Mtukutu Mkuu
JF-Expert Member
- Jul 10, 2022
- 1,117
- 1,403
Unataka kusema tuiache hii mishangazi never.Naona wengi hapa wanasifia kulelewa na mashangazi na maGodfather wa umri sawa na babazao.
Leo niwachane wazi tu kuwa kuna karaha nyingi kama mume na mke mmepishana pakubwa kiumri. Kero nyingi ni za utofauti kimtazamo. Yani fikilia wewe mubaba wa enzi za msondo unaoa kitoto cha hizi enzi za kina zuchu yani mitazamo yenu kwenye mambo mbalimbali ni sawa na mbingu na ardhi.
Ndoa inatakiwa kuwa ya raha badala ya karaha. Oa mtu ambaye hata kama mmepishana kiumri basi isiwe tofauti kubwa kiviiile.
Nimepishana naye miaka 5, hapa napo niko off target mkuu?Naona wengi hapa wanasifia kulelewa na mashangazi na maGodfather wa umri sawa na babazao.
Leo niwachane wazi tu kuwa kuna karaha nyingi kama mume na mke mmepishana pakubwa kiumri. Kero nyingi ni za utofauti kimtazamo. Yani fikilia wewe mubaba wa enzi za msondo unaoa kitoto cha hizi enzi za kina zuchu yani mitazamo yenu kwenye mambo mbalimbali ni sawa na mbingu na ardhi.
Ndoa inatakiwa kuwa ya raha badala ya karaha. Oa mtu ambaye hata kama mmepishana kiumri basi isiwe tofauti kubwa kiviiile.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ushachelewa kutukumbushaa mkuu [emoji23][emoji23]
Ilikuwa nzuri kabla ya mambo ya kusalimiana, like serious?Kabisa raha ya mume umsalimie shikamoo toka moyoni
kaza kiongozi ayo majibu uwa yanabadilikaKumbe unaheshimu ndoa yako hivyo Mungu akuongoze mtengeneze kizazi bora na wanao waige mazuri ya wazazi wao.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Ahaaaa acha ujinga wewekaza kiongozi ayo majibu uwa yanabadilika
Hapo ndio shida ilipo🤣🤣🤣🤣🤣💺Mkipendana hata kama mmoja ana miaka 60 mwingine 20, lazima mtakua na furaha tu. Either mmoja arudi utoto kiakili kumfata wa miaka 20, au wa miaka 20 awe mzee kiakili kumfata wa miaka 60. Mahusiano haya ndo yananogaga sasa. Muhimu upendo wa kweli!!!!!
hapo unaongelea mke wa ngapi mkuuNaona wengi hapa wanasifia kulelewa na mashangazi na maGodfather wa umri sawa na babazao.
Leo niwachane wazi tu kuwa kuna karaha nyingi kama mume na mke mmepishana pakubwa kiumri. Kero nyingi ni za utofauti kimtazamo. Yani fikilia wewe mubaba wa enzi za msondo unaoa kitoto cha hizi enzi za kina zuchu yani mitazamo yenu kwenye mambo mbalimbali ni sawa na mbingu na ardhi.
Ndoa inatakiwa kuwa ya raha badala ya karaha. Oa mtu ambaye hata kama mmepishana kiumri basi isiwe tofauti kubwa kiviiile.
safi sanaSasa nyie hamjapisha umri mnapigwa na jua na kushindia makande!!! Hv mnapata faida gani??? SHIDA ZINAWAFANYA WOTE MUONEKANE WAZEE
Mimi na baby wangu tumepishana miaka 50 ila bata ni kila siku. RAHA ZINATUFANYA WOTE TUONEKANE VIJANA
🙉🤦♂️ngum kumezaTafuta pesa, hata mkipishana miaka 20 itakuwa kama mmepishana miaka miwili tu [emoji1787]
apo unawatafutia vijana lawama aiseehapo unaongelea mke wa ngapi mkuu
yaani nina miaka 75 naoa mke wa nne nioe wa umri wangu, hiyo haipo mkuu
lazima nioe wa 20s
Sahihi kabisa [emoji817]Naona wengi hapa wanasifia kulelewa na mashangazi na maGodfather wa umri sawa na babazao.
Leo niwachane wazi tu kuwa kuna karaha nyingi kama mume na mke mmepishana pakubwa kiumri. Kero nyingi ni za utofauti kimtazamo. Yani fikilia wewe mubaba wa enzi za msondo unaoa kitoto cha hizi enzi za kina zuchu yani mitazamo yenu kwenye mambo mbalimbali ni sawa na mbingu na ardhi.
Ndoa inatakiwa kuwa ya raha badala ya karaha. Oa mtu ambaye hata kama mmepishana kiumri basi isiwe tofauti kubwa kiviiile.
Ubarikiwe sanaSasa mtu kanizidi kila kitu hadi dhambi naachaje kumuheshimu mkuu??
✅Nimepishana naye miaka 5, hapa napo niko off target mkuu?
kabisa yani
Hapa Kuna ukweli ila pia watu wa Rika Moja wengi huwa hawapendani sana refer makuzi yetuMkipendana hata kama mmoja ana miaka 60 mwingine 20, lazima mtakua na furaha tu. Either mmoja arudi utoto kiakili kumfata wa miaka 20, au wa miaka 20 awe mzee kiakili kumfata wa miaka 60. Mahusiano haya ndo yananogaga sasa. Muhimu upendo wa kweli!!!!!
fafanua isizidi miaka mingapi kwa mtizamo wakoOa mtu ambaye hata kama mmepishana kiumri basi isiwe tofauti kubwa kiviiile.