DUBULIHASA
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,446
- 8,215
Nimendika 50 badala ya 60....
Hapo namaanisha tumepishana miaka 60
Hapo namaanisha tumepishana miaka 60
Umesema miaka 50?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesema miaka 50?
😂😂Ukute zile kama fagio 😂😂Una miaka 35,upo single ila uko busy kutengeneza kope za bandia, sister embu ondoa hizo kope uone wanaume..😂😂😂
Unatakiwa ufahamu kwamba kila mtu ana malengo yake katika ndoaNaona wengi hapa wanasifia kulelewa na mashangazi na maGodfather wa umri sawa na babazao.
Leo niwachane wazi tu kuwa kuna karaha nyingi kama mume na mke mmepishana pakubwa kiumri. Kero nyingi ni za utofauti kimtazamo. Yani fikilia wewe mubaba wa enzi za msondo unaoa kitoto cha hizi enzi za kina zuchu yani mitazamo yenu kwenye mambo mbalimbali ni sawa na mbingu na ardhi.
Ndoa inatakiwa kuwa ya raha badala ya karaha. Oa mtu ambaye hata kama mmepishana kiumri basi isiwe tofauti kubwa kiviiile.
Kwani umri ndio unakumbatiana, au unakwichi kwichi, umri ndio unaleta ugali mezani.. mtu awe na mtu kwakuwa wanapendana.makaveli10 unasemaje?
Huu uzi niliuona nikataka nicomment "tusipangiane maisha" nikapotezeamakaveli10 unasemaje?
Umeona enheeInabidi mkikaa uwe mnakumbushiana kipindi hiko mrema alivyo kosa uraisi kidogo tu,Enzi za popobawa,mahindi ya njano(mahindi ya misaada)......
Raha sana sio mnakosa cha kushare.
Duuuu hivi sioo 2004 kabisaaaaWee unajua kuwa Zuchu kazaliwa 1992
Watakukatalia TU,japo umeongea ukweliNaona wengi hapa wanasifia kulelewa na mashangazi na maGodfather wa umri sawa na babazao.
Leo niwachane wazi tu kuwa kuna karaha nyingi kama mume na mke mmepishana pakubwa kiumri. Kero nyingi ni za utofauti kimtazamo. Yani fikilia wewe mubaba wa enzi za msondo unaoa kitoto cha hizi enzi za kina zuchu yani mitazamo yenu kwenye mambo mbalimbali ni sawa na mbingu na ardhi.
Ndoa inatakiwa kuwa ya raha badala ya karaha. Oa mtu ambaye hata kama mmepishana kiumri basi isiwe tofauti kubwa kiviiile.
Hii range ni nzuri .japo msimamo wangu ni KATAA NDOAKama wewe ni mdada mwenye sura na umbo la kawaida na una uhitaji wa kuolewa haraka, date na mubaba aliyekuzidi 5 -10 yrs.
Hutojuta.
Alooo hongereni sanaNimendika 50 badala ya 60....
Hapo namaanisha tumepishana miaka 60