joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Magonjwa mengi siku hizi, unamtia makofi kazima mazima, ndio maana wengine wanatafuta chimbo la kutulia ili kuepusha matatizo, giza likiingia saa tatu usiku huyo ndio anaanza safari ya kurudi home.Mke anapaswa kutiwa nidhamu mpaka anapotaka kuropoka aogope mwenyewe sababu ya matokeo yatakayokuja ni vitendo
Ni kumpa kisogo tu ndugu MC na kumzimia mic!
Sasa kama utakuwa muda wako mwingi unaishia Bar,muda wa kuwa na watoto unaupata saa ngapi...?Imeandikwa,
Tuishi nao kwa akili na sio maguvu[emoji4]
Kuzuga bar nayo ni akili,
Kwanza baba unawahi nyumbani mapema ukafanye Nini?
Au ndio nyie wababa mnaonyang'anyana remote na mahousegal kuangalia KULFI?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha hugusiki😅 kabisaYaaani sitaki kelele
hapo BOLD hivi kwann mwanamke wa ndoa kabisa jambo unalisema kila sikuKama mtaji wako ni kumtomba vizuri mwanamke nakusihi badili akili maana wapo wanaotumia hadi mkongo lakini tabu iko pale pale!
Mwanamke ni kiumbe korofi toka kuumbwa kwa dunia. Akili yake nahisi ina mfumo tofauti kidogo na wa kiume[emoji28] hata Mungu mwenyewe aliona isiwe tabu akatufukuza Eden maana mwanamke unachomkataza asifanye yeye ndio anafanyasasa bora usimpe maagizo yeyote sababu ni mpuuzi!
Kumekuwa na wimbi kubwa sana la waume wasiopenda kilele za wake zao siku hizi. Naomba kuwauliza ni lini wanaume walipenda kelele za wake zao? Kwa kawaida hakuna mwanaume anaependa kuongea sana. Ukiona mwanaume anaongea sana basi ujue ana kasoro.
Mwanaume wa kweli maneno kidogo vitendo kwa sana. Hii tabia ya kutopenda kelele kwenye nyumba yako inaonyesha uliilea mwenyewe ndio maana ikaota mizizi.
Sasa ujinga wa wanawake wakishaona unakwepa maneno yake na kuyaogopa au huchukui hatua basi anakuwa ndio kichwa cha familia badala Mume.
My take:
Mwanaume kama hupendi kelele usizuge baa, kwa mchepuko au vijiweni kwa kukwepa kelele za mke, chukua hatua sasa ya kurudisha mamlaka yako ndani ya familia. Iwe ni kwa nguvu au kwa aina yeyote ile.
Ni aibu kwa mume kuamua kufanya mambo kisa tu hupendi kelele, nakuonea huruma sana mtu wa aina hiyo.
Duuh yote sawa ila mwanaume kuwa kichwa cha familia ni busara na kuwa upembuzi wa kina juu ya mambo kabla ya maamuzi.Kumekuwa na wimbi kubwa sana la waume wasiopenda kilele za wake zao siku hizi. Naomba kuwauliza ni lini wanaume walipenda kelele za wake zao? Kwa kawaida hakuna mwanaume anaependa kuongea sana. Ukiona mwanaume anaongea sana basi ujue ana kasoro.
Mwanaume wa kweli maneno kidogo vitendo kwa sana. Hii tabia ya kutopenda kelele kwenye nyumba yako inaonyesha uliilea mwenyewe ndio maana ikaota mizizi.
Sasa ujinga wa wanawake wakishaona unakwepa maneno yake na kuyaogopa au huchukui hatua basi anakuwa ndio kichwa cha familia badala Mume.
My take:
Mwanaume kama hupendi kelele usizuge baa, kwa mchepuko au vijiweni kwa kukwepa kelele za mke, chukua hatua sasa ya kurudisha mamlaka yako ndani ya familia. Iwe ni kwa nguvu au kwa aina yeyote ile.
Ni aibu kwa mume kuamua kufanya mambo kisa tu hupendi kelele, nakuonea huruma sana mtu wa aina hiyo.
