Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 2,603
- 7,501
Mwanamke unatakiwa umpite umri kwa range ya 10+ years.
Tofauti na hapo KATAA NDOA
Tofauti na hapo KATAA NDOA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawapenda thaaanaHatimae wa sura pesono tumefikiwa 🤣
Ninae mtuHaya njoo ujibebee muhogo mchungu anatafta mke
Kabisa raha ya mume umsalimie shikamoo toka moyoniMwanamke unatakiwa umpite umri kwa range ya 10+ years.
Tofauti na hapo KATAA NDOA
Kweli Mungu hamtupi mja wakeNawapenda thaaana
Kujali baba! Kujaliiiii😂Hayo mahusiano mazuri sana ila kwanini hao wazee sio akina Majuto au Muhogo mchungu? 🤣
Ukitafakari kwa kina utagundua kuna jambo flani la kipekee 🤣🤣🤣
Kumbe unaheshimu ndoa yako hivyo Mungu akuongoze mtengeneze kizazi bora na wanao waige mazuri ya wazazi wao.Nampenda sana na kumheshimu dady wangu
Mwanaume anapenda heshima na unyenyekevu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ushachelewa kutukumbushaa mkuu [emoji23][emoji23]
yeah hii cio mbayaMwanamke unatakiwa umpite umri kwa range ya 10+ years.
Tofauti na hapo KATAA NDOA
Mbona umenikataa baada ya kukuambia mie mzee?🤣Mkipendana hata kama mmoja ana miaka 60 mwingine 20, lazima mtakua na furaha tu. Either mmoja arudi utoto kiakili kumfata wa miaka 20, au wa miaka 20 awe mzee kiakili kumfata wa miaka 60. Mahusiano haya ndo yananogaga sasa. Muhimu upendo wa kweli!!!!!
Hayo mahusiano mazuri sana ila kwanini hao wazee sio akina Majuto au Muhogo mchungu? [emoji1787]
Ukitafakari kwa kina utagundua kuna jambo flani la kipekee [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
NAKAZIAKabisa raha ya mume umsalimie shikamoo toka moyoni
Sasa mtu kanizidi kila kitu hadi dhambi naachaje kumuheshimu mkuu??Kumbe unaheshimu ndoa yako hivyo Mungu akuongoze mtengeneze kizazi bora na wanao waige mazuri ya wazazi wao.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
🤣🤣Sasa mtu kanizidi kila kitu hadi dhambi naachaje kumuheshimu mkuu??
Hii kama DC mstaafu na mzee wa NBA mstaafu.Wadada wanatakaga wa hivyo.Vya wazi ni mrefu hivyo,je vya sirini?Kweli wadada ni majasiri.Kibamia cha mtu wa hivyo,ni mandingo kwa mtu wa kawaida.kuna watu wana roho ngum aisee
View attachment 2790135
Hapo nilipobolt ndipo shida inapoanzia, yaani mzee kuact uteenager lazma ataonekana kituko.Mkipendana hata kama mmoja ana miaka 60 mwingine 20, lazima mtakua na furaha tu. Either mmoja arudi utoto kiakili kumfata wa miaka 20, au wa miaka 20 awe mzee kiakili kumfata wa miaka 60. Mahusiano haya ndo yananogaga sasa. Muhimu upendo wa kweli!!!!!
Tafuta pesa, hata mkipishana miaka 20 itakuwa kama mmepishana miaka miwili tu [emoji1787]Naona wengi hapa wanasifia kulelewa na mashangazi na maGodfather wa umri sawa na babazao.
Leo niwachane wazi tu kuwa kuna karaha nyingi kama mume na mke mmepishana pakubwa kiumri. Kero nyingi ni za utofauti kimtazamo. Yani fikilia wewe mubaba wa enzi za msondo unaoa kitoto cha hizi enzi za kina zuchu yani mitazamo yenu kwenye mambo mbalimbali ni sawa na mbingu na ardhi.
Ndoa inatakiwa kuwa ya raha badala ya karaha. Oa mtu ambaye hata kama mmepishana kiumri basi isiwe tofauti kubwa kiviiile.