2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 3,130
- 4,735
Kumekuwa na wimbi kubwa sana la waume wasiopenda kilele za wake zao siku hizi. Naomba kuwauliza ni lini wanaume walipenda kelele za wake zao? Kwa kawaida hakuna mwanaume anaependa kuongea sana. Ukiona mwanaume anaongea sana basi ujue ana kasoro.
Mwanaume wa kweli maneno kidogo vitendo kwa sana. Hii tabia ya kutopenda kelele kwenye nyumba yako inaonyesha uliilea mwenyewe ndio maana ikaota mizizi.
Sasa ujinga wa wanawake wakishaona unakwepa maneno yake na kuyaogopa au huchukui hatua basi anakuwa ndio kichwa cha familia badala Mume.
My take:
Mwanaume kama hupendi kelele usizuge baa, kwa mchepuko au vijiweni kwa kukwepa kelele za mke, chukua hatua sasa ya kurudisha mamlaka yako ndani ya familia. Iwe ni kwa nguvu au kwa aina yeyote ile.
Ni aibu kwa mume kuamua kufanya mambo kisa tu hupendi kelele, nakuonea huruma sana mtu wa aina hiyo.
Mwanaume wa kweli maneno kidogo vitendo kwa sana. Hii tabia ya kutopenda kelele kwenye nyumba yako inaonyesha uliilea mwenyewe ndio maana ikaota mizizi.
Sasa ujinga wa wanawake wakishaona unakwepa maneno yake na kuyaogopa au huchukui hatua basi anakuwa ndio kichwa cha familia badala Mume.
My take:
Mwanaume kama hupendi kelele usizuge baa, kwa mchepuko au vijiweni kwa kukwepa kelele za mke, chukua hatua sasa ya kurudisha mamlaka yako ndani ya familia. Iwe ni kwa nguvu au kwa aina yeyote ile.
Ni aibu kwa mume kuamua kufanya mambo kisa tu hupendi kelele, nakuonea huruma sana mtu wa aina hiyo.