Mume na Mke Msipishane Sana Umri

Mume na Mke Msipishane Sana Umri

Naona wengi hapa wanasifia kulelewa na mashangazi na maGodfather wa umri sawa na babazao.

Leo niwachane wazi tu kuwa kuna karaha nyingi kama mume na mke mmepishana pakubwa kiumri. Kero nyingi ni za utofauti kimtazamo. Yani fikilia wewe mubaba wa enzi za msondo unaoa kitoto cha hizi enzi za kina zuchu yani mitazamo yenu kwenye mambo mbalimbali ni sawa na mbingu na ardhi.

Ndoa inatakiwa kuwa ya raha badala ya karaha. Oa mtu ambaye hata kama mmepishana kiumri basi isiwe tofauti kubwa kiviiile.
Unataka kusema tuiache hii mishangazi never.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona wengi hapa wanasifia kulelewa na mashangazi na maGodfather wa umri sawa na babazao.

Leo niwachane wazi tu kuwa kuna karaha nyingi kama mume na mke mmepishana pakubwa kiumri. Kero nyingi ni za utofauti kimtazamo. Yani fikilia wewe mubaba wa enzi za msondo unaoa kitoto cha hizi enzi za kina zuchu yani mitazamo yenu kwenye mambo mbalimbali ni sawa na mbingu na ardhi.

Ndoa inatakiwa kuwa ya raha badala ya karaha. Oa mtu ambaye hata kama mmepishana kiumri basi isiwe tofauti kubwa kiviiile.
Nimepishana naye miaka 5, hapa napo niko off target mkuu?
 
Naona wengi hapa wanasifia kulelewa na mashangazi na maGodfather wa umri sawa na babazao.

Leo niwachane wazi tu kuwa kuna karaha nyingi kama mume na mke mmepishana pakubwa kiumri. Kero nyingi ni za utofauti kimtazamo. Yani fikilia wewe mubaba wa enzi za msondo unaoa kitoto cha hizi enzi za kina zuchu yani mitazamo yenu kwenye mambo mbalimbali ni sawa na mbingu na ardhi.

Ndoa inatakiwa kuwa ya raha badala ya karaha. Oa mtu ambaye hata kama mmepishana kiumri basi isiwe tofauti kubwa kiviiile.
hapo unaongelea mke wa ngapi mkuu
yaani nina miaka 75 naoa mke wa nne nioe wa umri wangu, hiyo haipo mkuu
lazima nioe wa 20s
 
Kwamba Maisha yako / Mtizamo wako ndio SI Unit ya Maisha ya watu ?

Kila mtu kuna kitu anatafuta kwenye mawasiliano mwingine anatafuta Trophy Wife, Mwingine variety n.k. (Unless unadhani Till Death do us Apart still Applies......)

To each their Own ?
 
Naona wengi hapa wanasifia kulelewa na mashangazi na maGodfather wa umri sawa na babazao.

Leo niwachane wazi tu kuwa kuna karaha nyingi kama mume na mke mmepishana pakubwa kiumri. Kero nyingi ni za utofauti kimtazamo. Yani fikilia wewe mubaba wa enzi za msondo unaoa kitoto cha hizi enzi za kina zuchu yani mitazamo yenu kwenye mambo mbalimbali ni sawa na mbingu na ardhi.

Ndoa inatakiwa kuwa ya raha badala ya karaha. Oa mtu ambaye hata kama mmepishana kiumri basi isiwe tofauti kubwa kiviiile.
Sahihi kabisa [emoji817]
 
Mkipendana hata kama mmoja ana miaka 60 mwingine 20, lazima mtakua na furaha tu. Either mmoja arudi utoto kiakili kumfata wa miaka 20, au wa miaka 20 awe mzee kiakili kumfata wa miaka 60. Mahusiano haya ndo yananogaga sasa. Muhimu upendo wa kweli!!!!!
Hapa Kuna ukweli ila pia watu wa Rika Moja wengi huwa hawapendani sana refer makuzi yetu
Rika Moja tunapenda kuwa marafiki wa kawaida sio commitment
 
Back
Top Bottom