Mume kabamba WhatsApp message zangu kwenye simu ya mkewe

Mume kabamba WhatsApp message zangu kwenye simu ya mkewe

Kaka naomba ufute hii kuali yako ya kusema Kuna watu wamekulia mizizi hawarogeki hata ufa ye Nini ndugu yangu futa hii. Labda awe haja nikosea lakini amenikosea alafu analeta jeuri 😂😂😂😂. Labda niamue kumsamehe tu
Kuna watu wamepikwa wakapikika hilo ukae ukijua
 
Wakikufumania LIVE hayo maneno hutayatamka. Utageukia kibla wahuni wafanye Yao.
Kuna mzee mmoja alifumaniwa live akiwa uchi, walim tight wakamwambia ampigie mke wake alete pesa pale pale gesti huku akiwa uchi au ageukie kibla wampake mafuta halafu picha wazitume kazini kwake na kwa waumini wenzake. Mzee alitoa ushirikiano wa Hali ya juu.
Usiombe uzungukwe na watu watano wewe ukiwa uchi kibabia kimesinyaa huku umesimama na mikono iko juu huku unarekodiwa hujui picha zitasambazwa au la. Kisa K ambayo hata kwenye kisahani Cha chai haijai.
Mwingine alifumaniwa akaambiwa amnyoe yule mwanamke mavuzi, akahisi Ni zoezi rahisi, baadae wakaleta mishkaki na kumwambia ale Ile mishkaki Yale mavuzi ndio Kama chumvi.
Alikula Ile mishkaki kweli Ila alipoachiwa na kutoka nje alitapika kila kilichokua tumboni, Bahati yake enzi zile hakuna simu zenye kamera.
Nakuambia mm binafsi niliwahi kufumaniwa City style hotel sinza Mugabe na nikampeleka huyo anayejiita mume mahakaman na kesi bado inanguruma.

**Na huyo demu bado napiga
 
Kuna watu wamepikwa wakapikika hilo ukae ukijua
Ndugu yangu ndugu yangu hv unajua hao wanaopika watu wakapikika hao pia watu wakiamua kunyoosha wananyoosha vizuri kiufupi hata uwe una ukoo wa korelo,jide,wapi kule mtwara wanamizimu Yao sijui inaitwaje nimesahau lakini watu wakiamua kukaa chini ujue kabisa utachakaa vibaya mno na hutajua nani kukufanyia hvy daima. ogopa sana mganga aliesoma mbaka masters alafu amekatazwa kusoma na mavitu Yao huko kwako ili awe mganga Huwa hawakwepeshi wanamaliza hasira zao zote za kutokufanya kazi ya taaluma yake kwako.
Please and please hakuna asie rogeka ila kutakuwa na ugumu na mitego TU na Kuna Wana wanajua namna ya kufungua hiyo mitego na wakishafungua umeisha na hutajua nani kakubamiza.
Anyway tuendelee kumpa ushauri huyo kijana tu. Lakini kwenye hili swala tuachane nalo kabisa
 
Anawadanganya wenzie ,kijana mke wa mtu muogope kama ukoma siku kikinuka huko kubwabwaja kwake hutosikia atakuwa tuli
Kwani huyo mwanamke ni mtoto mdogo? Hana utashi na akili ya kujua kipi kizuri au kibaya? kama umgongi vizuri lazima atamtafuta msela amkune.
 
1. Wakuu kuna Mother flan Mwalimu wa sekondari ya kata mitaa ya Kibamba huwa nakamua toka Oktoba 2022 sasa ijumaa nilienda kupiga kuanzia saa 8 mpaka sasa 12 nikamrudisha hadi mitaa ya kwao. Kumbe jamaa alikua sehemu kaona mkewe anashushwa kwenye Subaru mke kadanganya ilikua Uber lakin wapi.

2. Anayedaiwa kuwa Ni Mume akamnyang'anya simu akaanza kupekua WhatsApp chat akakutana na conversation yetu ya siku Ile Ile tukiwa tunaelekezana pa kukutana sasa jamaa kaniforwardia conversation kwenye WhatsApp yangu na simu kama zote. Sijapokea wala Sijajibu.

3. Nawaza, niwahi kwenye Ile guest wafute zile image (wakati tunaingia na kutoka) kwenye CCTV zao wasije wakapewa hela na huyu boya ukapatikana ushahidi.

#Huyu mwanamke simtaki tena. Hajawahi kumuambia kama kaolewa.
Zamu yako kuolewa Mzee wangu.

Kummke Mimi nakutumia jini.
 
