Mume anapiga masturbation, hanipi mimi mke, nifanyeje?

Mume anapiga masturbation, hanipi mimi mke, nifanyeje?

Pole
Ndugu wana JF,

Niliwahi kuleta uzi hapa kipindi cha nyuma kidogo mwaka jana kuomba ushauri kuwa mume wangu hashughuliki na chochote cha ndani hanunui sukari ila anataka kunywa chai, akininunulia kitu anadai nimlipe pesa yake nikasema hata unyumba amekuwa mgumu kunipa.

Tumekaa muda mrefu bila kukutana kimwili ila tulipokutana akatoa vishahawa vidunchu sana nikamuuliza una wanawake wengine, nikambana sana ndo akaniambia yeye huwa anapiga mastabation sasa hiyo ni kama imeshamuathiri maana akiniingia anaeza kwenda miondoko 3 akamaliza hanifurahishi hata kidogo na imeshamuathiri sana.

Nimsaidieje aweze kuacha ili tufurahie mapenzi.

Hatuna ugonvi wala hatujawahi kugombana.
sana hilo ni suala la kisaikolojia, ni muhimu kuwaona madaktari watasaidia lakini pia jitahidi kumbembeleza na kumpa mapenzi angalau mara tatu au nne kwa wiki, mwisho usiwe mkali kwake
 
pole dad angu nafikir kikubwa ujarib kiwa nae mda mwing namanish ukiwa kam nyumbn hiv mkeep busy either movie hasa kwa kitu anachokipenda then aspende kukaa peke ake yani aspate nafac ya kukumbuk hiyo kitu
daah hi chaputa inashik kasi kama freemason imekuw na memba weny roho ngumu
 
Huyo hakupendi. Njoo kwangu nikupe mechi mpka umtukane uyo mumeo
 
Ndugu wana JF,

Niliwahi kuleta uzi hapa kipindi cha nyuma kidogo mwaka jana kuomba ushauri kuwa mume wangu hashughuliki na chochote cha ndani hanunui sukari ila anataka kunywa chai, akininunulia kitu anadai nimlipe pesa yake nikasema hata unyumba amekuwa mgumu kunipa.

Tumekaa muda mrefu bila kukutana kimwili ila tulipokutana akatoa vishahawa vidunchu sana nikamuuliza una wanawake wengine, nikambana sana ndo akaniambia yeye huwa anapiga mastabation sasa hiyo ni kama imeshamuathiri maana akiniingia anaeza kwenda miondoko 3 akamaliza hanifurahishi hata kidogo na imeshamuathiri sana.

Nimsaidieje aweze kuacha ili tufurahie mapenzi.

Hatuna ugonvi wala hatujawahi kugombana.
Anakudanganya huyo anamchepuko alafu kama vile amekuchoka hivi, tafuta sex partner acha kuzubaa ...
 
Kufanya mapenzi yanahitaji maandalizi sio kwake tu, kwa pande mbili ila kwa kuwa wako ni addictive basi wewe ndo uwe mtundu na kumuandaa mwenza wako, kama bae wako anapata shida kukupiga kitu vizuri ni namna ya kucheza na mind set yake, mikogo nakshi nakshi kama kuvaa vinguo vya mtego mkiwa ndani, khanga moja ndembe ndembe, bikins, kuwa na tabia kuugusa uume wake kwa mkono kama una ukanda pia unamkanda mkanda korodani mbona within aweek atasahau sabuni, lotion na picha za ngono kwa kujichua hebu jaribu huo mkakati might be usefull
Uliyoyasema ni kweli kabisa,ila hayo yote ni bure kwa muathirika wa punyeto. Hiyo isikie tu kwa jirani usiombe kukutwa nayo. Hata amuandae vipi hawezi kumridhisha, tena ndo kwanza akiingiza tu na wazungu hao!
 
Mimi nilikuwa sijui ila nahisi alianza kaba hajanioa, aana tangu amenioa huwa anapiga tako 3 amemaliza
[emoji23] [emoji23] [emoji23] umenichekesha sana na kauli yako ya tako 3
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] umenichekesha sana na kauli yako ya tako 3
Yaani ile moja mbili tatu wayaaaa!!

Yaani jamaa nahisi ikihisi joto kwenye kichwa dushe tayari wana ukawa wanatoka fasta.
 
Back
Top Bottom