Boutafrica
JF-Expert Member
- Dec 11, 2014
- 974
- 2,106
Kipi kimekushinda hapoSawa. Wasubirie Waje
Lea kwanza huyo Mtoto mtarajiwa,
Ngoja nisubirie masharti yalegee.
Ila naamini ipo siku utarudi na id Mpya kutafuta Mume.
Wakuswampa sifa zote ninazo kasoro moja tu nina miaka 29.8 vipi naruhusiwaAnahitajika mwanaume aliye tayari kuwa mume mzuri,
umri kuanzia miaka 30,
Anayejitambua na mwenye hekima, akili na reasoning ya kutosha.
Awe mkristo, ila asiwe mlokole,
Awe na upendo wa kweli,
Asiwe mnene sana,
Asiwe mfupi sana,
Awe na elimu kuanzia degree na kuendelea,
Awe mfanya kazi au Mjasiliamali.
Awe tayari ku adopt mtoto nitakaye mzaa muda si mrefu.
Sifa za muombaji
Msichana , Black beauty natural
Urefu 155cm
elimu , degree ya kwanza
Muajiriwa wa taasisi moja mjini Dsm
Mcha Mungu
Mkatoliki
Mwenye sifa hizo aje PM, Mwanaume mweupe sana haitajiki, pia mchaga hatakiwi, wengine woote karibuni. napokea application hapa
40 sio ishu...kuishi mwenyew pia sioni shidaInavyoonekana u-kawaida sana....ungekuwa wa ukweli usingefika huku jf,ila nikukumbushe tu kwamba takwimu za hivi karibuni zinaonyesha kwamba wanawake duniani ni wengi kulinganisha na wanaume,sasa wewe endelea kubaki na vigezo vyako mara paaaaap 40 miaka hii hapa.....hapo utakapojua kwa nini Idi amini anaitwa dada.
Wordwala usipunguze vigezo,
wengi tunakosea hapo,
unachukua mtu sababu tu yuko available,sio kwa vile anakidhi vigezo vyako,
mnachukuana,afu baadae mnaanza kuchepuka kupata vingine nje.
We endelea kumdanganya tu mwenzio kama wewe ndiyo muoaji,atasanda mpaka ajionee hurumawala usipunguze vigezo,
wengi tunakosea hapo,
unachukua mtu sababu tu yuko available,sio kwa vile anakidhi vigezo vyako,
mnachukuana,afu baadae mnaanza kuchepuka kupata vingine nje.
Kupata mimba nje ya ndoa haimaanishi si mcha munguMcha Mungu ilhali umepata mimba nje ya ndoa!,hakika kumpata Mume kwa vigezo hivyo utasubiri saana labda ubadili mbinu ya ushambuliaji
HaipoUmeacha kuswampa?
Akinenepa ukiwa tayari mnaishi wote nafasi yake itakuwaje?
Ntalea mwenyewInamaanisha una ujauzito? Unatafuta wa kukusaidia kulea ama?
Basi sema u-mcha Mungu jinaKupata mimba nje ya ndoa haimaanishi si mcha mungu
Nataka mtoto apakatwe na babaDada angu subiri ujifungue kwanza jamani,kwani una haraka gani?[emoji53][emoji53][emoji53]
We endelea kumdanganya tu mwenzio kama wewe ndiyo muoaji,atasanda mpaka ajionee huruma
Walokole wanatabia sizipendiHuyo alikutwisha huo mzigo keanini asikuoe?umenidhangaza kusema unataka mkristo lakini asiwe mlokole,sijui mlokole unamuogopea nini labda!
Mchaga akijua unahela anakua dependant kama demDah asee kwahiyo sisi wachaga ndio umetupiga chini?
[emoji23] [emoji23] Labda ana mme kamhifadhi maabara.We endelea kumdanganya tu mwenzio kama wewe ndiyo muoaji,atasanda mpaka ajionee huruma
Kawaida mbonaUnapigwa kavu bahati mbaya!!