Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,559
- 11,180
Mnakula visivyo halali alafu mmeshindwa kuitumia teknolojia kikamilifu.... Whatsapp huwa ina option ya "locked chat", message zinaingia kimya kimya na hazionekani mpaka uingize password
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi huwa nasema madhara ya kutembea na mke wa mtu huwa ni makubwa sana yanagusa kila sehemu ya familia kuanzia uchumi, upendo, mauti, vilema, watoto ndo wahanga wakubwa kama wapo pia maumivu ambayo unapeleka kwa mwanaume mwenzio ni makali sana ila karma ya maumivu yote hayo lazima ulipe tu kama sio wewe watoto wako kama sio wao wajukuu wako na kuendelea, hakuna sababu yoyote ya kutembea na mke wa mtu kama hukuwa unajua ukijua acha au kama unajua usimsogelee kabisa.Wewe waache waendelee mkuu.Mimi kuna jamaa mmoja alikuwa anatembea na mke wa mtu,alirogwa tumbo likavimba kama mimba ya mbuzi pacha.Mwishowe lile tumbo lilikuja ku burst kama pancha ya tairi kubwa.
Mimi katika uhuni wangu wote,nimewahi kutembea na mke wa mtu mara moja.Ile ndoa hatimaye ilivunjika,nafsi yangu inanisuta na ninaumia sana na hii historia kwangu.Yule mwamba hakuwahi kunifumania,ila mkewe kwa kunogewa na penzi langu,alimletea kiburi na jeuri mumewe mpaka wakaachana,roho inaniuma kwasababu mimi ndo chanzo.
Una vitisho vya kiuoga uoga. Wewe ukitombewa deal na mkeo. Kuna wababe zaidi Yako, na ukileta ubishi na wewe unapigwa.Kwahiyo hata ukifirwa na wahuni poa tu kwavile waliokufumua wapo jela?! Yaani ni kama it's okay kwako kuwa gang sodomized in exchange of freequently used papuchi!! Huyo jamaa hata kama akiuawa, wewe utakuwa umepata nini? Inasikitisha kuona mtu anayeongea ujinga kiasi hiki yupo JF since 2012 na hivyo kuonesha kuna kila dalili kwamba ni mtu mzima na sio hivi vivulana vya chuo! Halafu hapo kabla umesema ulifumaniwa na mke wa watu ikawa makamera kama yote halafu wakakutishia wataachia video?! Kuwa mkweli! Kwanini mtu akutishie kuachia video kwa picha za uchi peke yake?! Something drilling happened to you na sio mere nude pics! Hakuna mtu atakodi wahuni etu kuja kukupiga picha peke yake, na inaelekea ulinogewa ndo maana hujali!!
Mshahara wa dhambi ni mauti1. Wakuu kuna Mother flan Mwalimu wa sekondari ya kata mitaa ya Kibamba huwa nakamua toka Oktoba 2022 sasa ijumaa nilienda kupiga kuanzia saa 8 mpaka sasa 12 nikamrudisha hadi mitaa ya kwao. Kumbe jamaa alikua sehemu kaona mkewe anashushwa kwenye Subaru mke kadanganya ilikua Uber lakin wapi.
2. Mume akamnyang'anya simu akaanza kupekua WhatsApp chat akakutana na conversation yetu ya siku Ile Ile tukiwa tunaelekezana pa kukutana sasa jamaa kaniforwardia conversation kwenye WhatsApp yangu na simu kama zote. Sijapokea wala Sijajibu.
3. Nawaza, niwahi kwenye Ile guest wafute zile image (wakati tunaingia na kutoka) kwenye CCTV zao wasije wakapewa hela na huyu boya ukapatikana ushahidi.
#Huyu mwanamke simtaki tena
Ila uhalisia ndiyo huo mkuuMtu achapiwe achukulie kawaida? Haipo hiyo, hao wasioweza kujituliza au kutafuta singles wakidakwa wapigwe pipe tu maana hakuna jinsi.
Utaua wangapi? Kwani unadhani mkeo hatombeshi nje?Usimfundishe mwenzio ujinga wewe sio watu wote wanafanya hivyo. Mi nikikufumania wala cfanyi chochote. Ila nitakupa miaka mitano ya kujisahau hicho utakachofanyiwa itakuwa historia kwenu. Sio kila mtu anafanya maamuzi au kuongea wakati ana hasira mzee. Mwambie aache ujinga wa kutembea na wake za watu.
Unajuaje kama ni mke wa mtu?Hivi huwa miitembea na wanawake walioolewa mnakuwa mnawaza nini? Mwanaume akichspiwa ni sawa na simba aliyejeruhiwa. Anaweza kukutenda vyovyote tu...
Mbona singles wapo sana tu.
A
Acha hasira unamuacha tuu,yeye hakupendi na hana maadili !
Hanipendi alifata nini kwangu ? Nani amemlazimisha kuishi kwangu, si akwende zake. Lakini ukiniweka Polisi kwa umalaya wenu utanijua. Na akiachwa anakuwa dekio la kila mtu.A
Acha hasira unamuacha tuu,yeye hakupendi na hana maadili !
