Boutafrica
JF-Expert Member
- Dec 11, 2014
- 974
- 2,106
Inavyoonekana u-kawaida sana....ungekuwa wa ukweli usingefika huku jf,ila nikukumbushe tu kwamba takwimu za hivi karibuni zinaonyesha kwamba wanawake duniani ni wengi kulinganisha na wanaume,sasa wewe endelea kubaki na vigezo vyako mara paaaaap 40 miaka hii hapa.....hapo utakapojua kwa nini Idi amini anaitwa dada.