Ndio maana Mungu Amekataza ZinaA visingizio kwamba eti mke kataka mwenyewe,mara utamjuaje mke wa mtu,havisaidia kwa maana kitendo mnachokifanya yaani kuzini kumekatazwa.NB:usimpangie mwenye mke cha kukufanya.
Acha uoga wewe... huyo unayekataza yuko wapi? wewe umezaliwa kwa sababu ya tendo, iweje liwe baya?
 
Kugongwa agongwe nikiwa cjui chief. Lakin nakukuta nae. Najua jukumu la mwanume yeyote ni kuilinda familia yake. Huwez kumuacha kima mmoja aharibu familia yako kirahic. Ataharibu lakin na yeye yake hataona matunda yake.
Dawa ya kugongewa ni kutafuta mnyonge umgongee. Ila siyo uo ujinga wako unaotaka kufanya.
 
Hamna kesi hapo. Hata angekushika UGONI live si jinai. Akipiga simu pokea halafu hakikisha unamrekodi kisha kafungue kesi ya KUTISHIA KUUA KWA MANENO (JINAI) halafu mkutane mahakamani nakuhakikishia hiyo kesi inampeleka jela huku unaendelea kupiga bibie tena kitandani kwake.

Binafsi, niliwahi kufumaniwa CITY STYLE HOTEL na anayedaiwa ni mume wa mwanamke niliyekua nae faragha. Jamaa wamevamia na makamera room, tukiwa uchi. Wakachukua video na makelele kibao baada ya hapo wakanitishia kurusha picha za utupu mitandaoni. Baadae jamaa akarusha video aliyoturekodi kupitia whatsapp yangu. Akajiloga akapiga simu (voice call) vitisho vya kuniua mimi hapo NAREKODI tu Haikuchukua muda jamaa anapelekewa wito mahakamani kesi inaunguruma mwaka wa pili huu.
Huyo ni wewe ni sio yeye.

Sasa mwache afanye
 
1. Wakuu kuna Mother flan Mwalimu wa sekondari ya kata mitaa ya Kibamba huwa nakamua toka Oktoba 2022 sasa ijumaa nilienda kupiga kuanzia saa 8 mpaka sasa 12 nikamrudisha hadi mitaa ya kwao. Kumbe jamaa alikua sehemu kaona mkewe anashushwa kwenye Subaru mke kadanganya ilikua Uber lakin wapi.

2. Anayedaiwa kuwa Ni Mume akamnyang'anya simu akaanza kupekua WhatsApp chat akakutana na conversation yetu ya siku Ile Ile tukiwa tunaelekezana pa kukutana sasa jamaa kaniforwardia conversation kwenye WhatsApp yangu na simu kama zote. Sijapokea wala Sijajibu.

3. Nawaza, niwahi kwenye Ile guest wafute zile image (wakati tunaingia na kutoka) kwenye CCTV zao wasije wakapewa hela na huyu boya ukapatikana ushahidi.

#Huyu mwanamke simtaki tena. Hajawahi kumuambia kama kaolewa.
Mkuu nipe namba ya huyo mwanamke na Mimi nikajipigie. Mademu wanaoomba omba pesa ndio dawa yao hiyo
 
Mkanye mkeo sio mwanaume mwenzio. Utaishia jela huku mkeo akiendelea kukalia Chuma
Kijana punguza confidence,

hii dunia Pana sana utakutwa na tukio ambalo hata mda wa kuaga utaukosa au uanze kuwa mshauri mzuri wa wenzio
 
Hamna kesi hapo. Hata angekushika UGONI live si jinai. Akipiga simu pokea halafu hakikisha unamrekodi kisha kafungue kesi ya KUTISHIA KUUA KWA MANENO (JINAI) halafu mkutane mahakamani nakuhakikishia hiyo kesi inampeleka jela huku unaendelea kupiga bibie tena kitandani kwake.

Binafsi, niliwahi kufumaniwa CITY STYLE HOTEL na anayedaiwa ni mume wa mwanamke niliyekua nae faragha. Jamaa wamevamia na makamera room, tukiwa uchi. Wakachukua video na makelele kibao baada ya hapo wakanitishia kurusha picha za utupu mitandaoni. Baadae jamaa akarusha video aliyoturekodi kupitia whatsapp yangu. Akajiloga akapiga simu (voice call) vitisho vya kuniua mimi hapo NAREKODI tu Haikuchukua muda jamaa anapelekewa wito mahakamani kesi inaunguruma mwaka wa pili huu.
Jamaa yuko ndani au ana dhamana?
 
Mimi sio muumini wa kuwapaka wanaume mafuta…. Ila Nina imani na jambo moja ukiingia anga zangu hiyo mahakama utanisubiri nikiungana nawe huko walipo makerubi! Kimya kimya tuuuu… yaani hivo!
 
Chungeni wanawake zenu. Akijichanganya anapiga nao tu.
 
Back
Top Bottom