Mume kabamba WhatsApp message zangu kwenye simu ya mkewe

Mume kabamba WhatsApp message zangu kwenye simu ya mkewe

Kuna wengine wamekulia mizizi ya kijadi hata uwaroge vipi kitu kina-bounce na wewe msake msake hata dada yake au mkewe upozee machungu au yeyote kwenye familia au ukoo mtafute malizana nae kijemedali kuroga huwezi au la fanya umafia kampakae mafuta km imekuchoma sana maana ng'ombe wanauma umejipinda ng'ombe 20/30 kwa kiumbe kimoja halafu anatokea mwehu huko anakuja kujipigia tu bila kuangalia gharama ulizotumia
Kaka naomba ufute hii kuali yako ya kusema Kuna watu wamekulia mizizi hawarogeki hata ufanye Nini ndugu yangu futa hii. Labda awe haja nikosea lakini amenikosea alafu analeta jeuri 😂😂😂😂. Labda niamue kumsamehe tu
 
Ndio maana Mungu Amekataza ZinaA visingizio kwamba eti mke kataka mwenyewe,mara utamjuaje mke wa mtu,havisaidia kwa maana kitendo mnachokifanya yaani kuzini kumekatazwa.NB:usimpangie mwenye mke cha kukufanya.
 
Hivi huwa miitembea na wanawake walioolewa mnakuwa mnawaza nini? Mwanaume akichspiwa ni sawa na simba aliyejeruhiwa. Anaweza kukutenda vyovyote tu...

Mbona singles wapo sana tu.
Wanajitutumusha urijali
 
Narudia, hakuna kosa la jinai kwa kufanya mapenzi kwa hiari Yake (mtu wa jinsia tofauti).
Wakikufumania LIVE hayo maneno hutayatamka. Utageukia kibla wahuni wafanye Yao.
Kuna mzee mmoja alifumaniwa live akiwa uchi, walim tight wakamwambia ampigie mke wake alete pesa pale pale gesti huku akiwa uchi au ageukie kibla wampake mafuta halafu picha wazitume kazini kwake na kwa waumini wenzake. Mzee alitoa ushirikiano wa Hali ya juu.
Usiombe uzungukwe na watu watano wewe ukiwa uchi kibabia kimesinyaa huku umesimama na mikono iko juu huku unarekodiwa hujui picha zitasambazwa au la. Kisa K ambayo hata kwenye kisahani Cha chai haijai.
Mwingine alifumaniwa akaambiwa amnyoe yule mwanamke mavuzi, akahisi Ni zoezi rahisi, baadae wakaleta mishkaki na kumwambia ale Ile mishkaki Yale mavuzi ndio Kama chumvi.
Alikula Ile mishkaki kweli Ila alipoachiwa na kutoka nje alitapika kila kilichokua tumboni, Bahati yake enzi zile hakuna simu zenye kamera.
 
Utaua wangapi? Kwani unadhani mkeo hatombeshi nje?
Kugongwa agongwe nikiwa cjui chief. Lakin nakukuta nae. Najua jukumu la mwanume yeyote ni kuilinda familia yake. Huwez kumuacha kima mmoja aharibu familia yako kirahic. Ataharibu lakin na yeye yake hataona matunda yake.
 
1. Wakuu kuna Mother flan Mwalimu wa sekondari ya kata mitaa ya Kibamba huwa nakamua toka Oktoba 2022 sasa ijumaa nilienda kupiga kuanzia saa 8 mpaka sasa 12 nikamrudisha hadi mitaa ya kwao. Kumbe jamaa alikua sehemu kaona mkewe anashushwa kwenye Subaru mke kadanganya ilikua Uber lakin wapi.

2. Anayedaiwa kuwa Ni Mume akamnyang'anya simu akaanza kupekua WhatsApp chat akakutana na conversation yetu ya siku Ile Ile tukiwa tunaelekezana pa kukutana sasa jamaa kaniforwardia conversation kwenye WhatsApp yangu na simu kama zote. Sijapokea wala Sijajibu.

3. Nawaza, niwahi kwenye Ile guest wafute zile image (wakati tunaingia na kutoka) kwenye CCTV zao wasije wakapewa hela na huyu boya ukapatikana ushahidi.

#Huyu mwanamke simtaki tena. Hajawahi kumuambia kama kaolewa.

Hayaaa wata ku P. Diddy yaani ushaingia motoni, na ujue siku hizi wanatoboa na macho kabisa wakikufanyia unyama, andaa mafuta ya K-Y kubwa au Vaseline kubwa ile ya nusu lita, au hama kwako au hama mji nenda mkoa mwingine, ni hatari sana sikutanii🆘🆘🆘🚫❌❌🩸🩸🧨🚨🧰🎈🧱🧱🧱🧱🧱
 
Nakushauri sana fuata ushauri katika Post namba 2.

jamaa kashauri kitu cha msingi sana
 
Hamna kesi hapo. Hata angekushika UGONI live si jinai. Akipiga simu pokea halafu hakikisha unamrekodi kisha kafungue kesi ya KUTISHIA KUUA KWA MANENO (JINAI) halafu mkutane mahakamani nakuhakikishia hiyo kesi inampeleka jela huku unaendelea kupiga bibie tena kitandani kwake.

Binafsi, niliwahi kufumaniwa CITY STYLE HOTEL na anayedaiwa ni mume wa mwanamke niliyekua nae faragha. Jamaa wamevamia na makamera room, tukiwa uchi. Wakachukua video na makelele kibao baada ya hapo wakanitishia kurusha picha za utupu mitandaoni. Baadae jamaa akarusha video aliyoturekodi kupitia whatsapp yangu. Akajiloga akapiga simu (voice call) vitisho vya kuniua mimi hapo NAREKODI tu Haikuchukua muda jamaa anapelekewa wito mahakamani kesi inaunguruma mwaka wa pili huu.
Eheee bado Yuko na huyo mwanamke?
 
Wakikufumania LIVE hayo maneno hutayatamka. Utageukia kibla wahuni wafanye Yao.
Kuna mzee mmoja alifumaniwa live akiwa uchi, walim tight wakamwambia ampigie mke wake alete pesa pale pale gesti huku akiwa uchi au ageukie kibla wampake mafuta halafu picha wazitume kazini kwake na kwa waumini wenzake. Mzee alitoa ushirikiano wa Hali ya juu.
Usiombe uzungukwe na watu watano wewe ukiwa uchi kibabia kimesinyaa huku umesimama na mikono iko juu huku unarekodiwa hujui picha zitasambazwa au la. Kisa K ambayo hata kwenye kisahani Cha chai haijai.
Mwingine alifumaniwa akaambiwa amnyoe yule mwanamke mavuzi, akahisi Ni zoezi rahisi, baadae wakaleta mishkaki na kumwambia ale Ile mishkaki Yale mavuzi ndio Kama chumvi.
Alikula Ile mishkaki kweli Ila alipoachiwa na kutoka nje alitapika kila kilichokua tumboni, Bahati yake enzi zile hakuna simu zenye kamera.
Jamani
 
Back
Top Bottom