Mume mwenye sifa hizi anahitajika

Mume mwenye sifa hizi anahitajika

Inavyoonekana u-kawaida sana....ungekuwa wa ukweli usingefika huku jf,ila nikukumbushe tu kwamba takwimu za hivi karibuni zinaonyesha kwamba wanawake duniani ni wengi kulinganisha na wanaume,sasa wewe endelea kubaki na vigezo vyako mara paaaaap 40 miaka hii hapa.....hapo utakapojua kwa nini Idi amini anaitwa dada.
 
Sawa. Wasubirie Waje
Lea kwanza huyo Mtoto mtarajiwa,
Ngoja nisubirie masharti yalegee.
Ila naamini ipo siku utarudi na id Mpya kutafuta Mume.
 
hahahahah wanaume wa JF wanachekesha sana,

hapa ukumbini watajidai ooh vigezo vingi utampata nani,sijui nini nini,ila huko PM utashangaa wanavyojipeleka ,kama sio wao vile,lol
 
Anahitajika mwanaume aliye tayari kuwa mume mzuri,

umri kuanzia miaka 30,
Anayejitambua na mwenye hekima, akili na reasoning ya kutosha.
Awe mkristo, ila asiwe mlokole,
Awe na upendo wa kweli,
Asiwe mnene sana,
Asiwe mfupi sana,
Awe na elimu kuanzia degree na kuendelea,
Awe mfanya kazi au Mjasiliamali.
Awe tayari ku adopt mtoto nitakaye mzaa muda si mrefu.

Sifa za muombaji
Msichana , Black beauty natural
Urefu 155cm
elimu , degree ya kwanza
Muajiriwa wa taasisi moja mjini Dsm
Mcha Mungu
Mkatoliki

Mwenye sifa hizo aje PM, Mwanaume mweupe sana haitajiki, pia mchaga hatakiwi, wengine woote karibuni. napokea application hapa
Wakuswampa sifa zote ninazo kasoro moja tu nina miaka 29.8 vipi naruhusiwa
 
Inavyoonekana u-kawaida sana....ungekuwa wa ukweli usingefika huku jf,ila nikukumbushe tu kwamba takwimu za hivi karibuni zinaonyesha kwamba wanawake duniani ni wengi kulinganisha na wanaume,sasa wewe endelea kubaki na vigezo vyako mara paaaaap 40 miaka hii hapa.....hapo utakapojua kwa nini Idi amini anaitwa dada.
40 sio ishu...kuishi mwenyew pia sioni shida
 
wala usipunguze vigezo,

wengi tunakosea hapo,

unachukua mtu sababu tu yuko available,sio kwa vile anakidhi vigezo vyako,

mnachukuana,afu baadae mnaanza kuchepuka kupata vingine nje.
We endelea kumdanganya tu mwenzio kama wewe ndiyo muoaji,atasanda mpaka ajionee huruma
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Wanaume hawa wanaotafutwa kwa vigezo kuna siku watawatafuta wao kwa vigezo baada ya nyie kuchoka.
 
Back
Top Bottom