Tuishi nao kwa akili tu. Kumpiga mwanamke ni ishaya ya kwamba anakucontrol na maneno yake. Kama ana kero za hapa na pale unamweka wazi tu kwamba akishindwa kuwa na heshima arudi kwao. Ukisema utumie nguvu kupata heshima ya mwanamke, hatakuja kukuheshimu sanasana atakuogopa tu. Na ukimpiga mwanamke lazima atatafuta bega la jamaa mwingine la kulilia na kufutwa machozi, na atakuona unatumia nguvu nyingi kumkeep.
Kikubwa kuishi naye kwa akili kumuonyesha kwamba akishindwa kujua nafasi yake, atarudi kwao tu akaendelee na maisha mengine.
Sometimes pia, sisi wanaume ndiyo chanzo cha matatizo ya kifamilia, mwanamke hawezi kukupigia kelele kama wewe humtendei ndivyo sivyo, tujaribu kuwaelewa wanawake na kuheshimu mawazo yao yenye tija. Vilevile kelele nyingi za mwanamke zinatokana na kutomtoa nyege vizuri, tujifunze kuwat*mba vizuri wake na wapenzi ama wachumba zetu, utaheshimiwa haswa, maana sifa ya kwanza ya uanaume ni kutembeza rungu ipasavyo, yaani unamkuna mwanamke vizuri, mpaka mwenyewe anaridhika. Hata kama ukiyumba kiuchumi ukimt*mba vizuri mke wako atajifunza kukubumilia. Maana anajua akikupoteza huko kwingine ataenda kupapaswa tu na kuachwa na nyege.