GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Didy time
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshahara wa Dhambi ni mauti,Bado unsmuita boya!Mbona unaomba ushauri? Pambana na Boya.1. Wakuu kuna Mother flan Mwalimu wa sekondari ya kata mitaa ya Kibamba huwa nakamua toka Oktoba 2022 sasa ijumaa nilienda kupiga kuanzia saa 8 mpaka sasa 12 nikamrudisha hadi mitaa ya kwao. Kumbe jamaa alikua sehemu kaona mkewe anashushwa kwenye Subaru mke kadanganya ilikua Uber lakin wapi.
2. Mume akamnyang'anya simu akaanza kupekua WhatsApp chat akakutana na conversation yetu ya siku Ile Ile tukiwa tunaelekezana pa kukutana sasa jamaa kaniforwardia conversation kwenye WhatsApp yangu na simu kama zote. Sijapokea wala Sijajibu.
3. Nawaza, niwahi kwenye Ile guest wafute zile image (wakati tunaingia na kutoka) kwenye CCTV zao wasije wakapewa hela na huyu boya ukapatikana ushahidi.
#Huyu mwanamke simtaki tena
Didy Oil kazi yake ataijua pindi aki dakwa na mhusikaMafuta aina gani? Ya nini?
Chukua vaseline ndogo, ila ni bora uchukue kubwa maana wanaweza kuwa watumiaji wengi🤣😂😆😃😅😄😎Mafuta aina gani? Ya nini?
😆DuhMnajitakiaga wenyewe Mke wa mtu ni sumu
Ya pdiddy!Mafuta aina gani? Ya nini?
Historia itabaki kuwa jamaa ashafirwaWabongo acheni woga. Yupo jamaa alikodi wahuni kwenda kumlawiti mgoni wake. Tunavyoongea yupo jela kifungo cha maisha.
Vijn wakae na kuheshimu cha MTU, Hii dunia c yako wala ya Baba yakoMtaani kuna jamaa tena anacheo kabisa alikuwa anatembea na mke wa mtu jamaa akamfata akamchana mheshimiwa asubuhi kapeleka kesi polisi ya kutishiwa maisha kesi mahakamani jamaa ametombewa na ndani amekaa,(nguvu ya pesa)
Mpemba yule alichofanya baada ya kutoka akampa mke talaka na kumuachia kila kitu(tajiri) kuona hvyo ndo akawa wazi wazi anapaki gari nje anajipigia mapenz waz waz kilichotokea jamaa baada ya kwenda kwao pemba ni (mheshimiwa) mpaka sasa ni chizi kabisaa anaokota makopo na kujipaka kinyesi mke tumezika mwez ulopita baada ya kugongwa na lori
Hivi wewe uko sawa kweli? Unataka kusema niniBill gate uliona Katoa vitisho?
Mwambie ilikuwa ajari na wala haitajirudia na ndo mwisho na ilikuwa mwanzo wala hamkujuana just accident.1. Wakuu kuna Mother flan Mwalimu wa sekondari ya kata mitaa ya Kibamba huwa nakamua toka Oktoba 2022 sasa ijumaa nilienda kupiga kuanzia saa 8 mpaka sasa 12 nikamrudisha hadi mitaa ya kwao. Kumbe jamaa alikua sehemu kaona mkewe anashushwa kwenye Subaru mke kadanganya ilikua Uber lakin wapi.
2. Mume akamnyang'anya simu akaanza kupekua WhatsApp chat akakutana na conversation yetu ya siku Ile Ile tukiwa tunaelekezana pa kukutana sasa jamaa kaniforwardia conversation kwenye WhatsApp yangu na simu kama zote. Sijapokea wala Sijajibu.
3. Nawaza, niwahi kwenye Ile guest wafute zile image (wakati tunaingia na kutoka) kwenye CCTV zao wasije wakapewa hela na huyu boya ukapatikana ushahidi.