Kijana usifananishe nyege na pesa ndgu yangu shauri yako.Tuishi nao kwa akili tu. Kumpiga mwanamke ni ishaya ya kwamba anakucontrol na maneno yake. Kama ana kero za hapa na pale unamweka wazi tu kwamba akishindwa kuwa na heshima arudi kwao. Ukisema utumie nguvu kupata heshima ya mwanamke, hatakuja kukuheshimu sanasana atakuogopa tu. Na ukimpiga mwanamke lazima atatafuta bega la jamaa mwingine la kulilia na kufutwa machozi, na atakuona unatumia nguvu nyingi kumkeep.
Kikubwa kuishi naye kwa akili kumuonyesha kwamba akishindwa kujua nafasi yake, atarudi kwao tu akaendelee na maisha mengine.
Sometimes pia, sisi wanaume ndiyo chanzo cha matatizo ya kifamilia, mwanamke hawezi kukupigia kelele kama wewe humtendei ndivyo sivyo, tujaribu kuwaelewa wanawake na kuheshimu mawazo yao yenye tija. Vilevile kelele nyingi za mwanamke zinatokana na kutomtoa nyege vizuri, tujifunze kuwat*mba vizuri wake na wapenzi ama wachumba zetu, utaheshimiwa haswa, maana sifa ya kwanza ya uanaume ni kutembeza rungu ipasavyo, yaani unamkuna mwanamke vizuri, mpaka mwenyewe anaridhika. Hata kama ukiyumba kiuchumi ukimt*mba vizuri mke wako atajifunza kukubumilia. Maana anajua akikupoteza huko kwingine ataenda kupapaswa tu na kuachwa na nyege.
🤣🤣🤣Mwanamke hata umpe dunia yote bado hatorizikaKijana usifananishe nyege na pesa ndgu yangu shauri yako.
Kwa usaliti wao sikuhizi hata siamini kwenye hilo la kumkuna vizuri mkuu. Sawa ni wajibu ila sio sababu kubwa ya kumbadili tabia zake kama ni mtu wa kelele.
Ina miaka miwili
hapo BOLD hivi kwann mwanamke wa ndoa kabisa jambo unalisema kila siku
mfn mm namuambiaga ukiona maji yamefika Nusu mfano sisi tuna jaba mbili za lita 60 kwa 120 na ndoo za lita 20 km 10 hivi
huwa namuambia ukiona maji yamefika nusu jazia yaani bana wewe anatumia maji mpk zinabaki ndoo mbili 2 na hapo maji yapo uwani kujaza ndani kipengele
basi hilo neno kila siku namuambia ikitoke maji yamekatika na zimebaki ndoo mbili inakuaje?
Ndo ivo mkuu namshangaa jamaa anaesema eti ukiichakata mbunye vyema basi unapunguza tatizo.🤣🤣🤣Mwanamke hata umpe dunia yote bado hatorizika
Familia mnagawana majukumuKwa nini wewe haujazii hizo ndoo?
Familia mnagawana majukumu
yeye hayo ni moja ya kati majukumu yake yeye kutokana na dar upatikanaji wa maji DAWASCO
mimi kwa mfano kila ijumaa ni jukumu langu kifua nguo za familia nzima 7bu ndio huwa napumzika JOB
yeye yupo HOME hvyo ni jukumu lake kubwa kuhakikisha maji hayapungui ndani
Sometimes pia mwanamke kuwa na makelele ni sisi wanaume wenyewe, kwanini ukubali kuanzisha maisha na mtu chenga wakati wapo wanawake wanaoeleweka, mbona kuna watu wana wake zao hakuna hayo makelele, labda kupishana ambacho ni kitu cha kawaida sana.
Mwanamke mtoe nyege, mpe mahitaji muhimu, kifupi tu kutimiza wajibu kama mwanaume, usimletee kero kama atazingua unaangalia utaratibu mwingine.
Tukubaliane tu kuwa hata sisi tuna kasoro zetu kama binadamu zinazoleta hayo makelele, ingawa wanawake wengine chenga tu, anapayuka tu bila sababu.