Anza kutembea na DIDDY OIL1. Wakuu kuna Mother flan Mwalimu wa sekondari ya kata mitaa ya Kibamba huwa nakamua toka Oktoba 2022 sasa ijumaa nilienda kupiga kuanzia saa 8 mpaka sasa 12 nikamrudisha hadi mitaa ya kwao. Kumbe jamaa alikua sehemu kaona mkewe anashushwa kwenye Subaru mke kadanganya ilikua Uber lakin wapi.
2. Mume akamnyang'anya simu akaanza kupekua WhatsApp chat akakutana na conversation yetu ya siku Ile Ile tukiwa tunaelekezana pa kukutana sasa jamaa kaniforwardia conversation kwenye WhatsApp yangu na simu kama zote. Sijapokea wala Sijajibu.
3. Nawaza, niwahi kwenye Ile guest wafute zile image (wakati tunaingia na kutoka) kwenye CCTV zao wasije wakapewa hela na huyu boya ukapatikana ushahidi.
#Huyu mwanamke simtaki tena
Jamaa baada ya kupasuka tumbo nini kilitokea? alipona au alikufa?Wewe waache waendelee mkuu.Mimi kuna jamaa mmoja alikuwa anatembea na mke wa mtu,alirogwa tumbo likavimba kama mimba ya mbuzi pacha.Mwishowe lile tumbo lilikuja ku burst kama pancha ya tairi kubwa.
Mimi katika uhuni wangu wote,nimewahi kutembea na mke wa mtu mara moja.Ile ndoa hatimaye ilivunjika,nafsi yangu inanisuta na ninaumia sana na hii historia kwangu.Yule mwamba hakuwahi kunifumania,ila mkewe kwa kunogewa na penzi langu,alimletea kiburi na jeuri mumewe mpaka wakaachana,roho inaniuma kwasababu mimi ndo chanzo.
Andika … akikutana sio ukikutana.,, Usiandike kwa kukosea lugha ikawa kama ufedhuli na ubaradhuli wa kukashifu watu ovyo. SamahaniBaby Johnson ya kupakaa ukikutana na Pdidy
Wewe mshamba wa zenji usijifanye dunia imeanzia kwako, watu wengi tu wameangamia kupitia wake za watu, yaani wewe mshamba mmoja huwezi kuja badilisha ukweli huoNadhani weka Nguvu kubwa kwa mkeo. Utazika wangapi?
Siku si nyingi huo mwenendo wako kwenye Id yako jf itakuwa R.I.PMwenyewe nina kesi ka hiyo..nimechakata mbususu ya mke wa jamaa flani.basi kila siku jamaa vitisho haviishi,me nimemjibu amalizane na mkewe huko coz mpaka namtongoza ananikubalia na anakubali kunipa papuchi alijua kuwa ni mke wa mtu,otherwise angenikatalia nisingemlazimisha.
Itoshe kusema kama kuna sehemu umeziacha Akili zako fanya ukazichukuwe.Mwenyewe nina kesi ka hiyo..nimechakata mbususu ya mke wa jamaa flani.basi kila siku jamaa vitisho haviishi,me nimemjibu amalizane na mkewe huko coz mpaka namtongoza ananikubalia na anakubali kunipa papuchi alijua kuwa ni mke wa mtu,otherwise angenikatalia nisingemlazimisha.
Chai1. Wakuu kuna Mother flan Mwalimu wa sekondari ya kata mitaa ya Kibamba huwa nakamua toka Oktoba 2022 sasa ijumaa nilienda kupiga kuanzia saa 8 mpaka sasa 12 nikamrudisha hadi mitaa ya kwao. Kumbe jamaa alikua sehemu kaona mkewe anashushwa kwenye Subaru mke kadanganya ilikua Uber lakin wapi.
2. Mume akamnyang'anya simu akaanza kupekua WhatsApp chat akakutana na conversation yetu ya siku Ile Ile tukiwa tunaelekezana pa kukutana sasa jamaa kaniforwardia conversation kwenye WhatsApp yangu na simu kama zote. Sijapokea wala Sijajibu.
3. Nawaza, niwahi kwenye Ile guest wafute zile image (wakati tunaingia na kutoka) kwenye CCTV zao wasije wakapewa hela na huyu boya ukapatikana ushahidi.
#Huyu mwanamke simtaki tena
Huyo Jamaa ni Boya. Badala amalizane na mke wake anakuja kwako.Mwenyewe nina kesi ka hiyo..nimechakata mbususu ya mke wa jamaa flani.basi kila siku jamaa vitisho haviishi,me nimemjibu amalizane na mkewe huko coz mpaka namtongoza ananikubalia na anakubali kunipa papuchi alijua kuwa ni mke wa mtu,otherwise angenikatalia nisingemlazimisha.
We kuna siku utagongwa na gari kwenye zebra kisa sheria.Mke wa mtu sumu kwa Sheria ipi?
Na maji ya kunywa awe nayoCha kukushauri Anza kutembea na mafuta. Utanishukuru baadae