#Huyu mwanamke simtaki tena
Watu kama nyie kesho na kesho kutwa mkitekwa mkanyongwa, ndugu zenu wanaijia juu Serikali yetu tukufu na matusi ya nguoni kwa Raisi wetu mpenda amani mama Samia.1. Wakuu kuna Mother flan Mwalimu wa sekondari ya kata mitaa ya Kibamba huwa nakamua toka Oktoba 2022 sasa ijumaa nilienda kupiga kuanzia saa 8 mpaka sasa 12 nikamrudisha hadi mitaa ya kwao. Kumbe jamaa alikua sehemu kaona mkewe anashushwa kwenye Subaru mke kadanganya ilikua Uber lakin wapi.
2. Mume akamnyang'anya simu akaanza kupekua WhatsApp chat akakutana na conversation yetu ya siku Ile Ile tukiwa tunaelekezana pa kukutana sasa jamaa kaniforwardia conversation kwenye WhatsApp yangu na simu kama zote. Sijapokea wala Sijajibu.
3. Nawaza, niwahi kwenye Ile guest wafute zile image (wakati tunaingia na kutoka) kwenye CCTV zao wasije wakapewa hela na huyu boya ukapatikana ushahidi.
#Huyu mwanamke simtaki tena
Acha hasira unamuacha tuu,yeye hakupendi na hana maadili !Halafu unajiona mjaanja. Ndiyo maana visasi na mauaji haviishi duniani. Utembee na mke wangu halafu unifanyie ubabe, walahi nikitoka jela sisemi na mtu, kwa maneno, ila kifuatacho mtajua wenyewe.
Mtu achapiwe achukulie kawaida? Haipo hiyo, hao wasioweza kujituliza au kutafuta singles wakidakwa wapigwe pipe tu maana hakuna jinsi.Wake za watu wanavyoliwa kirahisi tena kwa kutaka wenyewe ningeshauri waume wao wachukulie kawaida tu
Tena ajiandae mafuta ya pdiddyHuyo unayemuita boya anakwenda kukufira siku chache zijazo
Wewe ndio unaona jina haliendani na matendo yake kulingana na unavyofikiria lkn hili si kwa akili za vijana wabongo wao wako tofauti kabisaa na uhalisia kwao blssing inatumika hta kwenye mambo ya kijinga.R.i.p in advance kama jamaa atakucharanga mapanga. Halafu jina lako haliendani na matendo yako, futa blessings weka cursed
Hujaelezea vzuri hii story kuhusu mafuta yalikuwa km yale yaliyokutwa kwa didy au ya nazi tu kawaidaHamna kesi hapo. Hata angekushika UGONI live si jinai. Akipiga simu pokea halafu hakikisha unamrekodi kisha kafungue kesi ya KUTISHIA KUUA KWA MANENO (JINAI) halafu mkutane mahakamani nakuhakikishia hiyo kesi inampeleka jela huku unaendelea kupiga bibie tena kitandani kwake.
Binafsi, niliwahi kufumaniwa CITY STYLE HOTEL na anayedaiwa ni mume wa mwanamke niliyekua nae faragha. Jamaa wamevamia na makamera room, tukiwa uchi. Wakachukua video na makelele kibao baada ya hapo wakanitishia kurusha picha za utupu mitandaoni. Baadae jamaa akarusha video aliyoturekodi kupitia whatsapp yangu. Akajiloga akapiga simu (voice call) vitisho vya kuniua mimi hapo NAREKODI tu Haikuchukua muda jamaa anapelekewa wito mahakamani kesi inaunguruma mwaka wa pili huu.
Wewe ni legend.Mke wa mtu saa 8 mpaka saa 12, nyie ni washenzi.
Ngoja wakukomeshe.
Si maanishi walizidisha muda, naamanisha walijiamini nini kujifungia mahali huku wanaiba for almost four hoursWewe ni legend.
Una Manisha walizidisha muda au 😁.
Vipi ilitakiwa iwe saa ngapi mpaka saa ngapi 😅😅