Mume anapiga masturbation, hanipi mimi mke, nifanyeje?

Mume anapiga masturbation, hanipi mimi mke, nifanyeje?

Ndugu wana jf, niliwahi kuleta uzi hapa kipindi cha nyuma kdg mwaka jana kuomba ishauri kuwa mmewangu hashughuliki na chochote cha ndani hanunui sukari ila anataka kunywa chai , akininunulia kitu anadai nimlipe pesa yake nikasema hata unyumba amekuwa mgumu kunipa. Tumekaa muda mrefu bila kukutana kimwili iku tulipo kutana akatoa vihahawa vidunchu sana nikamuuliza una wanawake wengine nikambana sana ndo akaniambia yeye huwa anapiha mastabation sasa hiyo ni kama imesha muathiri maana akiniingia anaeza kwenda miondoko 3 akamaliza hanifurahishi hata kdg na imesha muathiri sana nimsaidieje aweze kuacha ili tufurahie mapenzi. Hatuna ugonvi wala hatujawahi kugombana
Huu hapa
Mume wangu hajishughulishi na familia, namfanyia kila kitu, nimechoka
Pole sana ndugu tiku tafuta mwanasaikolojia awasaidie
 
Ndugu wana jf, niliwahi kuleta uzi hapa kipindi cha nyuma kdg mwaka jana kuomba ishauri kuwa mmewangu hashughuliki na chochote cha ndani hanunui sukari ila anataka kunywa chai , akininunulia kitu anadai nimlipe pesa yake nikasema hata unyumba amekuwa mgumu kunipa. Tumekaa muda mrefu bila kukutana kimwili iku tulipo kutana akatoa vihahawa vidunchu sana nikamuuliza una wanawake wengine nikambana sana ndo akaniambia yeye huwa anapiha mastabation sasa hiyo ni kama imesha muathiri maana akiniingia anaeza kwenda miondoko 3 akamaliza hanifurahishi hata kdg na imesha muathiri sana nimsaidieje aweze kuacha ili tufurahie mapenzi. Hatuna ugonvi wala hatujawahi kugombana
Musturbation sio nzuri ila kwa yeyote aliyehathirika nayo anaweza kurudi katika nguvu zake za zamani. Hakikisha anakula vifustavyo:-

1) Asali mbichi (Atumie kijiko kimoja kikubwa asubuhi nusu saa kabla ya chai au maziwa)

2) Vitunguu swaumu angalau punje 3 kwa siku

3) vyakula vyenye wingi wa protini

4) Maji mengi

5) Mazoezi ya kuimarisha misuli.

RECOMENDATION: Itapendeza zaidi akianza na dawa ya kusafisha system ya dam mwilini (Narecomend dawa za kimasai kwani nikishatumia na zinawork kweli kweli)

Baada ya hapo atakuwa powerful kama Farasi. SIKU NJEMA.
 
Mpe kikombe akukingie anapoenda kupunyetika kama shida yako ni shahawa
 
Aiseeee huyu Mumeo ni shida kwa kweli looh
 
Kufanya mapenzi yanahitaji maandalizi sio kwake tu, kwa pande mbili ila kwa kuwa wako ni addictive basi wewe ndo uwe mtundu na kumuandaa mwenza wako, kama bae wako anapata shida kukupiga kitu vizuri ni namna ya kucheza na mind set yake, mikogo nakshi nakshi kama kuvaa vinguo vya mtego mkiwa ndani, khanga moja ndembe ndembe, bikins, kuwa na tabia kuugusa uume wake kwa mkono kama una ukanda pia unamkanda mkanda korodani mbona within aweek atasahau sabuni, lotion na picha za ngono kwa kujichua hebu jaribu huo mkakati might be usefull
ngoja nimwonyeshe demu wangu anifanyie... ila mkuu we professional aisee...!!!!
 
Kuna baadhi nimeshindwa kushauri sababu sijajua alianza kabla hamjaoana au baada ya kuoana na wewe,ukijibu hilo kuna ziada.
Alianza kabla hatujaoana wakati yuko form three
 
Ndugu wana JF,

Niliwahi kuleta uzi hapa kipindi cha nyuma kidogo mwaka jana kuomba ushauri kuwa mume wangu hashughuliki na chochote cha ndani hanunui sukari ila anataka kunywa chai, akininunulia kitu anadai nimlipe pesa yake nikasema hata unyumba amekuwa mgumu kunipa.

Tumekaa muda mrefu bila kukutana kimwili ila tulipokutana akatoa vishahawa vidunchu sana nikamuuliza una wanawake wengine, nikambana sana ndo akaniambia yeye huwa anapiga mastabation sasa hiyo ni kama imeshamuathiri maana akiniingia anaeza kwenda miondoko 3 akamaliza hanifurahishi hata kidogo na imeshamuathiri sana.

Nimsaidieje aweze kuacha ili tufurahie mapenzi.

Hatuna ugonvi wala hatujawahi kugombana.
Mkuu mimi nina mke na ni mpenzi sana wa hicho chama cha CHAPUTA na nimeshakuwa addictive ila nikiingia mzigoni mpaka bed inamuombea poooo jinsi anavyo chezeshewa bundasliga na akitoka hapo anaweza kukaa wiki asinitamani
 
Mh yan had m2 anakuacha wew anaamua kupfa pull hapo kuna 2 things involved!
 
Mpe kikombe akukingie anapoenda kupunyetika kama shida yako ni shahawa
wewe ni mtoto kabisaaa na hauko kwenye ndoa akili zako za kitoto.ukikosa ushauri pita kimya kimya,do you think she is joking .mtoa maada pole mwaya hua inaumiza mtu asiporidhika kwenye sex vumilia but mtaftie vyakula natural kwa wingi.
 
inaonekana wewe ni mbaya sana hata mafuta ya kupigia nyeto yana sura nzuri
 
Dada mume wko hafanyi masterbasheni mume wako yuko na wanawake nje asikudanganye besheni haifanyi kua hivyo.

Basheni mtu akipiga dalili zake hua kama hizi

Huchuku mda mrefu kusimamisha tena pengne had ajshke shike
Huchelewa kumwaga wakati wa tendo
Si ahalabu kuweza kurejea tendo


Wengine hupiga nyeto ili kumkomoa mwanamke yeye ni kikojozi akwambie huyo kajifanyia chooo cha nje huyo
 
Back
Top Bottom