Mume anataka kumuacha mke kisa kumpeleka mtoto shule na ex wake

wewe utawaponza single mother wengi sana wasiolewe, tafadhali futa huu uzi. waonee huruma wenzio.
 
Umenikumbusha wimbo wa mume bwege wa Max Bushoke! Hivi huyo mume angekuwa kaka yako ungemshauri kitu gani?
 
kijana mwenzangu usijaribu kabisa kuoa single mother, hii ni kwa usalama wa maisha yako, unaona scenario kama hizi jamaa alimtelekeza mshikaji kabeba jukumu, jamaa akajipata akarudi , matokeo yake ndo kama hivi
 
kijana mwenzangu usijaribu kabisa kuoa single mother, hii ni kwa usalama wa maisha yako, unaona scenario kama hizi jamaa alimtelekeza mshikaji kabeba jukumu, jamaa akajipata akarudi , matokeo yake ndo kama hivi
Bwana naona kama mnatuchanganya nime experience kitu Toka kwa single mothers lkn hii ni Hatari zaidi msituumbie mmbo nakutuwekea chuki ktk mioyo yetu kuhusu Hawa watu
 
Bwana naona kama mnatuchanganya nime experience kitu Toka kwa single mothers lkn hii ni Hatari zaidi msituumbie mmbo nakutuwekea chuki ktk mioyo yetu kuhusu Hawa watu
mpaka likutokee aisee, Kila kitu MUngu aliweka utaratibu ili watu wastawi vyema, ila familia ziwe bora na zenye furaha, Mungu aliasisi ndoa, na akasema wawili hawa wasiachane, isipokuwa tu kwa uzinzi, huyu kwasababu zake mwenyewe anazalishwa kabla ya ndoa, afu ww unakuja kumuoa huyo huyo, hivi unadhani kutakuwa na usalama hapo, inaweza ikawa salama kwako ila je kwa wanao,
 
Unaonekan uvaa suruali kama pepekale au madilu system na mashat ya vitenge kutokana na maneno Yako ya kizeee

Ingekuwa wew ungekubali??
 
Hapa ndipo ulipochemka, ulimshirikisha mumeo kwamba mzazi mwenzako anataka kuanza kumtunza mwanae, kama ulifanya hivyo je mliafikiana na mumeo pia kuhusu mipaka ya wewe na huyo x wako wakati mnamtunza hiyo mtoto wenu?
Walikutana wapi kuombana msamaha, inawezekana jamaa alipiga
 
Punguza hasira kaka kama nakuona jinsi ulikwazika kiukwel inaumiza sana hasa sis wanaume tuliokaa kikao Cha mwisho jana
 
Jamaa alioa kwa ndoa halal,mwenye mtoto ni mzazi mwenzake ndo huyo amepewa airtime
Mbona huleti mrejesho maana tuna tuna madukuduku mpaka tuone mwisho au bando nikutumie maan Toka mwaka Jana mpaka Leo silali kweny huu Uzi ujue
 
Binafsi mimi sitaweza tn maana nilian,a from the biggn lakn hatukufika popote hivo kutokana na experience nilioipata nimejiunga na chama kile moja kwa mojaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…