Mume anataka kumuacha mke kisa kumpeleka mtoto shule na ex wake

Jambo kama hili siyo lazima ulisikie kwa shekhe ndo ujue kuwa ni la hovyo tumia akili yako ya kawaida halafu vijimambo vya kutumia akili ya darasa la pili usisubili dini ikuamrie utaonekana bogus
 
Sometimes wanaosema msioe single mother huwa wana point.. sasa hapo anamlaumu nani aende akamlilie huyo ex wake.
Na cha ajabu huyo ex akishaona umeachwa na mumeo hata simu yako atakuwa hapokei.. ada ya mtoto ataacha kutoa.. utarudi back to square one.. kwa kifupi umekuwa single mother wa 3 kids
 
Single maza ni changamoto sana, wengi walioachwa solemba na waume zao waliowazalisha huku Me akioe mwanamke mwingine na yeye akija kuolewa lazima tu wataja kurudiana.
 
Ssister; hiyo mada bado unaipika? Pakua mama; siku zimekwenda
Hakuna singo maza wala singo faza. Msiondoshe makali ya maneno, watoto wa zinaa hao. Kiswahili tunasema watoto wa haramu.

Nakuja na mada ya ma singo maza.
 
Kosa lako ni kutomsikiliza mumeo, ukome maana umepata unachostahili
 
Nimesoma Huu uzi;
Ila kwa ufupi wewe ni mwanamke ambaye huna adabu,huna heshima,huna Staha wala huna UPENDO.Mwanaume kusihi na mwanamke kama wewe ni labada uwe wewe ni mke wa Pili ila SIO mke wa kwanza.

Kwanza kabisa X wake hawezi kukuendesha na kuendesha familia ya MUME wako regardless of yeye kuwa mzazi wa MTOTO wako.
Pili mke au hata Mpenzi anayekupenda lazima unapomwambia KITU hapana Usifanye Regardless of reason kwa heshima unapaswa kuheshimu.

Kama huyo baba anampenda Sana mwanawe basi amchukue akakae nae si ameoa huko aliko?Na kama wewe unampenda sana X wako si ukaolewe naye?

Kusema kwamba MUME wako hajiamini au Kusema kwamba huwa anaksirika tu ni HASIRA ni dalili ya KIWANGO cha JUU kabisa cha KIBURI cha mwanamke.Kiburi cha namna hiyo hata akiwa nacho mwanaume kwa mwanamke wake ni KIBAYA sana NDIA hiyo itakuwa tu inasubiri sababu tu ili ivunjike ila tayari imeshavunjika.

Mapenzi ya kuumizana hisia na MOYO sio mapenzi ni Uharamia tu.Iwe anayefanya Hivyo ni mwanamke au ni mwanaume hakuna mapenzi ya namna hiyo.

Ushauri wangu.Wewe nenda Ukamalizane na habari ya TALAKA then utakuwa na MA X wawili ambao utaamua tu uwapangie ratiba gani ya kuwa na watoto wao na wao wataishi kwa amani na kuepuka,KISUKARI,PRESHA,KISONONO,KASWENDE na UGONJWA MKubwa kuliko wote wa KUCHAPIWA.

So in short nenda kasign Documents wala usijaribu hata kuomba UBAKI kwenye HIYO NDOA.Hiyo Ndoa Ilishaisha SIKU ULIPOLIPIWA ADA BILA KUTOA TAARIFA.

Ingawa nimeona kwamba NI CHAI ila TRUST me Haya mambo yanatokea Sana ya Wapenzi kuumizana hisia bila kujali iwapo yule unayemwumiza naye ana hisia.Matokeo yake mnakuwa manishi katika JEHANUM ndogo ya kuviziana na UNAFIKI
 
Between the lines,huyu mwanamke ni malayer na money monger,ameona huyo x ana pesa anajipeleka kuliwa,yaani kwel mwanamke si wa kumwonea huruma
 
Anastahili talaka kwani si alikatazwa? Atakula kiburi chake, kinamtosha kujifunza maisha .
 
Sijui kwani single moms wengi hawana rational thinking! No wonder wameishia kuwa single moms.

Na wanapenda kusikiliza baba watoto wao waliowaacha kuliko wanaume waliowatoa mavumbini na kuwaheshimisha.
 
Yaani Video Call ndio iwe ushahidi 😁
Unataka aongee na mumeo ....Nini?!
Kuna sehtensi zako zinadhirisha wazi kuwa kuoa Single Mother na kufuga cobra nyumbani kwako!
 
Nyie wanawake matatizo mengine huwa mnajitafutia! Mumeo kakuta ushsumizwa akaponya jeraha lako! Halafu mwisho wa siku unamwambia usinipangie kwa suala linalohusu mtu aliekuumiza
Anakera!
 
Kosa kubwa lilianza tangu pale alipo kuja kuomba msamaha na wala hukumshirikisha. Yawezekana ungemshirikisha angekupa ushauri mzuri kuhusu nini cha kufanya. Kosa la pili kuanza kutoka na mwanaume mwingine bila kumpa taarifa mwenye nyumba yake ni kosa la pili. Hata ningekuwa mimi ningekupiga chini hizo ni dharau kubwa sana. Yaani unaanza kuona wa thamani aliyekuumiza. Umezaa naye mtoto mmoja. Pia inaonekana hata mume wako naona hum heshimu hata kidogo. Omba msamaha kama huwezi omba basi hiyo ndoa haipo.
 
Na yeye akalee watoto wa mwanaume mwenzio shenzi type
 
Pambana
 
Force x wako akuoe
 
NA AKUACHE KABISA. HUNA AKILI.
 
Sijui single maza mna matatizo gani ambayo huwa hàyarekebishiki? Mume mmoja umezaa nae mtoto mmoja, mwingine watoto wawili. Lakini huambiwi kitu ukaelewa na mume wa sasa!
Haya lete mrejesho umeachika au bado uko na huyo fala wako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…