ishauri kuwa mmewangu hashughuliki na chochote cha ndani hanunui sukari ila anataka kunywa chai , akininunulia kitu anadai nimlipe pesa yake nikasema hata unyumba amekuwa mgumu kunipa. Tumekaa muda mrefu bila kukutana kimwili iku tulipo kutana akatoa vihahawa vidunchu sana nikamuuliza una wanawake wengine nikambana sana ndo akaniambia yeye huwa anapiha mastabation sasa hiyo ni kama imesha muathiri maana akiniingia anaeza kwenda miondoko 3 akamaliza hanifurahishi hata kdg na imesha muathiri sana nimsaidieje aweze kuacha ili tufurahie mapenzi. Hatuna ugonvi wala hatujawahi kugombana
Musturbation sio nzuri ila kwa yeyote aliyehathirika nayo anaweza kurudi katika nguvu zake za zamani. Hakikisha anakula vifustavyo:-Ndugu wana jf, niliwahi kuleta uzi hapa kipindi cha nyuma kdg mwaka jana kuomba ishauri kuwa mmewangu hashughuliki na chochote cha ndani hanunui sukari ila anataka kunywa chai , akininunulia kitu anadai nimlipe pesa yake nikasema hata unyumba amekuwa mgumu kunipa. Tumekaa muda mrefu bila kukutana kimwili iku tulipo kutana akatoa vihahawa vidunchu sana nikamuuliza una wanawake wengine nikambana sana ndo akaniambia yeye huwa anapiha mastabation sasa hiyo ni kama imesha muathiri maana akiniingia anaeza kwenda miondoko 3 akamaliza hanifurahishi hata kdg na imesha muathiri sana nimsaidieje aweze kuacha ili tufurahie mapenzi. Hatuna ugonvi wala hatujawahi kugombana
ngoja nimwonyeshe demu wangu anifanyie... ila mkuu we professional aisee...!!!!Kufanya mapenzi yanahitaji maandalizi sio kwake tu, kwa pande mbili ila kwa kuwa wako ni addictive basi wewe ndo uwe mtundu na kumuandaa mwenza wako, kama bae wako anapata shida kukupiga kitu vizuri ni namna ya kucheza na mind set yake, mikogo nakshi nakshi kama kuvaa vinguo vya mtego mkiwa ndani, khanga moja ndembe ndembe, bikins, kuwa na tabia kuugusa uume wake kwa mkono kama una ukanda pia unamkanda mkanda korodani mbona within aweek atasahau sabuni, lotion na picha za ngono kwa kujichua hebu jaribu huo mkakati might be usefull
Alianza kabla hatujaoana wakati yuko form threeKuna baadhi nimeshindwa kushauri sababu sijajua alianza kabla hamjaoana au baada ya kuoana na wewe,ukijibu hilo kuna ziada.
Mkuu mimi nina mke na ni mpenzi sana wa hicho chama cha CHAPUTA na nimeshakuwa addictive ila nikiingia mzigoni mpaka bed inamuombea poooo jinsi anavyo chezeshewa bundasliga na akitoka hapo anaweza kukaa wiki asinitamaniNdugu wana JF,
Niliwahi kuleta uzi hapa kipindi cha nyuma kidogo mwaka jana kuomba ushauri kuwa mume wangu hashughuliki na chochote cha ndani hanunui sukari ila anataka kunywa chai, akininunulia kitu anadai nimlipe pesa yake nikasema hata unyumba amekuwa mgumu kunipa.
Tumekaa muda mrefu bila kukutana kimwili ila tulipokutana akatoa vishahawa vidunchu sana nikamuuliza una wanawake wengine, nikambana sana ndo akaniambia yeye huwa anapiga mastabation sasa hiyo ni kama imeshamuathiri maana akiniingia anaeza kwenda miondoko 3 akamaliza hanifurahishi hata kidogo na imeshamuathiri sana.
Nimsaidieje aweze kuacha ili tufurahie mapenzi.
Hatuna ugonvi wala hatujawahi kugombana.
wewe ni mtoto kabisaaa na hauko kwenye ndoa akili zako za kitoto.ukikosa ushauri pita kimya kimya,do you think she is joking .mtoa maada pole mwaya hua inaumiza mtu asiporidhika kwenye sex vumilia but mtaftie vyakula natural kwa wingi.Mpe kikombe akukingie anapoenda kupunyetika kama shida yako ni shahawa
jibu..hilokwani mumeo ni member wa CHAPUTA?
haahaahaahaaMumeo si ndo katibu wa CHAPUTA!?